Tetesi: Godlisten Malisa avamiwa na watu wasiojulikana Mbezi Beach

Status
Not open for further replies.
Tulipoa na haya mambo yenu ya kutekana tekana ama kutishana kutekana wakati DJ wenu yupo segedance sasa hivi yupo uraiani mnaanza kuja na hizi story aaagh

kapotea msaidizi wa dj, tumeona DJ kachuna sasa hivi michezo inaibuka upyaaaa aaagh mrudisheni dj stoo tukae kwa aman
 
Wakati Mbowe yupo mahabusu haya mambo yalitulia sasa yamerudi tena...kwani dogo amehoji matumizi ya ruzuku au ni mfuasi wa Tundu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni genge la watu basi serikali itafute namna ya kudhibiti maana linachafua taswira yake.

Kama ni miongoni mwa taasisi za serikali na iache mara moja.

Lakini kama ni wasiojulikana kweli,inabidi kwa ujumla wetu tutafute njia ya kukabiliana na hilo bila kuingiliwa na yeyote aliyeshindwa kutulinda.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe (wasiojulikana) ndiyo maafisa usalama!!!! Hatimaye wamejulikana sasa!
 
Mimi mwenyewe naona Kuna (MKAKATI) wa Kutusakama>kutulege>Kutuvuluga>

Kutusambalatisha, Watu au Vijana Wenye>
Erementi >za Tundu Lissu na huu mpango umekaziwa Sana baada ya Lissu kuonyesha( nia) ya urais na ziara za nje.

Ukionyesha >kumwelewa lisu imeshakua shida kubwa Awamu hii ya Jiwe... Sasa kunachangamoto kua mpinzani.

Zaidi na zaidi ukiwa unamwelewa Sana lissu > mimi mwenyewe nimepata msukosuko baada ya kuonyesha dalili za lissu >kwenye mji wetu!

Aluta continuea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jitahidi kuandika lugha fasaha.

Anyway huyu mungu mtu tutshindwa kukabiliana nae sababu ya unafiki wa watu wachache wanakula matunda yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitachangia kikwaresmakwaresma....'Ninyi mnaowatesa maskini jueni kwamba malaika wao wapo mbele yangu siku zote wakinililia ipo siku nitawasikia na kuwajibu' mwisho wa kunukuu.
 
Tuombe tu MUNGU amuepushe na 'wanaojulikana', yaani waliovamia makazi yake na 'wasiojulikana' yaani kama atapotezwa kama ben saanane! Tuombe MUNGU amlinde na dhidi ya mabaya yote yaliyopangwa na 'watesi' wake!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…