God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

Kwa sababu logic is an inanimate thing, a concept.
Logic inapofikiwa Hutenda sawa na Inapokiukwa. Naita Ukamilifu.

Logic ni situation/state/a thing nje ya MIHEMKO YOTE.
Concepts do not have love.
Hakuna mahali nimesema Logic ina LOVE, nilichosema Logic is Love, Evil,Happiness, NI KILA KITU.
Even the concept of love does not have love, people have love, animated beings have love.
LOVE si HISIA, SI TOKEO LA HISIA ZA KIBINADAMU. LOVE IS LOGIC AND LOGIC IS LOVE. UKAMILIFU.

Tofautisha Mahaba/Hulka na Love, love iko katika kila kitu maana yenyewe ni kila kitu. Ukamilifu.
 
Quran 31:6-7

Na miongoni mwa watu wapo wanao nunua maneno ya upuuzi, ili wawapoteze watu na njia ya Mwenyezi Mungu pasipo kujua, na wanaichukulia ni maskhara. Hao watapata adhabu ya kuwafedhehesha.

Na (mtu kama huyo) anapo somewa Aya zetu huzipa mgongo kwa kujivuna, kama kwamba hakuzisikia, kama kwamba masikioni mwake mna uziwi. Basi mbashirie kuwa atapata adhabu chungu.
 
Unahitaji ushahidi gani kujua kuwa kile unachoita Love ndicho Mimi nikiitacho Logic?
Unaweza kuiita logic love, hilo si la mjadala.

Ila, wewe kuiita logic love hakuifanyi logic iwe love.

Thibitisha logic ni love.

Kimantiki, kwa njia ambayo haina contradiction, na njia ambayo haikanushiki kimantiki.
 
Logic inapofikiwa Hutenda sawa na Inapokiukwa. Naita Ukamilifu.

Logic ni situation/state/a thing nje ya MIHEMKO YOTE.

Hakuna mahali nimesema Logic ina LOVE, nilichosema Logic is Love, Evil,Happiness, NI KILA KITU.

LOVE si HISIA, SI TOKEO LA HISIA ZA KIBINADAMU. LOVE IS LOGIC AND LOGIC IS LOVE. UKAMILIFU.

Tofautisha Mahaba/Hulka na Love, love iko katika kila kitu maana yenyewe ni kila kitu. Ukamilifu.
Logic is not love.

Because love can be illogical.
 
Quran 22:3-4

Na miongoni mwa watu wapo wanao bishana juu ya Mwenyezi Mungu bila ya ilimu, na wanamfuata kila shet'ani aliye asi.

Ameandikiwa kwamba anaye mfanya (shetani) kuwa rafiki, basi huyo hakika atampoteza na atamwongoza kwenye adhabu ya Moto mkali.
 
Unaweza kuiita logic love, hilo si la mjadala.

Ila, wewe kuiita logic love hakuifanyi logic iwe love.

Thibitisha logic ni love.

Kimantiki, kwa njia ambayo haina contradiction, na njia ambayo haikanushiki kimantiki.
Kwangu Logic ni KUWA NJE YA MIHEMKO/UWILI. Na hivyo huo ndio Upendo pia, Kuenenda Nje ya Hulka zangu.

Kwako ni nini?
 
Quran 31:20-21

Kwani hamwoni ya kwamba Mwenyezi Mungu amevifanya vikutumikieni viliomo mbinguni na kwenye ardhi, na akakujalizieni neema zake, za dhaahiri na za siri? Na miongoni mwa watu wapo wanao bishana juu ya Mwenyezi Mungu pasipo ilimu, wala uwongofu, wala Kitabu chenye nuru.

Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, husema: Bali tunafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu
(kina aristotle,plato,darwin,stephen hawking etc) . Je! Ijapo kuwa Shet'ani anawaita kwenye adhabu ya Moto uwakao?
 
Quran 67: 1-2

"AMETUKUKA ambaye mkononi mwake umo Ufalme wote; na Yeye ni Mwenye uweza juu ya kila kitu.

Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. Na Yeye ni Mwenye nguvu na Mwenye msamaha"



Hivyo maisha haya si chochote bali ni mtihani ambao Mungu amependa uwepo ili apime kila nafsi jinsi gani itatenda mema.

Ni uamuzi wake Mungu , kwa utashi na utukufu wake amepanga iwe hivyo na imekuwa.

Mungu anasema

Quran 21:23

"Yeye (MUNGU) hahojiwi kwa ayatendayo, na wao (Wanadamu) ndio wanao hojiwa kwa wayatendayo."


Tatizo la wasiomuamini Mungu ni kuwa wanataka kuhoji matendo ya Mungu!.

Huwezi ukaamka tu asubuhi ukasema kwanini Mungu umeruhusu wanadamu tuumwe? Au kwanini hujanipa utajiri kama uliompa fulani!?? Mungu haojiwi anafanya vile anavyotaka yeye na hakuna wa kumzuia ila sisi viumbe ndio tutahojiwa na Mungu juu ya yale tuliyoyatenda ktk ulimwengu huu.

Mungu ameruhusu good and evil things to happen in this world kwa hekima,elimu na busara zake!! Kuruhusu mambo mabaya yatokee haina maana kuwa yupo radhi nayo au anapenda uovu!! Hapana ameyaruhusu haya yote yatokee ili yawe ni mtihani kwetu sisi viumbe.
Hata hujathibitisha Mungu yupo. Umehubiri tu.

Quran ni kitabu kilichojaa contradictions hivyo sikioni kama kitabu cha maana.
 
Logic is not love.

Because love can be illogical.
Something which is ILLOGICAL IS NOTHING, hakijawahi kuwepo popote.

Ukifikiri hili kuwa ni illogical, basi tambua kuwa huo ndio Ukamilifu/Perfection za Hesabu za Kutokea au kutotokea kwa jambo hili.

Logic ni Kuwa nje ya MIHEMKO/Hulka.

Nitakupa mfano:
Anywaye sumu ya panya na kufa, basi Ukamilifu wa Hesabu za uwezo wa sumu hiyo kumuua umefikiwa. Na yule anywaye na asife, basi tambua kuwa ukamilifu wa hesabu za uwezo wa hiyo sumu kumuua haujafikiwa.

HAIJALISHI NI HESABU GANI ZIMEFIKIWA, cha msingi hapo kila hesaabu ni Ukamilifu wa TOKEO LAKE, NAyO ndio Logic.
 
Hata hujathibitisha Mungu yupo. Umehubiri tu.

Quran ni kitabu kilichojaa contradictions hivyo sikioni kama kitabu cha maana.
Hata hujathibitisha Mungu yupo. Umehubiri tu.

Quran ni kitabu kilichojaa contradictions hivyo sikioni kama kitabu cha maana.
Quran 2:23


Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli.
 
Kwangu Logic ni KUWA NJE YA MIHEMKO/UWILI. Na hivyo huo ndio Upendo pia, Kuenenda Nje ya Hulka zangu.

Kwako ni nini?
Logic ni nyenzo ya kupata ukweli kwa kutumia kanuni za uhalali.

Kuna sehemu logic inaweza kuwa ndani ya mihemko na uwili.

Kwa mfano, logic ya computer systems ipo katika binary base ya 0/1. Hivyo hoja yako ya kwamba logic ni kuwa nje ya uwili si kweli.

Kuna sehemu logic ya kemia za ubongo zinavyofanya kazi inataka mtu apate mhemko kutokana na kemikali zinavyofanya kazi ubongoni, hivyo si kweli kwamba logic ni kuwa nje ya mihemko, kuna sehemu kutokuwa na mihemko ndiyo kukosa logic.
 
Something which is ILLOGICAL IS NOTHING, hakijawahi kuwepo popote.

Ukifikiri hili kuwa ni illogical, basi tambua kuwa huo ndio Ukamilifu/Perfection za Hesabu za Kutokea au kutotokea kwa jambo hili.

Logic ni Kuwa nje ya MIHEMKO/Hulka.

Nitakupa mfano:
Anywaye sumu ya panya na kufa, basi Ukamilifu wa Hesabu za uwezo wa sumu hiyo kumuua umefikiwa. Na yule anywaye na asife, basi tambua kuwa ukamilifu wa hesabu za uwezo wa hiyo sumu kumuua haujafikiwa.

HAIJALISHI NI HESABU GANI ZIMEFIKIWA, cha msingi hapo kila hesaabu ni Ukamilifu wa TOKEO LAKE, NAyO ndio Logic.
Hicho kitu illogical hakiwezi kuwepo hata kwenye mawazo yako?

Kama hakiwezi, umewezaje kukifikiria na kukiandika?

Kama kinaweza, utawezaje kusema hakiwezi kutokea popote?
 
Quran 2:23


Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli.
Haya ni mahubiri.

Hujathibitisha Mungu yupo.
 
Unakubali mambo yenye contradiction kuwa yanawezekana kuepo kwenye uhalisia?

Kama vile, duara kuwa pembetatu kwenye Euclidean geometry planes?
Jibu maswali niliyo kuuliza. Nilikupa angalizo sababu huwa unakimbia maswali.
 
Hujathibitisha Mungu yupo, hiyo habari ya kuwepo Mungu ni dhana tu.

Ukibisha, thibitisha Mungu yupo.
Kutokujibu maswali yangu kunakufanya uonekane huna hoja ns hujui unachokiegemea.
 
Jibu maswali niliyo kuuliza. Nilikupa angalizo sababu huwa unakimbia maswali.
Masali yako yana ujinga kwa sababu yana anthropic bias, unaelewa maana yake nini?
 
Unatakiwa uache utoto kijana. Hii mijadala inataka watu wenye akili timamu na kujenga hoja, kama huwezi kujadiliana kuwa msomaji.
Utoto uko wapi kwani hiyo post niliyokutajia haina maelezo kuhusu eric ?
 
Kutokujibu maswali yangu kunakufanya uonekane huna hoja ns hujui unachokiegemea.
Sina tatizo kuonekana sina hoja kama nilivyo na tatizo kutokuwa na hoja.

Mungu wako kashindwa mtihani wa logical consistency, dhana ya kuwapo kwake ina contradiction.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
 
Back
Top Bottom