Putin alisema atatunga sheria ngumu sana ili iwe vigumu kwa makampuni ya nje kuondoka Urusi.Haahaa!
Dawa ni Google kujiondoa Russia basi
Huku ni kukomoana tu hakuna kingine.In fact huo mzigo wa noti zikichapwa zote dunia itayumba kwenye orbit yake maana haitaweza kuubeba! Wote hatutakuwa salama. Tutajipeleka peponi wote at par!
Ni sawa na Russia kuwapiga ban google,hata hivo Russia wana search engine yao inayoitwa Yandex ndo inatamba kwao
Nadhani ili orbit isielemewe, itabidi huo mzigo uwekwe bank tofauti tofauti duniani, Tanzania hapa CRDB wataramba mzigo kiasi fulani, mzigo mwingine utatupiwa Brazil, Africa Kusini, Japan, Korea ya kaskani na hata Marekani kwenyewe; hivo yaaniIn fact huo mzigo wa noti zikichapwa zote dunia itayumba kwenye orbit yake maana haitaweza kuubeba! Wote hatutakuwa salama. Tutajipeleka peponi wote at par!
Tuwachangie google jamani🤣😂😂😂Kwa hio hela zote duniani zikikusanywa hazitoshi kulipa fidia hio?
Hicho ni kicha cha jumla. Ni KICHAA SHIRIKISHI. Wote nchi nzima mnakuwa mmekuwa vichaa at once. Hapo ni Mahakama ilifungua mdomo wakatamka hayo. Sijui amgeulizwa Rais Putin angeweweseka jambo gani kuhusu Ukraine. Tunashukuru Mungu kichaa shirikishi hutokea only once in global life time.Kampuni ya Google imepigwa faini ya rubles bilioni 2 (takriban $2.5 decillion) nchini Urusi kwa kukataa kufungua akaunti za pro-Kremlin na vyombo vya habari vya serikali, kama ilivyoripotiwa na RBC.
Adhabu hizo zilianza kwa kutozwa faini ya kila siku ya rubles 100,000 mwaka wa 2020, ikiongezeka maradufu kila wiki baada ya kesi zinazotolewa na mashirika kama Tsargrad na RIA FAN. Ikumbukwe Google ilikuwa na mapato ya dola bilioni 307 mwaka 2023, kimsingi uwezekano wa kulipa faini hiyo haupo.
A Russian court has ruled that Google owes Russian media stations around $20 decillion in fines for blocking their content, and the fines could get bigger.
To put that into perspective, the World Bank estimates global GDP as around $100 trillion, which is peanuts compared to the prospective fine. Google would therefore have to find more money than exists on Earth to pay Moscow - but on Tuesday fell a little short of that mark when it posted $88 billion quarterly revenue.
The bizarre amount has been calculated after a four-year court case that started after YouTube banned the ultra-nationalist Russian channel Tsargrad in 2020 in response to the US sanctions imposed against its owner. Following Putin's illegal invasion of Ukraine in 2022 more channels were added to the banned list and 17 stations are now suing the Chocolate Factory, including Zvezda (a TV channel owned by Putin's Ministry of Defence), according to local media.
"Google was called by a Russian court to administrative liability under Art. 13.41 of the Administrative Offenses Code for removing channels on the YouTube platform. The court ordered the company to restore these channels," lawyer Ivan Morozov told state media outlet TASS.
The court imposed a fine of 100 thousand rubles ($1,025) per day, with the total fine doubling every week. Owing to compound interest (Einstein's eighth wonder of the world), Google is now on the hook for an insane amount of money, or what the judge on Monday called “a case in which there are many, many zeros.”
URUSI: Mahakama imeitaka kampuni ya Google kuvilipa Vyombo vya Habari vya Serikali faini ya Dola za Marekani takriban Desilioni 20 (takriban Tsh. Undesilioni 56) kiasi ambacho inadaiwa hakipo duniani na faini hiyo inaongezeka kila sikuHizo Hela zimenishinda Hadi kuzisoma asee. Nimemuonyesha mkali wa mathe kasema hiyo Hela haipo na haitakuja kuwepo duniani
Ulikuwa wapi !?Jiwe nae aliipiga faini twitter kumbe?
Aliipiga faini kwa kosa lipi? Na umeitoa hiyo taarifa wapi?Ulikuwa wapi !?
ndio maana yakeKwa maneno mengine nikusema wamepigwa ban kuliko kuzunguka mbuyu
Hicho ni kituko tu na kisa ni youtube wamefungia account za Warusi wenye mlengo wa kutetea propaganda za Urusi, since Youtube ni US wakafungia hizo channel jamaa wakafungua kesi nchini kwao ndo mahakama ya Urusi imewapiga fine Youtube.. kiasi cha pesa ambaco kinazidi GPA ya dunia nzima.Sanctions ambazo Urusi inawabandika hao ni kali mno. Marekani kamwaga mboga, wao wameondoka na ugali.
Haipigwi ban ilipe fidia kama ban ijipige yenyeweHicho ni kituko tu na kisa ni youtube wamefungia account za Warusi wenye mlengo wa kutetea propaganda za Urusi, since Youtube ni US wakafungia hizo channel jamaa wakafungua kesi nchini kwao ndo mahakama ya Urusi imewapiga fine Youtube.. kiasi cha pesa ambaco kinazidi GPA ya dunia nzima.
Sasa si wazimu huo. Wanajua kuwa youtube hatalipa kitachofatia youtube ajitoe Urusi au Urusi iban Youtube itengeneze youtube yake kama china
Putin mnapenda kumuonea hapo ni mahakama huru za Urusi zimetoa hukumu huruPutin naye anewehuka.
Pepari linapolazimisha kuungwa mkono hata linapokosea. Na hiyo kajifuraisha tu hakuna mlipaji. Kwahiyo alipovamia Ukraine alitaka apigiwe makofi na kila binadamu? Na vyombo vya habari visapoti kuwa anafanya vizuri. Hahahahahaaa halipwi hata mia kinachofuata watajitoa Russia kwisha.Mahakama nchini Urusi imeiamuru Google kulipa faini ya $2.5 undecillion, kiasi ambacho ni kikubwa zaidi kuliko utajiri wote wa Dunia kwa kukataa kurejesha akaunti za vyombo vya habari vinavyounga mkono Kremlin.
Kiasi hiki kimehesabiwa baada ya Google kuondoa channel ya urusi ya Tsargrad kwenye YouTube, kufuatia vikwazo vya Marekani dhidi ya mmiliki wake.
Mwanasheria Ivan Morozov alisema Google ilitakiwa kuwajibika kisheria kwa kuondoa channels hizo. Ikiwa faini haitalipwa ndani ya miezi tisa, itazidishwa kila siku bila kikomo. Kampuni mama ya Google, Alphabet, iliripoti mapato ya zaidi ya $307 bilioni mwaka 2023, hali inayoonyesha kuwa ni vigumu kwa kampuni hiyo kulipa kiasi hicho.
Faini hii inakuja wakati Google ikikabiliwa na mashtaka matatu dhidi ya vyombo vya habari vya Urusi, huku ikituhumiwa kutokutekeleza amri za mahakama. Google pia ilisitisha ufadhili wa vyombo vya habari vya Urusi mara tu baada ya uvamizi wa Ukraine mwaka 2022.
Kweli mleta mada upo sahihi! Ulichokosea ni namna ya uwasilishaji!Au nimeelewa vibaya??
Haukuwa faini aliifunga ikawa hauwezi kuingia bila vpnAliipiga faini kwa kosa lipi? Na umeitoa hiyo taarifa wapi?