Hili sina ubishi hasa kwako ww mtani Bantu Lady nakujua vyedi umekamilika kila idara ndo hivyo tuu ww ni uto hatuna namna
πππππ»ππ»ππ» Asante mtani Kalpana sasa mtoto mzuri kama wewe ulitufaa Yanga. Huko mikia huwa bahati sana, kupata mtoto mzuri kama wewe πππHili sina ubishi hasa kwako ww mtani Bantu Lady nakujua vyedi umekamilika kila idara ndo hivyo tuu ww ni uto hatuna namna
CC: Bill
Jamaniii π π π Simba tamuuπππππ»ππ»ππ» Asante mtani Kalpana sasa mtoto mzuri kama wewe ulitufaa Yanga. Huko mikia huwa bahati sana, kupata mtoto mzuri kama wewe πππ
Bill ukuje usikie habari za Yanga ni π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Ijumaa si juwashiwa moshi, mtawashiwa KUNI ππππππ
Amewafariji tu, ukweli mnao rohoni mwenu
Mod hawana baya
Kwa hiyo anayo chura?Hili sina ubishi hasa kwako ww mtani Bantu Lady nakujua vyedi umekamilika kila idara ndo hivyo tuu ww ni uto hatuna namna
CC: Bill
Lile lilivuka mipaka. Ni kama la Kibu Denga na mdaka mishaleNa vipi lile goli bora la sakho nalo sawa na offtarget ngap?
Lilivuka mipaka kwenye nini wakati goli mbili za shirikisho ni sawa na offtarget moja kwa mujibu wa mumeo Oscar Oscar?Lile lilivuka mipaka. Ni kama la Kibu Denga na mdaka mishale
Chura tuuu...huyo ana kila kitu π π πKwa hiyo anayo chura?
Ijumaa ndo mwisho wa maneno haya. Jumapili yataanza mapya na mtajutaBack pass tu.
Ndio maana huna akiliLile lilivuka mipaka. Ni kama la Kibu Denga na mdaka mishale
Bantu Lady niliwasilisha malalamiko juu ya beji hiyo kupewa mbugila Kama huyo π€£π€£π€£ππWhy ID imerudi kwako tena?????? Mbona sielewi? Nyie hee, wee mwenye Avatar ya Mo imekuaje tena?
Ni sawa na mpira wa kurushaVipi kuhusu off-target ya shirikisho ni sawa na nini Championship?