Goli la Yanga dhidi ya Mamelodi mzozo ni mkubwa South Africa kuliko Tanzania, CAF inapoteza credibility

Goli la Yanga dhidi ya Mamelodi mzozo ni mkubwa South Africa kuliko Tanzania, CAF inapoteza credibility

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Gumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika.

Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza Vitu nisivyovijuwa.

South Africa wapinzani ni Chiefs na Orlando, lakini ukiwafuatilia vizuri unakuta wote wameungana kumshutumu Motsepe na kuilaani Mamelodi.

Inshort Ile Support ambayo kocha wa Mamelodi amelalamika haipati sasa ndio hatoipata kabisa hasa Kwa Wazulu wa Johannesburg, mechi za nusu fainali good option wakacheze Cape town watapata full support Kwa sababu Cape town hizi mechi za Champions league timu za Cape town hazina ubavu wa kutobowa.

Mashabiki wengi wa South Africa wanauliza, kama refa alikwenda kuangalia VAR ili ampe Kadi nyekundu Lomalisa, ni Kwa nini hakwenda kuangalia VAR kuhusu goli?

Ushauri wangu Yanga watume malalamiko rasmi CAF, refa aadhibiwe hizo pesa za Motsepe ndio ajikimu nazo, ila matokeo ya uwanjani huwa hayabadirishwi na Mimi si muumini wa ushindi wa mezani.

Yanga ndio Washindi ila Mamelodi wamenufaika.

Sisi siyo milimani, Al Kisasi hakhi.
 
Africa ni sehemu nzuri sana kuishi ila kumejaa watu wasiofaa kuishi nao,ni wanyama mfano mzuri ni huyo motsepe sijui
Ndio naelewa sasa Kwa nini licha Mamelodi kufanya vizuri na kuiwakilisha vyema South Africa lakini PSL ilikataa kuhairisha mechi ya ligi Kati ya Mamelodi na Richards bay, kuna beef Kati ya SAFA na PSL na PSL wanamkazia Motsepe.
 
Kesi kwenda CAF ni sawa na kumpelekea nyani kesi ya tumbili. Tukubali tu tumetoka
Kuna hatua lazima zichukuliwe kuweka kumbukumbu Sawa.

Hatutaki ushindi wa mezani lakini refa aadhibiwe.

Kwani Eng Hersi naye si ana kacheo Ka mchongo uko CAF?

Hili haliwezi kuisha kimyakimya lazima refa aadhibiwe otherwise tutasema Yanga imeshiriki kupanga matokeo ndio maana key players watatu tumewakosa.

Eng Hersi popote ulipo, usikubali kukinywa kikombe hiki, ukikaa kimya bila kufile malalamiko na ushahidi CAF na wewe tutakuingiza kwenye kuñdi la waliochukuwa bahasha za Motsepe.
 
Kesi kwenda CAF ni sawa na kumpelekea nyani kesi ya tumbili. Tukubali tu tumetoka

Motsepe ndiye CAF...

Hii game Yanga walikuwa waimalize Dar, kuna watu nilikuwa nawaambia wenye ile game ya kwanza kwamba Yanga angetupia 1 tu, basi ndio ingekuwa kaingia nusu fainali...

Next season Yanga ajitahidi asajili kimkakati, aongeze hata strikers wawili wenye njaa, atasumbua kama mwaka huu...
 
Kama inawezekana kupambana mechi ikarudiwa basi heri ngoma irudiwe tu
Kuna hatua lazima zichukuliwe kuweka kumbukumbu Sawa.

Hatutaki ushindi wa mezani lakini refa aadhibiwe.

Kwani Eng Hersi naye si ana kacheo Ka mchongo uko CAF?

Hili haliwezi kuisha kimyakimya lazima refa aadhibiwe otherwise tutasema Yanga imeshiriki kupanga matokeo ndio maana key players watatu tumewakosa.

Eng Hersi popote ulipo, usikubali kukinywa kikombe hiki, ukikata kimya bila kufile malalamiko na ushahidi CAF na wewe tutakuingiza kwenye kuñdi la waliochukuwa bahasha za Motsepe.
 
Gumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika

Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza Vitu nisivyovijuwa.

South Africa wapinzani ni Chiefs na Orlando, lakini ukiwafuatilia vizuri unakuta wote wameungana kumshutumu Motsepe na kuilaani Mamelodi.

Inshort Ile Support ambayo kocha wa Mamelodi amelalamika haipati sasa ndio hatoipata kabisa hasa Kwa Wazulu wa Johannesburg, mechi za nusu fainali good option wakacheze Cape town watapata full support Kwa sababu Cape town hizi mechi za Champions league timu za Cape town hazina ubavu wa kutobowa.

Mashabiki wengi wa South Africa wanauza, kama refa alikwenda kuangalia VAR ili ampe Kadi nyekundu Lomalisa, NI Kwa nini hakwenda kuangalia VAR kuhusu goli?

Ushauri wangu Yanga watume malalamiko rasmi CAF, refa aadhibiwe hizo pesa za Motsepe ndio ajikimu nazi, ila matokeo ya uwanjani huwa hayabadirishwi na Mimi si muumini wa ushindi wa mezani.

Yanga ndio Wahindi ila Mamelodi wamenufaika.

Sisi siyo milimani, Al Kisasi hakhi.
Screenshot_20240406-091527~2.png

SABC wao walishahesabu
 
Back
Top Bottom