Mzee
jakatugu nililog off umeandika unachojua wewe lakini nafsi yako inakukana kwamba kwa GPSA utaratibu hauko hivi...hii nitaielezea kwa kifupi baadae kwa sababu niko na majukumu mengine kidogo.
Mimi sijatumwa na mtu ila ufisadi wa pale ni mkubwa hauvumiliki...
TAKUKURU nawapa kianzio kidogo ili nikija baadae au kesho nitaweka uzi unaojitosheleza.
Pale PMU fatilieni mazungumzo ya simu ya DBSS, Glad na Meneja wao wa zamani Nganira na Sasa Sanga..humo mtajua madili yanayozungumzwa ili kuwapendelea wazabuni na fuatilieni mazungumzo ya hao wazabuni na CEO,DPAS na DBSS mtajua kinachoendelea namna hongo yao watakavyoipata ...., Kuna kijana pale GPSA hana kazi maalum na Wala sio mfanyakazi anaitwa nadhani (Deusi) nitaenda kuangalia vizuri Huyu ndio anatumiwa kufuata pesa kwa wazabuni na anapewa In-hand anazileta kwa wakubwa..( fuatilieni mawasiliano yake).
Hapa hatuzungumzi umbeya tunatoa taarifa kuisaidia serikali, nendeni mkikuta hata Kama Mimi nahusika kwenye ufisadi nikamateni mnitie korokoroni tumsaidie raisi ile taasisi inaliwa kwelikweli
Nitarudi