Goli 2 za Shirikisho ni sawa na offtarget 1 ya Championship

Hili kombe la luzaz nimeamini kweli halina ishu,maana nimeangalia kule UEFA.COM eti timu zinazoongoza kushiriki EUROPA ni ile aliyokuw anacheza Peter Banda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
CLUB BRUGGE, FC KOLN, na LIPULI za ulaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kudadek
 
Ki ukweli hilo kombe halina mvuto sababu lina timu dhaifu ambazo ukiwauliza hata wao hizo timu ni za wapi hawazijui. Ndiyo Maana hata Mashabiki wa hizo timu hawalifatilii wako busy na klabu bingwa kuandika HabarI za simba vs Wydad , Ahyl vs Raja n.k.
 
Lipuli za Ulaya 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…