Ndio kawaida yenu. Mshabiki wa Simba akiyasema mapungufu ya Simba anaambiwa sio mwanasimba ni mwanayanga. Hivyo hivyo kwa mshabiki wa Yanga akiyasema ya Yanga unaambiwa sio Yanga wewe. Sikushangai mkuu endelea na unachoaminiHuwezi kuwa shabiki wa Yanga ww.
Kabisaaa nimeshangaa mbumbumbu gani huyu amehamia YangaHuwezi kuwa shabiki wa Yanga ww.
Hatuongelei ushabiki hapa tuna ongea fact angalia move ya mpira toka kwa Yacouba kwenda kwa Tuislila usipo elewa hapo basi sina jinsiMimi ni mshabiki wa Yanga lakini ukiangalia sheria ni offside ya wazi kabisa. Kwasbabu
1) ukiangalia replay ni kwmba wakati mpira upo kwa Yacouba, Yacouba anampa pasi Tuosila ukimwangalia Waziri kwenye hilo tukio alikuwa tayari yupo kwenye offside position. Tuisila anachukua mpira anampa Waziri Junior ambaye alishakuwa kwenye offside position hapo kabla na bado ana receive mpira akiwa yupo kwenye offside position
Ndio kwenye hiyo hiyo move Waziri kaanza kutangulia mbele kabla hata mpira haujamfikia Tuisila. Mpira upo kwa Yacouba lakini tayari Waziri yupo katika offside positionHatuongelei ushabiki hapa tuna ongea fact angalia move ya mpira toka kwa Yacouba kwenda kwa Tuislila usipo elewa hapo basi sina jinsi
Mnafki tu.Kabisaaa nimeshangaa mbumbumbu gani huyu amehamia Yanga
Usitumie nguvu nyingi kuwaelemisha watu wasiojua mpira. Hao wanaokubishia ni mashabiki walioanza kushabikia mpira wakati wa utawala wa Kikwete ambao bado hawajui sheria za offside ila kwa sisi tunaoangalia mpira kwa zaidi ya miaka 20 sasa tunajua ile ni offside ila mwamuzi kajisahau. Matukio kama yale yanatokea sana tu hata Ulaya na huwa ni offside.Mkuu unaangalia mechi za nje ili nikupe mifano hai. Tuisila angefinga mwenyewe ingekuwa ni sahihi kwasababu kaupokea mpira katika onside position lakini wakati anaupokea mpira tuisila, tayari waziri junior yupo kwenye offside. Offside position inaangaliwa mtoa assist wakati anapiga mpira kwenda kwa mfungajii, je mfungaji yupo katika position ipi.
Yanga hatuna shabiki ambaye ni mbumbumbu, wewe ni mamluki tuMimi ni mshabiki wa Yanga lakini ukiangalia sheria ni offside ya wazi kabisa. Kwasbabu
1) ukiangalia replay ni kwmba wakati mpira upo kwa Yacouba, Yacouba anampa pasi Tuosila ukimwangalia Waziri kwenye hilo tukio alikuwa tayari yupo kwenye offside position. Tuisila anachukua mpira anampa Waziri Junior ambaye alishakuwa kwenye offside position hapo kabla na bado ana receive mpira akiwa yupo kwenye offside position
Ndugu tuisila wakat anampigia wazir tayar alishavuka mabeki wa timu pinzani hivyo hakuna offside,,Mkuu unaangalia mechi za nje ili nikupe mifano hai. Tuisila angefinga mwenyewe ingekuwa ni sahihi kwasababu kaupokea mpira katika onside position lakini wakati anaupokea mpira tuisila, tayari waziri junior yupo kwenye offside. Offside position inaangaliwa mtoa assist wakati anapiga mpira kwenda kwa mfungajii, je mfungaji yupo katika position ipi.
Aliyepewa pasi wakat huo ni wazir au tuisila?Mimi ni mshabiki wa Yanga lakini ukiangalia sheria ni offside ya wazi kabisa. Kwasbabu
1) ukiangalia replay ni kwmba wakati mpira upo kwa Yacouba, Yacouba anampa pasi Tuosila ukimwangalia Waziri kwenye hilo tukio alikuwa tayari yupo kwenye offside position. Tuisila anachukua mpira anampa Waziri Junior ambaye alishakuwa kwenye offside position hapo kabla na bado ana receive mpira akiwa yupo kwenye offside position
Sheria ya offside unashindwa kuitafsiri mkuu.Aliyepewa pasi wakat huo ni wazir au tuisila?
Na kama tuisila wazir anakuaje offside?
Acha kupotosha ndugu.Ndio kwenye hiyo hiyo move Waziri kaanza kutangulia mbele kabla hata mpira haujamfikia Tuisila. Mpira upo kwa Yacouba lakini tayari Waziri yupo katika offside positionView attachment 1825323
Bado.Sheria ya offside unashindwa kuitafsiri mkuu.
Ni hivi Waziri anakuwa offside kwasababu ni mchezaji anayeuingilia mpira wakati alikuwa katika offside position hapo kabla. kama ni mpenzi wa mpira utanielewa vyema ila kama ni mshabiki wa timu hautonielewa.
Mechi ya uefa kati ya Man City na Tottenham, Aguero alifuanga goli kwa mazingira kama hayo hayo ya Waziri Junior na goli lilikataliwa kwasababu kabla hata mpira haujaenda kwa mtoa assist, tayari Aguero alikuwa katika offside position. View attachment 1825465View attachment 1825466
Sheria ya Offside hii hapa. Isome vizuri Mkuu;Naomba nikuulize maswali mawili kutokana na tukio la mpira kwenda kwa Tuisila.
1) wakati mpira unaenda kwa Tuisila, je Waziri alisimama sawaswa na mabeki wa Mwadui au alikuwa nyuma yao au alikuwa yuko mbele ya mabeki?
2)umesema mchezaji hawezi kuwa offside mpaka mpira umfikie. Haya niambie huyu Waziri hakufikiwa na mpira?
Kwa kifupi huijui sheria ya offside kikamilifu...wananchi wanatisha kwa hasira hata refa alijua kabisa angekataa lile goal wangemla nyama live..vitisho vyao vinafanya kazi kwa kweli kasoro tu mitambo ya magoli inashindwa kufanya mambo sijui gazeti la mwanaspoti lilitudanganya?
View attachment 1824937
Mleta mada Kama kweli una idea na sheria ya offside tuambie Nani yupo offside hapowananchi wanatisha kwa hasira hata refa alijua kabisa angekataa lile goal wangemla nyama live..vitisho vyao vinafanya kazi kwa kweli kasoro tu mitambo ya magoli inashindwa kufanya mambo sijui gazeti la mwanaspoti lilitudanganya?
View attachment 1824937
Katazame video picha hutoielewaMbona anayepiga cross yupo mbele ya mfungaji? Au mimi ndiye mwenye makengeza?