Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Nikikuruhusu itakuwa Haina feelings za kutosha ni heri nifanyiwe surprise 😅Hujaniruhusu nikufungulie laaziz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikikuruhusu itakuwa Haina feelings za kutosha ni heri nifanyiwe surprise 😅Hujaniruhusu nikufungulie laaziz
Sitaki,kwanza ulishanitema😔Nikikuruhusu itakuwa Haina feelings za kutosha ni heri nifanyiwe surprise 😅
😂😂😂Anasema chitaaki chitaaki
😂😂😂wote waliokwenye mahusianoAnatuonea wivu au anmuonea wivu na unique flower?
Nyonga mkalia ini,wa kumoyo, kizuri changu..ni lini nimefanya Hilo tendo la unyanyasaji wa kihisia?Sitaki,kwanza ulishanitema😔
😂au ngoja nitembee kwa mguu tu jaman....ngoja ngoja yaumiza matumbo u knowNyonga mkalia ini,wa kumoyo, kizuri changu..ni lini nimefanya Hilo tendo la unyanyasaji wa kihisia?
Usisahau kumuweka wazi mbadala wa kipenzi chako maadam kesha ondoka huyo 😂Wapenzi watazamaji , na mnaomchukia unique flower kipenzi changu kinasafiri Kiko hapa mswety I love u so much safari njema.💕❤️
My heart beat
My kindness
My unique flower my life my water .
Come back soon 2weeks ni mbali sana mwaa💞💞💞🥰
Tatizo lako mbinafsi ..na kakijana hujamuweka kwenye safari😅😂au ngoja nitembee kwa mguu tu jaman....ngoja ngoja yaumiza matumbo u know
Mungu akupe Nini tena na Unique Flower yuko single kwa wiki 2?zinatosha hizo kuteka Jimbo mazima😅Chitaaki chitaaki🤣🤣👌
Afu waongeaji hawa ndo watu poa sana...kuliko mkimya break pumbuIla ningemshauri huyo baba Unique Flower avae ata mfuko wa mkate au unasemaje my dia To yeye
Uyu ukimkula atakuletea thread apaMungu akupe Nini tena na Unique Flower yuko single kwa wiki 2?zinatosha hizo kuteka Jimbo mazima😅