Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

No flash
 

Attachments

  • SO1581183519391.jpg
    SO1581183519391.jpg
    177.6 KB · Views: 2
Wewe hiyo 50 mpaka 67 Ndani ya saa moja umetoa wapi?


Hiyo simu kufika 50 ni ndani ya around 10 minutes. Kuna charging test nyingi za hiyo simu zimejaa youtube. Hakuna charging test hata moja ambayo hiyo simu imejaa mpaka 100% in above 35 minutes.

Halafu ngoja nikuambie kitu. Hizo cases za kufa battery ni kwenye hizo low end na midrange smartphones hakuna high end smartphone inayokufa battery kijingajinga. I'm talking from experience.

Sent using Jamii Forums mobile app


Hiyo kufika 50% in ten minutes umetoa wapi 😁😁acha mihemko piga hesabu acha kudanganywa na wafanya biashara...unajua kuichaj battery ya 4000mah ifike 50% yake in 10min unahitaj chaja yenye inatoa 5V na zaidi ya 4A ..ambayo ni over 20w 😁 we unayo hiyo chaji.....

Tatizo la humu kila mtu ni mjuaji nimekwambia phones manufacturer wanachofanya kukucheat we unabisha ....

Umeona matatizo ya battery kwenye simu za i phone ...nyingi used zinazouzwa zishamaliza life cycle ..we unajua zinatokana na nn kwann nyingi life cycle imeisha mapema?? Acha ujuaji mkuu
 
Link Kwa akili ya Hizi SIM za Vivo? Na oppo
Wakuu bila kupoteza muda,,Nimeshangaa kuona jukwaa la tech hadi leo hii hakuna uzi special wa GCam au Google camera.

Haina ubishi,hii ndio app bora ya Camera kuwahi kutokea,ambayo imetengenezwa na google wenyewe

Utakubaliana na Mimi kama tu umeshawahi tumia simu zao za pixel,zile simu zinapiga picha hatari,Hii yote imetokana na App bora ya camera waliyo nayo,ukiachilia camera specs.

FEATURES

Hii app ina features nyingi tu ila kubwa ninazoona ni 3 tu

1.GCAM POTRAIT MODE
Hii inajulikana kama bookeh effect au potrait mode kama nilivyo itaja,Hii ni ile feature ambayo camera inakua ina focus kwenye subject tu na kupotezea background huko nyuma,Nadhani ushaijua,Sasa potrait ya Gcam ni balaa maana inapiga mbele na nyuma,kwa maana hadi selfie camera ina potrait mode

hivyo kama utafanikiwa kuinstall basi utaenjoy hiyo feature na kuwashangaza marafiki zako as if unatumia Canon[emoji3]

2.HDR PLUS
Gcam inakuja na feature ya hdr+ ambapo picha zako zitaku very rich na hdr effect na kuzifanya kua bora zaidi ya stock camera.

3.Optimized Night mode
Kwa wale wazee wapenda picha za usiku basi Gcam ndio kiboko yake,hapa utapata great night shots kuliko stock camera ya simu yako.

DOWNLOADS

Sasa kwakua App hii ni special kwa sim za google na other android one devices basi ndio hapo kuna developers tofaut wakaweza ku port hii app kwa device zingine ili na sisi tuenjoy.

Hapa chini ninaweka link ya Gcam Hub ambapo ni kama center ya hizi app kwa simu zetu.,,hivyo utaingia na kusaka port sahihi ya simu yako



au pia unaweza nenda google Gcam for your device na ukapata link nzur zaidi.

make sure unafata maelekezo kama yatakuepo katika process ya kuintall


##Kabla ya kutaka kuweka Gcam hatua ya kwanza kabisa unatakiwa kucheki kama simu yako itasuport Gcam kwa njia rahisi tu..yani kujua kama inaruhusu modification za camera...


tumia hiyo app kisha start and then weka result hapa

CHANGAMOTO

challenge kubwa ni ku crash kwa app kwa baadh ya simu hii ni kutokana na app hii kua ported na developers tofauti,hivyo usichoke kuchange port ya developer mwingine kama uliyo nayo inasumbua.

Wazee wa MTK devices hii kitu msahau tu,hakuna port ya mtk hadi sasa,,yani wakina Tecno na ndugu zake wote.

Baadh ya pics za Gcam naweka hapa chini,ila tu siwezi post sura yangu kwa privacy,nitaweka za wenzetu kutoka grup yaGcam huko facebook na baadh nilizopiga kwa sim yangu.



View attachment 1094995View attachment 1094996View attachment 1094997View attachment 1094998View attachment 1094999View attachment 1095000View attachment 1095005View attachment 1095006

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo simu charger yake ni 50W wewe unazungumza habari za 20W sijui hata upo dunia ya wapi.

Wana simu yao nyingine inaitwa Oppo Reno Ace yenyewe ina 65W Hiyo inajaa kwa dakika 28 tu.

Mimi nazungumza simu zingine wewe unaleta habari za Iphone. Unayumba aiseee.

Fatilia vitu technology ya miaka minne tu iliyopita siyo sawa na leo.


Hiyo kufika 50% in ten minutes umetoa wapi [emoji16][emoji16]acha mihemko piga hesabu acha kudanganywa na wafanya biashara...unajua kuichaj battery ya 4000mah ifike 50% yake in 10min unahitaj chaja yenye inatoa 5V na zaidi ya 4A ..ambayo ni over 20w [emoji16] we unayo hiyo chaji.....

Tatizo la humu kila mtu ni mjuaji nimekwambia phones manufacturer wanachofanya kukucheat we unabisha ....

Umeona matatizo ya battery kwenye simu za i phone ...nyingi used zinazouzwa zishamaliza life cycle ..we unajua zinatokana na nn kwann nyingi life cycle imeisha mapema?? Acha ujuaji mkuu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom