Govi langu linanitesa sana

Govi langu linanitesa sana

Miaka 25 bado nina govi nimekuja kushtukia nimekua mkubwa koz sisi kabila letu hatutoi magovi .Sasa kila nikiuliza naambiwa kutoa govi umri huu kuna madhara na inachelewa kupona .Kama kuna sehemu naweza kutoa govi kirahisi na kupona haraka ndani ya week mnisaidie nipo dar g/mboto.Asanteni sana
seriously
saidhaonga@yahoo.com

Ni zaidi ya mwaka sasa
Lete mrejesho.
 
Tatizo ni kupona haraka na hapa kitaa aibu watu wakijua si itabidi niwe najifcha ndani .any way ngoja nijaribu

Nunua msuli na baragshia....zuga nao kitaa kama wiki nzima watu wakuzoee kukuona nao...akitokea mwizi mkimbize na msuli wako...watoto kitaa wakicheza Mpira piga danadana...baada ya wiki kakate govi lako...endelea kupiga msuli wako...ila watoto wakikurushia Mpira upige danadana jifanye umestaafu....hapo utakuwa umeficha aibu yako
 
Fika hospitali za karibu upewe ushauri wa kitabibu...umri wowote govi linatolewa kwani ni operation ndogo tu hiyo.

Ni operation ndogo hila kwa umri wake anatakiwa anandaliwe kisaikilojia na hasa asiwaze juu ya mapenzi mpaka apone.
Hila pole sana Kijana kaliondoe.
 
Nunua msuli na baragshia....zuga nao kitaa kama wiki nzima watu wakuzoee kukuona nao...akitokea mwizi mkimbize na msuli wako...watoto kitaa wakicheza Mpira piga danadana...baada ya wiki kakate govi lako...endelea kupiga msuli wako...ila watoto wakikurushia Mpira upige danadana jifanye umestaafu....hapo utakuwa umeficha aibu yako

Smart technique
 
mi mbona nina 18yrs Na Ninalo, Ulaya 2 Hawatahiri Cna Haja Ya Kujisumbua
 
Tatizo ni kupona haraka na hapa kitaa aibu watu wakijua si itabidi niwe najifcha ndani .any way ngoja nijaribu

Ukishalitoa nunua kanzu/msuli na kibandiko, watu watajua umeamua kuvaa ki ustadh
 
ImageUploadedByJamiiForums1419332473.665752.jpg

Oooh sawa
 
Nunua msuli na baragshia....zuga nao kitaa kama wiki nzima watu wakuzoee kukuona nao...akitokea mwizi mkimbize na msuli wako...watoto kitaa wakicheza Mpira piga danadana...baada ya wiki kakate govi lako...endelea kupiga msuli wako...ila watoto wakikurushia Mpira upige danadana jifanye umestaafu....hapo utakuwa umeficha aibu yako

Watu mna mbinu za medani..hizi mngempa mama tibaijuka ingemsaidia sana kutowapisha wateue mwingine
 
Kaka nenda kalitoe kwani kwadunia yasasa kumpata mwanamke akakukubali ukiwa nagovi niwachache usihofie umri mimi kunalafikiyangu alikua anaona aibu kulitoa lakini nilimshauri mpaka akakubari nikampigia cm doctor nikampeleka akatailiwa kwasiri hakuna aliejua nayeyealikua na miaka 26 ila alipona baada ya wiki 3 nenda hosptal kunamadoctor wazuri anakuandikia dawa nzuri kidonda kinawahi kupona tena ckuhizi niraha wanatairiwa bure kwahisani ya watu wa marekan tofauti na enzi zetu.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
sasa iyo rahisi nenda hospitali tu unakatwa fasta au ukishindwa ni pm nkukate ata na panga.....then hujaoa ngono ya nini unalitesa govi bure then ntumie whatsap nilifanyie analysis........uwe unalifanyia make up si uso wako tu unatengeneza

Watu mnavituko!!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Pole mkuu, wadada wa kileo wanavyo penda kumung'unya dushe wakipambana na hiyo harufu si watatapika utumbo....
 
kaka hakuna madhara umri huo. ungekuwa huku nilipo ningekusaidia. nenda hosp.
 
hata wiki 3 inawezekana ila ushinde na ulale kama mbwa(uchi)na ukipona usi doo kwa wiki tatu zaid.
kuna rafiki yangu baada ya kupona fasta akapata ka dem akakafinya ile kumaliza tu,akatoka na damu. akajisalimisha kwa mtu mzima,kucheki kitu kimefumuka tena palepale uzi ulipopita,daa akarudishwa tena hosp.akashonwa tena,sisi tukawa tumepona yy kwa raha ya usku mmoja akauguza donda kwa mwez moja tena.

Kumbe na wewe ulikatwa govi ukibwani!!!!!!!!!
 
wala usihangaike,akitoka mungu wanafuata wazungu,na wala hawaangaiki na gov na maisha yanaenda mswano,liache tu kwanza mtu mwenye gov anachelewa kukojoa na sisi akina dada ndio tunapenda
 
Back
Top Bottom