Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
umenikumbusha mbali kipindi na mimi nimemaliza chuo nahustle hakuna aliekua na time na mimi,wote wenye uwezo wananicheki tu waone nitaishia wapi,wengine wananisikitikia eti kasoma lakini hana kazi,anadhurura mtaani,elimu haijamsaidia
Nimekuja kulamba shavu kwa juhudi zangu,mambo safi sasa naanza ona simu simu,mara naitwa kijana wetu,mara kaka.
Walikua na vijigari vyao,wamejenga vijumba wanajidai dai,nimewalipa mara mbili.
Binadamu ni wanafiki,nimechinjia wote baharini,sitaki ujinga
Hapa wengi ndio wanapokosea,Kama una uwezo msaidieNafikiri tumechelewa sana kujua umuhimu wa pass za juu katika kupaisha Taifa kiuchumi nk
Hivi inakuwaje mwanafunzi amemaliza Chuo amepata GPA ya 4.8 au kwa wenzetu wa Arts wanapata hadi GPA 5 naye yupo mtaani hana ajira?
Tesla yupi jmn tena?Creativity and innovation matter most ,tesla kafika hapo alipo kwa kujiongeza computer hakufundishwa darasani na ndio imemfikisha alipo mm naamini kama uko serious GPA ni upuuzi tu kikubwa get right materials angalia upepo unaelekea wapi jitose ulingoni...
Kuna watu wanaakili wewe ulikuwa unamjua kiombo kweli?Hiyo GPA ya 5 kwa vyuo vya dunia nzima inaweza patikana chuo cha UDOM tuu, na huyo mhitim asikubalike kwenye soko la ajira!
Ili afanikiwe anapaswa kuwa mwenye bidii na nidhamuLeo nilikua namwambia kijana wangu kwamba....
Shule itampa maarifa, lakini kusoma hakumpi guarantee ya kufanikiwa.
Lakini nilimwambia kwamba.....
Akishaipata elimu, atakua namaarifa. Ili afanikiwe anapaswa kuwa mwenye bidii na nidhamu
GPA hazicount marks, bali grades, ie "A" inaanzia 70 and above.Nafahamu!
But GPA ya 5! Yaani kwamba tangu anaanza mwaka wa Kwanza Hadi anamaliza chuo mwaka wa tatu au wa nne, alikuwa akipata [emoji817]% Kwa masomo yake yote?
Au ni wale ukipata "A" iwe ya 80 au 90 basi hiyo ni GPA ya Tano?
I wonder!
... Hongera boss.....😂😂😂umenikumbusha mbali kipindi na mimi nimemaliza chuo nahustle hakuna aliekua na time na mimi,wote wenye uwezo wananicheki tu waone nitaishia wapi,wengine wananisikitikia eti kasoma lakini hana kazi,anadhurura mtaani,elimu haijamsaidia
Nimekuja kulamba shavu kwa juhudi zangu,mambo safi sasa naanza ona simu simu,mara naitwa kijana wetu,mara kaka.
Walikua na vijigari vyao,wamejenga vijumba wanajidai dai,nimewalipa mara mbili.
Binadamu ni wanafiki,nimechinjia wote baharini,wanabaki wanasema tu.ooh eti ninadharau 😂
Ulikua huna time na mimi,na mimi sina time na wewe
Sitakagi ujinga
Je una taka kusema na kama ni mwanaume rushwa ya pesa inahusika???Jinsia ina umuhimu hapo, kama mwenye hiyo GPA ni mwanamke ujue RUSHWA YA NGONO ilihusika ndio waajiri hawaiheshimu sana. Tupambane sio lazima tuajiriwe..maisha yanaenda kwa kazi yeyote...lialia haisaidii
Sasa mtu Kama Mbunge musukuma anatunukiwa Doctorate unataka tumpeleke wapi ?kwa Nchi za wenzetu ukisoma Chuo chenje jina ukapata hizo pass, unaombwa ubaki na kutafutiwa kazi na nyingine huenda mbali na hata kupewa Uraia wanajua umuhimu wa mchango wako kwa Taifa lao hata kama hautakuwa direct.
Huku kwetu mtu anapata GPA ya 4.8 anabaki anazurura hadi aonekane achukuliwe kunufaisha huko nje (tunasubiri kazi zitangazwe, Shame!
Ukweli ni kuwa, watu wa hizo pass wapo very serious kwa chochote atakachofanya
Jino kwa jino tu... Hongera boss.....
Ila usiwafungie vioo wenye uhitaji, wasaidie tu ikiwezekana..
Usiogope kulipa ubaya kwa wema....give it a try.
...Kuna wakati inabidi ulegeze ili maisha na ujamaa uendelee'..Jino kwa jino tu
We sisi 2009-2012 tulisoma na mdada flani uchumi alikuwa ni kichwa balaa.Jinsia ina umuhimu hapo, kama mwenye hiyo GPA ni mwanamke ujue RUSHWA YA NGONO ilihusika ndio waajiri hawaiheshimu sana. Tupambane sio lazima tuajiriwe..maisha yanaenda kwa kazi yeyote...lialia haisaidii
GPA ya 5????Nafikiri tumechelewa sana kujua umuhimu wa pass za juu katika kupaisha Taifa kiuchumi nk
Hivi inakuwaje mwanafunzi amemaliza Chuo amepata GPA ya 4.8 au kwa wenzetu wa Arts wanapata hadi GPA 5 naye yupo mtaani hana ajira?
Tatizo sio gpa, tatizo lipo kwenye mitaala yetu, elimu inayofundishwa ni ya kuajiriwa sio kujiajiri ndo maana hata wew umejaa huohuo ujinga unauliza kwann hajapata ajira na sio kwann hajajiajir, hakuna serikal dunian ikaweza kuajir watu wake wote bali elimu ya kujiajiri ndipo tulipo feliNafikiri tumechelewa sana kujua umuhimu wa pass za juu katika kupaisha Taifa kiuchumi nk
Hivi inakuwaje mwanafunzi amemaliza Chuo amepata GPA ya 4.8 au kwa wenzetu wa Arts wanapata hadi GPA 5 naye yupo mtaani hana ajira?