Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Any uptodates!?
Unataka tuanzishe michango ya rambirambi akishakufa/kupotea????Sasa MTU anavamiwa mnaanzisha thread
Nothing have been reported until this moment.Any uptodates!?
Huna sm Ina maana unataka kutuambia unatumia device ganiSina simu
Natumia computer.Huna sm Ina maana unataka kutuambia unatumia device gani
Umekosea njia mkuuuMnatafuta keke kwa pekepeki?
Nahisi ule Uzi kaaandika Facebook ndo chanzoJamani jamani,kwani kasema nini kilichomtia matatani?
Hata hivyo akomae,asitoke nje wala wasifungue milango.
Hatutaki sintofahamu nyingine kama ya Ben [emoji17]
Wewe ndo umekosea njia kwa kutuletea umbea wa facebuku huku kwenye jamvi la watu wenye akilizaoUmekosea njia mkuuu
Unahusu nini Mkuu?Huwa sipiti pande hizo.Nahisi ule Uzi kaaandika Facebook ndo chanzo
Hili la Escrow wanaohitaji credit ni wafuatao (nimepanga kulingana na umuhimu wao ktk vita hii):Unahusu nini Mkuu?Huwa sipiti pande hizo.
mkuu tunaomba utuwekee huo uzi wa Facebook maana wengine huwa hatuingii hukoNahisi ule Uzi kaaandika Facebook ndo chanzo