Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Na ni Kwa nini wachezaji hawakumfosi refa aende kuangalia VAR?
Hata mimi nilishangaa kapteni kutomzonga refa kidogo kumlazimisha aende kutazama yeye mwenyewe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ni Kwa nini wachezaji hawakumfosi refa aende kuangalia VAR?
Achana na motivational speakers je kitu kama hiki kilitokea lini ?Usiseme matokeo hayawezi kubadilika, Yanga wanapeleka malalamiko ya match fixing Mamelody anaondolewa Yanga wanapewa ushindi. Inawezekana kabisa without a doubt
Tatizo hata sheria za matumizi ya VAR hawazijui, wanabwatuka tuuUkiwaambia haya mashabiki wa Yanga, ndo wanavurugwa kabisa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mechi ipi labda refa alienda kuangalia kama goli limevuka mstari, tutajie hapa tuangalieHuyo mpira una uangaliaga peke yako? Wacha urongo wewe. Ni mara ngapi tunashuhudia marefa wanaenda kuhakikisha kama it was a clear goal or not
Sijasema mechi irudiwe nimesema Mamelody washitakiwe for match fixing then waondolewe mashindanoni Yanga wapiteAchana na motivational speakers je kitu kama hiki kilitokea lini ?
Unaikumbuka fainali iliyoleta vurugu ya Esperance Vs Wydad Casablanca ? Kama ile fainali haikurudiwa ndio irudiwe mechi ya Yanga ?
Na ni vema zaidi Yanga wahamie SA ili wakutane na waungane na wanaoipinga Masandawana ili kuongeza nguvu.Gumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika.
Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza Vitu nisivyovijuwa.
South Africa wapinzani ni Chiefs na Orlando, lakini ukiwafuatilia vizuri unakuta wote wameungana kumshutumu Motsepe na kuilaani Mamelodi.
Inshort Ile Support ambayo kocha wa Mamelodi amelalamika haipati sasa ndio hatoipata kabisa hasa Kwa Wazulu wa Johannesburg, mechi za nusu fainali good option wakacheze Cape town watapata full support Kwa sababu Cape town hizi mechi za Champions league timu za Cape town hazina ubavu wa kutobowa.
Mashabiki wengi wa South Africa wanauza, kama refa alikwenda kuangalia VAR ili ampe Kadi nyekundu Lomalisa, NI Kwa nini hakwenda kuangalia VAR kuhusu goli?
Ushauri wangu Yanga watume malalamiko rasmi CAF, refa aadhibiwe hizo pesa za Motsepe ndio ajikimu nazi, ila matokeo ya uwanjani huwa hayabadirishwi na Mimi si muumini wa ushindi wa mezani.
Yanga ndio Wahindi ila Mamelodi wamenufaika.
Sisi siyo milimani, Al Kisasi hakhi.
Kaka huwa unaona al ahly wanavyomtia pressure referee hadi anatii kwenda kutazama VAR, Mbona hawepewi kadi?Wangepewa kadi
Kapteni wa Yanga anazifahamu fika sheria za matumizi ya VAR ndio maana hakumzonga refaHata mimi nilishangaa kapteni kutomzonga refa kidogo kumlazimisha aende kutama yeye mwenyewe...
Yani mnavyocheka na kufurahi ni kama vile hamjapigwa nje ndani 😅😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani wao wanataka uipende? Ukiipenda uto inatosha bwasheee. Woiiiiih
Timu kama al ahly wanapomzonga refa huwa hawazijui sheria hizo?Kapteni wa Yanga anazifahamu fika sheria za matumizi ya VAR ndio maana hakumzonga refa
Umeshasema Al Ahly jaribu wewe mmatumbi uoneKaka huwa unaona al ahly wanavyomtia pressure referee hadi anatii kwenda kutazama VAR, Mbona hawepewi kadi?
Nyerere aliona mbali kukemea rushwaKatika kuangalia kwangu mpira nilishangaa refa kukataa lile goli maana hata kabla ya VAR mpira ulivyogonga ndani na kutoka nje unaonyesha kabisa mpira uliingia ndani ila refa hakutaka kabisa kufatilia marudio ya VAR daah rushwa ni mbaya sana jamaa wananunua wachezaji wa gharama na wanatoa rushwa ili wapate makombe...
Kama ambavyo timu flani hapa nyumbani zinanunua wachezaji kwa gharama kubwa halafu zinatoa rushwa kwa waamuzi.Katika kuangalia kwangu mpira nilishangaa refa kukataa lile goli maana hata kabla ya VAR mpira ulivyogonga ndani na kutoka nje unaonyesha kabisa mpira uliingia ndani ila refa hakutaka kabisa kufatilia marudio ya VAR daah rushwa ni mbaya sana jamaa wananunua wachezaji wa gharama na wanatoa rushwa ili wapate makombe...
Kwani Simba nayo Jana ilikuwa inacheza?Yani mnavyocheka na kufurahi ni kama vile hamjapigwa nje ndani 😅😅
Yaan wanabwataaa sanaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo hata sheria za matumizi ya VAR hawazijui, wanabwatuka tuu
Tungekuwa tunaumia hivi CCM inavyoiba Kura tungekuwa tumeshajikombowa.Nyerere aliona mbali kukemea rushwa
Rushwa ni adui wa haki rushwa inaumiza sana moyo
Moyo wangu umeumia sana tukio la jana
Okay hapo ushahidi wa match fixing umeutoa wapi ?Sijasema mechi irudiwe nimesema Mamelody washitakiwe for match fixing then waondolewe mashindanoni Yanga wapite
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yanga wapite kwa kukosa penalt? Mbona Williams ataandamana, yaan kudaka ile mishale iwe kazi buree kwake, wee huogopiiii?Sijasema mechi irudiwe nimesema Mamelody washitakiwe for match fixing then waondolewe mashindanoni Yanga wapite