Tetesi: Godlisten Malisa avamiwa na watu wasiojulikana

Tetesi: Godlisten Malisa avamiwa na watu wasiojulikana

Hili la Escrow wanaohitaji credit ni wafuatao (nimepanga kulingana na umuhimu wao ktk vita hii):

1. David Kafulila
2. Zitto Kabwe Ruyagwa
3. Marehemu Deo Filikunjombe
4. Tundu Antipas Lissu
5. Godwin Ngwilimi
6. Wabunge wote wa upinzani
7. Baraza la vijana la Chadema
8. Vyombo vya habari (binafsi) na Mitandao ya kijamii
9. Asasi za kiraia
10. Rais John Pombe Magufuli

Wanaohitaji kulaaniwa/kulaumiwa vikali kwa kutetea wizi huu na kusema si pesa za umma:

1._______________ (Mtajaza wenyewe maana tumeambiwa tumuache apumzike),

2. Wabunge wa CCM bunge lililopita (but namuondoa Dr.Kigwangala, Mwigulu na wengine wachache),

3. Vyombo vyote vya habari vya umma (TBC 1, TBC Radio, Daily News, Habari Leo, etc),

4. Vyombo vyote vya habari vya CCM (Uhuru radio, Uhuru gazeti),

5. Fredrick Werema (aliyekua Mwanasheria mkuu),

6. Waziri Muhongo,

7. Waziri Ngeleja etc,

8. Waliokua viongozi waandamizi serikalini (RCs, DCs, Mawaziri, etc),

9. Umoja wa vijana wa CCM (Hapa namuondoa Magoiga SN, angalau yeye alionesha ujasiri wa kupingana na chama chake hadharani kwa kukataa kutetea wezi),

10. Chama cha Mapinduzi (CCM).!
Malisa GJ
Kwakweli bila shaka hiki ndicho chanzo cha uvamizi!
 
Wezi wanaenda saa kumi na moja kuvamia? Halafu wanataka wafunguliwe mlango waingie? Ngoja nisubiri kukuche kwanza...
 
Wezi wanaenda saa kumi na moja kuvamia? Halafu wanataka wafunguliwe mlango waingie? Ngoja nisubiri kukuche kwanza...
Saa 11 hiyo nchi gani Mkuu? Hapa Tzee ambako ndiko tukio lilipotokea ni saa 10 takribani na dakika 40 usiku,na hii thread imeletwa lisaa limoja lililopita.
That means tukio limetokea saa 8-9 usiku huu.
 
Eeh Mwenyenzi Mungu tunakuomba ukamnusuru huyu mja wako na hili janga la kung'olewa kucha, meno, n.k
[emoji120] [emoji120]
 
Saa 11 hiyo nchi gani Mkuu? Hapa Tzee ambako ndiko tukio lilipotokea ni saa 10 takribani na dakika 40 usiku,na hii thread imeletwa lisaa limoja lililopita.
That means tukio limetokea saa 8-9 usiku huu.
Labda anaishi huko Ughaibuni mkuu!!
 
Hivi mshana jr hakuna njia watu tukafanya "utaalamu" wa kuwatia upofu hawa jamaa wasione mlango au njia ya kukimbilia hadi kukuche na kuwakamata kuwabaini wametumwa na nani, wao ni kina nani na jee wanamahusiano na wale walio mchukua Ben? Pia Ben yuko wapi?
Majibu ya haraka please!
SOS!
 
Back
Top Bottom