GPSA: Tuhuma za ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka na mengineyo

GPSA: Tuhuma za ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka na mengineyo

Waswahili sisi ni wabobezi wa fitina na majungu, kuna mtu anatafutwa, mtujuze mkifanikiwa, acheni roho mbaya, si mna vikao vya wafanyakazi na mnayo Board of Directors, pelekeni huko malalamiko yenu, shubamit
 
Nakushauri ungepeleka taarifa hizi kwenye vyombo. Kama ni kweli wewe ni mtumishi naamini kuwa unajua utaratibu. Unaruhusiwa kuwapa taarifa vyombo vyote Takukuru, TIss na mamlaka husika. Hakuna mtu anayependa ufisadi nchi hii . Lakini mambo mengi ambayo yamezungumzwa kwa sisi tuliokuwa pale tunajua. Na kama kwamba kuna maslahi ya watu yanaguswa. Lakini kama kweli uko humo ndani maadili yako yamekaa vipi? Nadhani tuendelee kusaidia nchi. Tusijikite kwenye majungu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hao watu ambao maslahi yao yanaguswa ni akina nani mzee jakatugu ?
 
jakatugu andiko lako limejaa chuki zaidi ya uhalisia, Kama ni Mimi nilihusika na nikawa nimehamishwa, kwa nini sikuchukuliwa hatua kwa manunuzi ya kimagumashi ya Tsh 500m+?
Na Kama ni Mimi nimehusika kwa nini mlijilipa posho za kujipongeza baada ya kusaidiwa kujinasua kwenye huu ufisadi Kama alivyosema FRAME-19 ? Kwa nini msingeacha nibebe msalaba wangu kwa kuitia hasara serikali?

Nakupongeza sana lili kwa kukubali kwamba ni wewe ndie ulienunua gari hilo, na ukaiachia wakala chamgamoto na mgogoro mkubwa ambao unaonakana ulichukua muda sana mpaka kukamilishwa swala hili.

Nashauri ungeachia mamlaka iliyopo kuchukua hatua kwa mujibu na pia tuendelee kutimiza wajibu wetu huko tulipo bila badala ya kuendelea kuvuruga taasisi na viongozi waliopelekwa na mamlaka. Tuwaache watimize wajibu wao badala ya kuendelea kuvuruga kwa kukosa nafasi ambayo tulikuwa tuna matarajio makubwa nayo
 
Nakupongeza sana lili kwa kukubali kwamba ni wewe ndie ulienunua gari hilo, na ukaiachia wakala chamgamoto na mgogoro mkubwa ambao unaonakana ulichukua muda sana mpaka kukamilishwa swala hili.

Nashauri ungeachia mamlaka iliyopo kuchukua hatua kwa mujibu na pia tuendelee kutimiza wajibu wetu huko tulipo bila badala ya kuendelea kuvuruga taasisi na viongozi waliopelekwa na mamlaka. Tuwaache watimize wajibu wao badala ya kuendelea kuvuruga kwa kukosa nafasi ambayo tulikuwa tuna matarajio makubwa nayo
Hapa utabaki kuhisi tu kwa hoja nyepesi, Mimi na wewe hatujuani kabisa na naamini asilimia zote hatujawahi kuonana...

Mtahisi kila mtu ambaye aliwahi kukwamisha madili yenu.. Ila ukweli usemwe uchunguzi huru ufanyike wahusika wachukuliwe hatua kunusuru taasisi, wawe wamestaafu, wawe wako kazini, niwe Mimi sheria ifuatwe mkondo.

Na kwa vile mwenyewe unakili Kuna mkono wa upigaji kwenye ununuzi wa hili gari na wewe ulikuwepo TAKUKURU fanyeni kazi yenu wahusika wote wapate haki.

Hawa ndio wanaompa kazi ngumu raisi kuongoza hi nchi
 
Nakumbuka kuhsu gari hata sisi tuliokuwepo tulikuwa tunajua kuhusu swala hili, na ilikuwa ni kabla hata ya uongozi wa sasa haujaingia madarakani ndio maana nasema kwamba taarifa nyingi hapa zimejaa majungu na watu kubanwa kwenye maslahi yao.

Nakumbuka hili gari lilinunuliwa wakati wa huyu anayejiita cute ambaye tulihamishwa wote kwa pamoja . Kundi hili lengo lake tangu wakati e ilikuwa ni kudistabilize taasisi. Wanawake hawapendani ndio maana unakuta wamekuwa wa kwanza kupambana na wenzao.

Kwanini msikubali kwamba kuna watu walihamishwa na wakatolewa kwa kufanya biashara na serikali wakati ule kwa maslahi binafsi na wanatumiwa na hao wafanya biashara?
Mkuu jakatugu mbona Kama unaniunganisha na mimi, wakati hata Tz sipo mimi nimeuliza tu.

Kama unakubali hii scandal ya gari ni kweli basi naweza kuamini kwamba hata mengine yana ukweli.. TAKUKURU msaidieni raisi wetu mpenda nchi na mzalendo.

Hapa mmepewa taarifa zote jamani mnangoja nini?
Yaani Mimi nikisikia mtu anaibia nchi yake najisikia vibaya, huku nchi za wenzetu nilipo ni aibu mtumishi au raia kuibia nchi yake akifanya hivo anaweza kujiua mwenyewe kwa sonona tu hata kabla hajajulikana.

Huko watumishi mnalipwa mishahara mikubwa na tena mnaifisadi.. kiukweli kiasi kinachokusanywa serikalini ni kidogo kuliko kinachoingia mifukoni mwa watu maana kila mtumishi ni mpigaji...

Nakuhurumia sana raisi wangu magufuli una kazi kubwa kuwaongoza watanzania waliozoea wizi
 
Waswahili sisi ni wabobezi wa fitina na majungu, kuna mtu anatafutwa, mtujuze mkifanikiwa, acheni roho mbaya, si mna vikao vya wafanyakazi na mnayo Board of Directors, pelekeni huko malalamiko yenu, shubamit
Naona alichokifanya ni sahihi kuleta hapa, kwenye hizo board Kuna kuundiana fitna na wanaweza wakafunika kombe ..Hapa Hadi magufuli mwenyewe zinaweza kumfikia
 
Mkuu jakatugu mbona Kama unaniunganisha na mimi, wakati hata Tz sipo mimi nimeuliza tu.

Kama unakubali hii scandal ya gari ni kweli basi naweza kuamini kwamba hata mengine yana ukweli.. TAKUKURU msaidieni raisi wetu mpenda nchi na mzalendo.

Hapa mmepewa taarifa zote jamani mnangoja nini?
Yaani Mimi nikisikia mtu anaibia nchi yake najisikia vibaya, huku nchi za wenzetu nilipo ni aibu mtumishi au raia kuibia nchi yake akifanya hivo anaweza kujiua mwenyewe kwa sonona tu hata kabla hajajulikana.

Huko watumishi mnalipwa mishahara mikubwa na tena mnaifisadi.. kiukweli kiasi kinachokusanywa serikalini ni kidogo kuliko kinachoingia mifukoni mwa watu maana kila mtumishi ni mpigaji...

Nakuhurumia sana raisi wangu magufuli una kazi kubwa kuwaongoza watanzania waliozoea wizi

Mkuu sijakuunganisha, ila hao watu waliohamishwa nasi kwakuwa walikuwa wanafanya biashara na wahuni wa pembeni ndio wanaleta majungu humu. Baddhi yao walitarajia wangepewa nafasi ya juu ya taasisi ndio tatizo hilo kiongozi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu sijakuunganisha, ila hao watu waliohamishwa nasi kwakuwa walikuwa wanafanya biashara na wahuni wa pembeni ndio wanaleta majungu humu. Baddhi yao walitarajia wangepewa nafasi ya juu ya taasisi ndio tatizo hilo kiongozi


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sawa mkuu, uchunguzi ufanyike wajulikane wakamwate....fisadi ni mtu mbaya sana katika nchi

Na wewe mkuu inaonekana ulikuwa unasapoti wizi, kwa nini hukuwaripoti mapema ukaacha wanaifilisi taasisi?
 
Tatizo kubwa na huu ndio ukweli ni kwamba GPSA ilikuwa shamba la bibi huko zamani sasa hivi taasisi hii inafanya vizuri mno.

Tatizo watumishi wamekaa sehemu moja miaka na miaka kwa kuwa hakukuwa na uwezo kutoa stahiki za uhamisho, kwa sasa Wakala huu unavyopiga hatua kuongeza mapato inahamisha watumishi kwenda maeneo ya kukusanya mapato ya serikali ili kuchangia uchumi wetu, mbona wengine tumehamishwa na tumekubaliana kuwa ni kwa maslahi na hitaji la utumishi wa umma na hatulalamiki?

Wapo tuliohamishwa kwenda kwenye mikoa na sio kijijini ni makao makuu ya mikoa ya Tanzania bara kuongeza nguvu au kuongoza utamaduni huu haujakuwepo tangu GPSA imeanza na wapo waliohamishwa na idara kuu ya utumishi yani Wizara ya utumishi kwa kuwa ni kwa maslahi mapana ya umma nikiwepo mimi, watu waliokulia hapo hapo na ikaonekana tuhamishww kuleta maboresho kwa Wakala uliofikia hatua ya kufutwa kabisa kwa kuwa ulikuwa haujawahi kufikia lengo la kuanzishwa kwake, tumehama tulipewa stahiki zote kwa mujibu wa kanuni za utumishi!

Kwa mara ya kwanza bila kushurutishwa GPSA imetoa gawio serikalini ile awamu ya kwanza kabisa . Ni maendeleo makubwa mno na brand yake imekuwa kuliko miaka yote ya huo uongozi unaoonekana ulikuwa na afadhali! Na kama ni suala la watumishi posho, haijawahi kutokea hata siku moja miaka yote huko nyuma kuwa na posho hizo? Sasa hivi waliopo pale wanapewa! Sasa kwa nini tusione sasa hii ni mwanzo mzuri kwa uongozi uliopo? Mimi ambaye nimehamishwa ninaona maendeleo na haya hapa ni majungu ya baadhi yetu tuliohamishwa kwa maslahi mapana ya umma.

Pia uongozi wa serikali umeendelea kuboresha taasisi zake na baada ya muundo mpya wa GPSA wapo ambao ni viongozi nafasi zao hazikuwepo kwenye muundo huo mpya kwa sasa ndio wanataka kuongoza majungu haya. Ikumbukwe GPSA ina maslahi makubwa ya nchi.

Hiyo clearing inayotajwa tajwa inafanywa kwa kiwango kikubwa na hapa wengi wanaotaka kuhujumu serikali wana hasira kwa kuwa walikuwa na makampuni au wako nyuma ya makapuni ya watu binafsi tangu tukiwepo hapo. Sasa wanaumia kwa sababu biashara hiyo sasa inasimamiwa na GPSA yenyewe ujanja ujanja hakuna.

Ninashauri pia tuangalie zamani GPSA ilikuwa inatoa kiasi gani serikalini na sasa wanatoa nini? Na ni kwanini serikali ilifikia hatua ya kuifuta Wakala huo na kwanini leo hii serikali imewapa dhamana ya kugomboa mizigo yote ya serikali! Sio kwamba wameaminika?

Mimi niliekuwepo hapo GPSA ninaona kabisa baadhi yetu tumeanza kuhujumu umma na juhudi za serikali katika kuongeza mapato yake huu ndio ukweli. Tuache maslahi binafsi na taamaa zetu na badala yake tujikite kujenga nchi! Na tukumbuke kuwa sio lazima wote kuwa viongozi na tukiendelea hivi huku tulipo tutaonekana hatufai.
tulia hivyo hivyo,lazima uingie jela. Mnafikiri hiyo ofisi ni yenu?
 
Gawio lilitolewa kaka..
Kama mwanzo nilivoeleza, GPSA ni taasisi yenye vyanzo vingi vya mapato, mojawapo ni kumiliki visima vya mafuta Tanzania nzima na wateja wake sio wa kutafuta.

Huwezi kuwa na management yenye maslahi binafsi kwenye taasisi halafu utegemee taasisi ipate maendeleo. Hiki ndicho kilichopo GPSA,Kinachotokea ni kuwagawa wafanyakazi ili viongozi wawe wanapelekewa umbeya unaohusu madhambi yao ...matokeo taasisi imegeuka kuwa ya kimbeya, unafiki, majungu na morali na Ari ya kazi kwa watumishi ndani ya taasisi haipo kabisa. Yaani mtumishi ukiwepo GPSA unajiona kama umelaaniwa vile

Angalia namna Kitengo cha rasimali watu kinavyofanya kazi..kazi yao imegeuka kutafta habari za umbeya badala ya utawala...Hiki Kitengo kingevunjwa chote waletwe watu wenye kujua majukumu ya utawala.

Viongozi wanatumia Pesa nyingi kufanya uhamisho ambao sio wa maboresho na hauna tija kwa taasisi ila kwa sababu tu wamepata majungu kuhusu mtumishi....Special Audit ikifanyika hapa kuona gharama za uhamisho taasisi inayotumia na sababu zake wanaweza wasiamini watakachokiona..mtu mmoja anaweza kuhamishwa sehemu mbili ndani ya miezi4 na huko kote akalipwa mamilioni ya pesa...Sasa angalia hali ya ofisi zao zina hali gani halafu linganisha na gharama wanazotumia kuhamishahamisha watu.

Tungepata management kama ya MSD, GPSA tungekuwa mbali...yule CEO na DBSS hawana uwezo wa kuivusha GPSA zaidi wataididimiza kwa uroho na Ufisadi wao

Kwani MSD ina Management nzuri. ? Kuna madudu mengi sana. Mkurugenzi wa MSD ni mwanasiasa mzuri anajua kuji politics, lakini je Mahospitali kuna dawa? Ukitaka kujua Management ya MSD waulize wakurugenzi wa Hospitals na vituo vya Afya.

Watu wanalipa hela na wanasubiri mwaka na dawa hazifîki na ikifika unakuta kuna shida ya specification.

Kifupi taasisi za Umma zina shida. Na Magufuli mwenyewe hawezi hata kama alitaka kuweza maana hana Contract performance na hawa ma DG wake na kama anazo basi hakuna sheria msumeno itayowatia hofu hawa watu .

Wangeweka sheria DG yeyote akiingia Kwenye kashfa ya Rushwa au akishindwa kazi anakwenda Jela for sure na account zake zote zinakuwa blocked kwa uchunguzi. Anachukuliwa passport etc etc ; wakifanya Mfano kama Hiyo seriously kwa watu 3 utaona muelekeo ;

shida sheria zetu hazipo serious ndio maana unakuta Mkurugenzi anajua anazingua na wala hajiuzulu anasikilizia upepo.

Na MaDG wote wanasalary nzuri, sio chini ya 14Ml. hadi 20 Mil kwa Mwezi, na kuiba wana iba manina, TZ bwana !
 
Tatizo kubwa na huu ndio ukweli ni kwamba GPSA ilikuwa shamba la bibi huko zamani sasa hivi taasisi hii inafanya vizuri mno.

Tatizo watumishi wamekaa sehemu moja miaka na miaka kwa kuwa hakukuwa na uwezo kutoa stahiki za uhamisho, kwa sasa Wakala huu unavyopiga hatua kuongeza mapato inahamisha watumishi kwenda maeneo ya kukusanya mapato ya serikali ili kuchangia uchumi wetu, mbona wengine tumehamishwa na tumekubaliana kuwa ni kwa maslahi na hitaji la utumishi wa umma na hatulalamiki?

Wapo tuliohamishwa kwenda kwenye mikoa na sio kijijini ni makao makuu ya mikoa ya Tanzania bara kuongeza nguvu au kuongoza utamaduni huu haujakuwepo tangu GPSA imeanza na wapo waliohamishwa na idara kuu ya utumishi yani Wizara ya utumishi kwa kuwa ni kwa maslahi mapana ya umma nikiwepo mimi, watu waliokulia hapo hapo na ikaonekana tuhamishww kuleta maboresho kwa Wakala uliofikia hatua ya kufutwa kabisa kwa kuwa ulikuwa haujawahi kufikia lengo la kuanzishwa kwake, tumehama tulipewa stahiki zote kwa mujibu wa kanuni za utumishi!

Kwa mara ya kwanza bila kushurutishwa GPSA imetoa gawio serikalini ile awamu ya kwanza kabisa . Ni maendeleo makubwa mno na brand yake imekuwa kuliko miaka yote ya huo uongozi unaoonekana ulikuwa na afadhali! Na kama ni suala la watumishi posho, haijawahi kutokea hata siku moja miaka yote huko nyuma kuwa na posho hizo? Sasa hivi waliopo pale wanapewa! Sasa kwa nini tusione sasa hii ni mwanzo mzuri kwa uongozi uliopo? Mimi ambaye nimehamishwa ninaona maendeleo na haya hapa ni majungu ya baadhi yetu tuliohamishwa kwa maslahi mapana ya umma.

Pia uongozi wa serikali umeendelea kuboresha taasisi zake na baada ya muundo mpya wa GPSA wapo ambao ni viongozi nafasi zao hazikuwepo kwenye muundo huo mpya kwa sasa ndio wanataka kuongoza majungu haya. Ikumbukwe GPSA ina maslahi makubwa ya nchi.

Hiyo clearing inayotajwa tajwa inafanywa kwa kiwango kikubwa na hapa wengi wanaotaka kuhujumu serikali wana hasira kwa kuwa walikuwa na makampuni au wako nyuma ya makapuni ya watu binafsi tangu tukiwepo hapo. Sasa wanaumia kwa sababu biashara hiyo sasa inasimamiwa na GPSA yenyewe ujanja ujanja hakuna.

Ninashauri pia tuangalie zamani GPSA ilikuwa inatoa kiasi gani serikalini na sasa wanatoa nini? Na ni kwanini serikali ilifikia hatua ya kuifuta Wakala huo na kwanini leo hii serikali imewapa dhamana ya kugomboa mizigo yote ya serikali! Sio kwamba wameaminika?

Mimi niliekuwepo hapo GPSA ninaona kabisa baadhi yetu tumeanza kuhujumu umma na juhudi za serikali katika kuongeza mapato yake huu ndio ukweli. Tuache maslahi binafsi na taamaa zetu na badala yake tujikite kujenga nchi! Na tukumbuke kuwa sio lazima wote kuwa viongozi na tukiendelea hivi huku tulipo tutaonekana hatufai.
Utetezi wako unakinzana kidogo na kwa uandishi wako unaonekana ni mzee na una mda mrefu GPSA tusaidie kujua haya, FRAME-19 alisema Kitengo cha Ugomboaji DBSS na Mhasibu pale walikuwa na kampuni ya clearing na walikuwa Wana -divert mizigo yote inayotakiwa kupitia kwenye taasisi ya GPSA ikawa inapitia kwenye kampuni zao na Kitengo hicho kikachoka kwa kukosa mizigo kikaja kuokolewa na maagizo ya raisi, na hapa isingekuwa raisi haya mambo bado yangeendelea sio?...
Sasa na wewe unakubali hili kwamba hizi kampuni zilikuwepo zinafisadi Kitengo cha Ugomboaji, je ni za nani?

Na pia mkurugenzi wa zamani wa GPSA, Mwambega ametajwa unazungumziaje hili?
 
Utetezi wako unakinzana kidogo na kwa uandishi wako unaonekana ni mzee na una mda mrefu GPSA tusaidie kujua haya, FRAME-19 alisema Kitengo cha Ugomboaji DBSS na Mhasibu pale walikuwa na kampuni ya clearing na walikuwa Wana -divert mizigo yote inayotakiwa kupitia kwenye taasisi ya GPSA ikawa inapitia kwenye kampuni zao na Kitengo hicho kikachoka kwa kukosa mizigo kikaja kuokolewa na maagizo ya raisi, na hapa isingekuwa raisi haya mambo bado yangeendelea sio?...
Sasa na wewe unakubali hili kwamba hizi kampuni zilikuwepo zinafisadi Kitengo cha Ugomboaji, je ni za nani?

Ni zenu mlioondolewa na sasa mazingira hayaruhusu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Gawio lilitolewa kaka..
Kama mwanzo nilivoeleza, GPSA ni taasisi yenye vyanzo vingi vya mapato, mojawapo ni kumiliki visima vya mafuta Tanzania nzima na wateja wake sio wa kutafuta.

Huwezi kuwa na management yenye maslahi binafsi kwenye taasisi halafu utegemee taasisi ipate maendeleo. Hiki ndicho kilichopo GPSA,Kinachotokea ni kuwagawa wafanyakazi ili viongozi wawe wanapelekewa umbeya unaohusu madhambi yao ...matokeo taasisi imegeuka kuwa ya kimbeya, unafiki, majungu na morali na Ari ya kazi kwa watumishi ndani ya taasisi haipo kabisa. Yaani mtumishi ukiwepo GPSA unajiona kama umelaaniwa vile

Angalia namna Kitengo cha rasimali watu kinavyofanya kazi..kazi yao imegeuka kutafta habari za umbeya badala ya utawala...Hiki Kitengo kingevunjwa chote waletwe watu wenye kujua majukumu ya utawala.

Viongozi wanatumia Pesa nyingi kufanya uhamisho ambao sio wa maboresho na hauna tija kwa taasisi ila kwa sababu tu wamepata majungu kuhusu mtumishi....Special Audit ikifanyika hapa kuona gharama za uhamisho taasisi inayotumia na sababu zake wanaweza wasiamini watakachokiona..mtu mmoja anaweza kuhamishwa sehemu mbili ndani ya miezi4 na huko kote akalipwa mamilioni ya pesa...Sasa angalia hali ya ofisi zao zina hali gani halafu linganisha na gharama wanazotumia kuhamishahamisha watu.

Tungepata management kama ya MSD, GPSA tungekuwa mbali...yule CEO na DBSS hawana uwezo wa kuivusha GPSA zaidi wataididimiza kwa uroho na Ufisadi wao
Baada ya kusoma huu Uzi Jana Leo bahati nzuri inkakutana na mtu Fulani yuko GPSA kaniambia mambo ambayo ni DBSS wanafanya hadi nikamuonea huruma, inaonekana huyo DBSS anajina la Sanga na kama mjuavyo Sanga wengi wako kwenye system za Usalama wa nchi kwahiyo analindwa sana pia anatumia sana Ulozi nasikia ni balaa sana sasa ukiangalia ulozi wa kabila la Wakinga (wananunua utajiri kama anao) basi hapo wa kumuweza ni Ikulu tu wengine mtapotezwa bure
 
Tatizo kubwa na huu ndio ukweli ni kwamba GPSA ilikuwa shamba la bibi huko zamani sasa hivi taasisi hii inafanya vizuri mno.

Tatizo watumishi wamekaa sehemu moja miaka na miaka kwa kuwa hakukuwa na uwezo kutoa stahiki za uhamisho, kwa sasa Wakala huu unavyopiga hatua kuongeza mapato inahamisha watumishi kwenda maeneo ya kukusanya mapato ya serikali ili kuchangia uchumi wetu, mbona wengine tumehamishwa na tumekubaliana kuwa ni kwa maslahi na hitaji la utumishi wa umma na hatulalamiki?

Wapo tuliohamishwa kwenda kwenye mikoa na sio kijijini ni makao makuu ya mikoa ya Tanzania bara kuongeza nguvu au kuongoza utamaduni huu haujakuwepo tangu GPSA imeanza na wapo waliohamishwa na idara kuu ya utumishi yani Wizara ya utumishi kwa kuwa ni kwa maslahi mapana ya umma nikiwepo mimi, watu waliokulia hapo hapo na ikaonekana tuhamishww kuleta maboresho kwa Wakala uliofikia hatua ya kufutwa kabisa kwa kuwa ulikuwa haujawahi kufikia lengo la kuanzishwa kwake, tumehama tulipewa stahiki zote kwa mujibu wa kanuni za utumishi!

Kwa mara ya kwanza bila kushurutishwa GPSA imetoa gawio serikalini ile awamu ya kwanza kabisa . Ni maendeleo makubwa mno na brand yake imekuwa kuliko miaka yote ya huo uongozi unaoonekana ulikuwa na afadhali! Na kama ni suala la watumishi posho, haijawahi kutokea hata siku moja miaka yote huko nyuma kuwa na posho hizo? Sasa hivi waliopo pale wanapewa! Sasa kwa nini tusione sasa hii ni mwanzo mzuri kwa uongozi uliopo? Mimi ambaye nimehamishwa ninaona maendeleo na haya hapa ni majungu ya baadhi yetu tuliohamishwa kwa maslahi mapana ya umma.

Pia uongozi wa serikali umeendelea kuboresha taasisi zake na baada ya muundo mpya wa GPSA wapo ambao ni viongozi nafasi zao hazikuwepo kwenye muundo huo mpya kwa sasa ndio wanataka kuongoza majungu haya. Ikumbukwe GPSA ina maslahi makubwa ya nchi.

Hiyo clearing inayotajwa tajwa inafanywa kwa kiwango kikubwa na hapa wengi wanaotaka kuhujumu serikali wana hasira kwa kuwa walikuwa na makampuni au wako nyuma ya makapuni ya watu binafsi tangu tukiwepo hapo. Sasa wanaumia kwa sababu biashara hiyo sasa inasimamiwa na GPSA yenyewe ujanja ujanja hakuna.

Ninashauri pia tuangalie zamani GPSA ilikuwa inatoa kiasi gani serikalini na sasa wanatoa nini? Na ni kwanini serikali ilifikia hatua ya kuifuta Wakala huo na kwanini leo hii serikali imewapa dhamana ya kugomboa mizigo yote ya serikali! Sio kwamba wameaminika?

Mimi niliekuwepo hapo GPSA ninaona kabisa baadhi yetu tumeanza kuhujumu umma na juhudi za serikali katika kuongeza mapato yake huu ndio ukweli. Tuache maslahi binafsi na taamaa zetu na badala yake tujikite kujenga nchi! Na tukumbuke kuwa sio lazima wote kuwa viongozi na tukiendelea hivi huku tulipo tutaonekana hatufai.

We jamaa hoja zako dhaifu sana. Ukiwa unawaza kila anayekupinga ana maslahi binafsi utachelewa kujifunza. If i was in a position to decide; basi taasisi ya kwanza kuivunja ni GPSA!

Umezungumzia Clearing: Mimi nadhani hili tusibishane sana; serikali ifanye Survey kwa taasisi zote zinazohudumiwa na GPSA kwenye kufanya Cleaning.

Hilo ni janga na ninashangaa unaposema mna fanya vyema eneo hilo, ikiwa mzigo unaweza kukaa bandarini miezi 2 hadi 5 na nyie mpo, na mkiitoa mizigo mna sahau kukamilisha na baadhi ya Docs etc etc Yaani hilo eneo ndio mpo worst like you have never seen before.

GPSA is good for nothing, atafutwe Mkurugenzi aliyekuwa Serious bwana acheni mambo ya kipumbavu.
 
We jamaa hoja zako dhaifu sana. Ukiwa unawaza kila anayekupinga ana maslahi binafsi utachelewa kujifunza. If i was in a position to decide; basi taasisi ya kwanza kuivunja ni GPSA!

Umezungumzia Clearing: Mimi nadhani hili tusibishane sana; serikali ifanye Survey kwa taasisi zote zinazohudumiwa na GPSA kwenye kufanya Cleaning.

Hilo ni janga na ninashangaa unaposema mna fanya vyema eneo hilo, ikiwa mzigo unaweza kukaa bandarini miezi 2 hadi 5 na nyie mpo, na mkiitoa mizigo mna sahau kukamilisha na baadhi ya Docs etc etc Yaani hilo eneo ndio mpo worst like you have never seen before.

GPSA is good for nothing, atafutwe Mkurugenzi aliyekuwa Serious bwana acheni mambo ya kipumbavu.

Nashukuru kuwa wewe ni sehemu ya watu wa clearing ambao mnakereka na maamuzi ya serikali kuipa GPsa nafasi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yani uozo wa GPSA ni mwingi sana. Ni chukua tenda moja kwenye ofisi ya mkoa mmoja ya GPSA, hawakunilipa kwa miezi zaidi ya mitano nilipofuatilia kwa mtu wangu wa karibu ambaye yupo kitengo cha T...., ndipo nikalipwa hela lakini yule Boss wa mkoa akaapa kuwa sinta kuja kupewa tena kazi pale yeye akiwepo. Na kweli nikaja nikanyimwa kazi kazi baada ya mkataba kwisha na toka hapo hata niki-tenda chini ya kila mmoja nimekuwa nakosa kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kawashtaki PPRA ndiye regulator
 
Kwa nilivo usoma huu Uzi nilijua ufisadi umekoma nchi hii kumbe bado umetaradadi, ni vile tu media imebanwa, Kuna haja ya hizi tuhuma kufanyiwa kazi na wahusika wawajibishwe immediately

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom