Sasa mkuu, mbona
FRAME-19 amezungumzia Ufisadi tangu enzi za mwambega mpka mda huu Ina maana wote wa kipindi hicho wameunganishwa
Kama Kuna ambao unawafahamu weka fact kizalendo kulinda maslahi ya nchi yetu na sio majungu.
Hebu leta hoja nzito kumpinga
FRAME-19 maana naona hajaegemea upande wowote zaidi ya kutoa maovu yanayofanyika na Sasa Kama huwajui na hupajui unawezaje kuwapinga na kusema sio kweli, mbona unanipa mashaka na kuona Kama unatumika kuficha maovu
Hebu tupe nondo, Yaani ile magufuli akiona unakuwa umemsaidia pa kuanzia.
FRAME-19 akiweka nondo yake moja inakuwa imejitosheleza haina majungu na anaonekana kuijua vizuri taasisi, hata mzee
jakatugu amekubali kwamba tuhuma ni za kweli japo anazipinga kwa hoja nyepesi Kama zako