Goli la Simba dhidi ya Azam ASFC 2021

Goli la Simba dhidi ya Azam ASFC 2021

Matukio ni mengi ila labda hujaelewa.

Refarii alikuwa anaongea na watu(wakabaji wa mpira)

Kama alikuwa haongei nao,it is right.

Yes

Refarii alipaswa asiwe sehemu ya mjadala.... alikuwa anawaambia nini Azam.

Kwangu mimi hilo ndio tatizo

Psychologically refarii amewacheza Azam na amechangia goli kufungwa
 
Faulo ilipulizwa.Maana yake mchezo umesimama.

Ili mchezo uendelee lazima refarii aruhusu tena.


Mazingira yale ya mpira hata kama ni kwiki thinking'i siyo sahihi.

Ingekuwa refarii haongei na mtu sawa.

Ila mchezaji mmojawapo wa Azam yupo na refarii,wanaongea.

Hata kama kanuni zinaruhusu jambo hili siyo sahihi.

Kipyenga kipulizwe.

Pale ni karibu na goli,ukuta uwekwe

Wenye faida na pigo wapige mpira.

Mazingira ya namna ile yanatengeneza maamuzi yasiyo sahihi kwa waamuzi,wengine wanaweza kuzuia ile 'move' ya mpira na kuamuru upigwe tena.

Wengine wakaacha lililoanza liendelee.Yaani tunaruhusu maamuzi ya 'utashi' badala ya maamuzi ya sheria.
Refa alipuliza filimbi mkuu labda hujaona vizuri. Ni uzembe wa Azam kumzonga mwamuzi badala ya kukaa kwenye maeneo muhimu kuzuia quick movement...
 
Lile bao hakuna kosa kwa upande wa Simba wala Mwamuzi, ni akili kubwa ya Wachezaji wa Simba kwenye hatua kama zile

Rejea Simba dhidi ya Nkana kwenye Klabu bingwa Afrika, move ya faulo ilikuwa kama ile, Wachezaji wa Nkana walipoteza concentration, Simba wakawahi kuweka (Quick thinking)

Azam au Mtu yoyote ambaye ni Mwanasoka ajue inapotokea faulo yoyote lazima kwanza ukazibe mpira, zibeni mpira huku wengine wanaongea na Mwamuzi

Wenzetu Ulaya ile mali hata akichezewa faulo anawahi kuidaka kwanza ikae eneo lake, wengine kwenye ukuta na wengine wanakaa karibu na mpira

Sasa Azam wengine wapo kwa Mwamuzi na wengine wanajipanga, wakaacha mpira kwa Simba, ni akili ya haraka Simba wakaitumia kufunga lile bao, hizo ndio akili za Wazoefu

Kilichotokea ni kuendelea kujifunza, kukomaa na kujua nini kinahitajika kwa wakati ganiView attachment 1830891
Siwalaumu wachezaji wa Simba lakini je mwamuzi alikuwa anawahadaa wachezaji wa Azam? Maana walikuwa wanazungumza pale.
 
Alichokifanya golikipa wa Azam kwa refa baada ya kufungwa goli, asipoadhibiwa nitashangaa. Azam walimkabili refa ilikuwa bado kidogo tu Askari wangeingilia kati.
 
Lile bao hakuna kosa kwa upande wa Simba wala Mwamuzi, ni akili kubwa ya Wachezaji wa Simba kwenye hatua kama zile

Rejea Simba dhidi ya Nkana kwenye Klabu bingwa Afrika, move ya faulo ilikuwa kama ile, Wachezaji wa Nkana walipoteza concentration, Simba wakawahi kuweka (Quick thinking)

Azam au Mtu yoyote ambaye ni Mwanasoka ajue inapotokea faulo yoyote lazima kwanza ukazibe mpira, zibeni mpira huku wengine wanaongea na Mwamuzi

Wenzetu Ulaya ile mali hata akichezewa faulo anawahi kuidaka kwanza ikae eneo lake, wengine kwenye ukuta na wengine wanakaa karibu na mpira

Sasa Azam wengine wapo kwa Mwamuzi na wengine wanajipanga, wakaacha mpira kwa Simba, ni akili ya haraka Simba wakaitumia kufunga lile bao, hizo ndio akili za Wazoefu

Kilichotokea ni kuendelea kujifunza, kukomaa na kujua nini kinahitajika kwa wakati ganiView attachment 1830891
The best goal

Alipiga origi from Trent Arnold Liverpool wakaanua matanga

Yanga here we come
 
amepigwa azam wanalia yanga

maajabu hayatakwisha dunia hii

Raha ya soccer inaleta heshima sana pale mshindi anapatikana kwa haki.

Watu wanafurahi na wote wanaridhika walioshinda na walioshindwa

Ujanja ujanja na magumashi hupeleka masononeko nakuharibu utamu na radha safi ya soccer.
 
Very soon Biggy Mwaka lazima aitishe press kuhusu kesi ya Morrison iliyoko cas! 😂
 
Back
Top Bottom