Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
- Thread starter
- #41
Tunatafuta namna ya kumsaidia mwenzetumbona hamlali ? 🙂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunatafuta namna ya kumsaidia mwenzetumbona hamlali ? 🙂
Tayari nshauweka angalia hapo juuumkuu tunaomba utuwekee huo uzi wa Facebook maana wengine huwa hatuingii huko
Powa mkuu ngoja niangalieTayari nshauweka angalia hapo juuu
Tunatafuta namna ya kumsaidia mwenzetu
Kwakweli bila shaka hiki ndicho chanzo cha uvamizi!Hili la Escrow wanaohitaji credit ni wafuatao (nimepanga kulingana na umuhimu wao ktk vita hii):
1. David Kafulila
2. Zitto Kabwe Ruyagwa
3. Marehemu Deo Filikunjombe
4. Tundu Antipas Lissu
5. Godwin Ngwilimi
6. Wabunge wote wa upinzani
7. Baraza la vijana la Chadema
8. Vyombo vya habari (binafsi) na Mitandao ya kijamii
9. Asasi za kiraia
10. Rais John Pombe Magufuli
Wanaohitaji kulaaniwa/kulaumiwa vikali kwa kutetea wizi huu na kusema si pesa za umma:
1._______________ (Mtajaza wenyewe maana tumeambiwa tumuache apumzike),
2. Wabunge wa CCM bunge lililopita (but namuondoa Dr.Kigwangala, Mwigulu na wengine wachache),
3. Vyombo vyote vya habari vya umma (TBC 1, TBC Radio, Daily News, Habari Leo, etc),
4. Vyombo vyote vya habari vya CCM (Uhuru radio, Uhuru gazeti),
5. Fredrick Werema (aliyekua Mwanasheria mkuu),
6. Waziri Muhongo,
7. Waziri Ngeleja etc,
8. Waliokua viongozi waandamizi serikalini (RCs, DCs, Mawaziri, etc),
9. Umoja wa vijana wa CCM (Hapa namuondoa Magoiga SN, angalau yeye alionesha ujasiri wa kupingana na chama chake hadharani kwa kukataa kutetea wezi),
10. Chama cha Mapinduzi (CCM).!
Malisa GJ
Atakua anatumia pcHuna sm Ina maana unataka kutuambia unatumia device gani
Majambazi wenzio haoWezi wanaenda saa kumi na moja kuvamia? Halafu wanataka wafunguliwe mlango waingie? Ngoja nisubiri kukuche kwanza...
Saa 11 hiyo nchi gani Mkuu? Hapa Tzee ambako ndiko tukio lilipotokea ni saa 10 takribani na dakika 40 usiku,na hii thread imeletwa lisaa limoja lililopita.Wezi wanaenda saa kumi na moja kuvamia? Halafu wanataka wafunguliwe mlango waingie? Ngoja nisubiri kukuche kwanza...
Wewe umejuaje kwamba ni polisi?Hivi hawa polisi hawawezi kusubiri asubui ifike?
Wewe umejuaje kwamba ni polisi?
Labda anaishi huko Ughaibuni mkuu!!Saa 11 hiyo nchi gani Mkuu? Hapa Tzee ambako ndiko tukio lilipotokea ni saa 10 takribani na dakika 40 usiku,na hii thread imeletwa lisaa limoja lililopita.
That means tukio limetokea saa 8-9 usiku huu.
Afanye research kabla ya kusema Mkuu.Labda anaishi huko Ughaibuni mkuu!!
[emoji23] [emoji23] [emoji115]Afanye research kabla ya kusema Mkuu.