Rais Samia alitoa ahadi yake ya kutoa hamasa kwa timu zinazo shiriki michuano ya kimataifa kwa ngazi ya vilabu vya YangaSC, Simba SC, Coastal Union na Azam FC kila Goli moja Rais anatoa shilingi milioni 5.
Na hadi sasa Yanga SC amenufaika zaidi ya kuvuna milioni 50 katika michezo yake miwili dhidi ya Vital'O katika ushindi wa Goli 4 kwa 0 na goli 6 0 jumla Yanga amefunga magoli 10.
Ugenini Yanga ilishinda goli 4 - 20,000,000
Nyumbani Yanga imeshinda goli 6 - 30,000,000
JUMLA 50,000,000 (MILIONI 50)
PIA SOMA
- News Alert: - FT: CAFCL - Yanga SC 6-0 Vital'O | (Agg: 10-0)Preliminary Stage 2nd Leg | Azam Complex | 24.08.2024
Na hadi sasa Yanga SC amenufaika zaidi ya kuvuna milioni 50 katika michezo yake miwili dhidi ya Vital'O katika ushindi wa Goli 4 kwa 0 na goli 6 0 jumla Yanga amefunga magoli 10.
Ugenini Yanga ilishinda goli 4 - 20,000,000
Nyumbani Yanga imeshinda goli 6 - 30,000,000
JUMLA 50,000,000 (MILIONI 50)
PIA SOMA
- News Alert: - FT: CAFCL - Yanga SC 6-0 Vital'O | (Agg: 10-0)Preliminary Stage 2nd Leg | Azam Complex | 24.08.2024