Goli la Yanga dhidi ya Mamelodi mzozo ni mkubwa South Africa kuliko Tanzania, CAF inapoteza credibility

Ila waache ulozi.

Juzi kuna mkoa jirani na Dar nilikua huko niliambiwa na wenyeji kuwa Yanga game yao ya hapa dar waliicheza huko.

Yaani game huwa zinachezwa kabla mkuu.

Uchawi upo.
 
mkuu matokeo huwa yanaweza kubadilishwa ikibainika kulikuwa na upangaji wa matokeo, ila kikubwa sana CAF waseme tu je lile ni goli au si goli? then uamzi tunawaachia wao nini kifuate baada ya hapo wanahitaji ku clear air kabla haijakuwa mbaya na chafu zaidi kuliko hii
 
YANGA wamezoea kuhonga marefa ingekuwa Tanzania lile ni GOLI
 
 

Attachments

  • FB_IMG_1712425387055.jpg
    25 KB · Views: 2
  • FB_IMG_1712425352345.jpg
    46.1 KB · Views: 2
  • FB_IMG_1712425339198.jpg
    48.4 KB · Views: 2
Kwa hiyo mmeshaanza maandalizi ya mchezo wa nusu fainali?
 
Kabisa mkuu. Wewe ndio mpenda soka na haki
 
Acha uongo, Saa ku-vibrate inatumika kwenye Goal Line Techinology na sio kwenye VAR.

Makolo wachawi.
 
Wenye uelewa pls
Makosa kwenye uchezaji ni moja ya sehemu ya mpira. Hakuna kitakachobadilika. Hii siyo mara ya kwanza makosa kutokea. Kumbuka Maradona na gili la mkono. Lambard na goli lililokataliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…