uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,085
Kwa zama hiz bado kuna mtoto wa maskini akiwa chuo anawaza hiv?Unakosa hata jero ya vocha, unapoteza mpaka confidence halafu mademu ndio wanazidi kuwa wakali mamaaaee.
Zile illusion ulikuwa nazo kuwa ukimaliza chuo unapata kazi unamiliki ghetto kali na chuma chakutembelea zinayeyuka kama barafu mbele ya jua.
Ukimpigia mtu simu anakata hapo hapo hata kama unataka kumpa salamu anadhani unataka kupiga ukware.
Kweli kabisa mzeeHahahahah kuna ndugu hawawezi kumsaidia mtu yani yupo radhi akupige bata ila sio akupe mchongo! Ndugu wa aina hio huwa nawakwepa kama ukoma yani!
Mademu ni kweli kuna wanaochezea free kende bila mpango wa kazi kukamilika yani!
witnessj i remember that case
Hahahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baada ya kuchakaa sana na mtaa,heshima home inashuka kwa kasi, madogo hawakuheshim tena,unaifikiria miaka yako mingi uliyoipoteza shule.
Unaiangalia gpa yako kali uliyoidotea chuo na kwauchungu sana unachukua tecno yako iliyopasuka kioo na kutype JF “natafuta kazi yeyote halali”.
Kutokana na kwamba uko broke unaandika vitu visivyoeleweka na detail chache kukuhusu.
Basi wanabodi walivyo na roho mbaya wanacomment ‘ngoja niwahi siti ‘ au ‘ngoja waje wakupe mwongozo’.
Aisee maisha haya omba yadikukute asee[emoji23]
Basi atakuwa don dadaMzee wa kuvaa vikaptula...anavuta sana bangi...na ni pusha wa kitambo sana...kaanza kubana kete toka mwaka 1998
Sent using Jamii Forums mobile app
MUNGU Ana maajabu sanaHuwa namshukulu sana Mungu!! Asee
Japo Ndo Naingia kuisaka bachelor!!!
Sijachelewa sana!! Now 20's...
Nilipata mchongo nikiwa na 20 years!!! ...nazama kwa Government!!!!
Zaman sikuona thaman yake! Nadhan umri pia ulichangia!! Lakin Leo hii ndo naiona thaman yake:
Imagine namaliza form four tu!! Hata sikukaa sana kitaa!!.... Na wale!! Walioenda six!! Mpka degree!!!
Now day wengi nawapa company [emoji849]
Cha msingi mola ndo anaepanga!! Sis kama vijana kukata tamaa Ni mwiko:
Dogo kumbe una kinyongo! Alafu unajiona maisha umeyapatiiia kweli au sio?Brother wangu ni Advocate mkubwa tu hapa Tanzania ni class mate zake kina Lissu,Ngeleja, Feleshi huyu AG na wengine wengi!
Baada ya Chuo,nilijikomba sana kwake,Osha sana gari zake akiwa kazipaki pale kwake,peleka sana watoto wake shule,ukienda nae town, anakutambulisha huyu flani,yupo sehemu flani,huyu flani yupo sehemu flani! Kuna siku nimepiga interview PPF, enzi zile DG alikua William Erio,nikamwambia brother afanye mchakato huyu jamaa si hua tunakutana nae pale Leger Plaza Bahari Beach?? Jamaa akasema poa,nikaja kutana na Erio,nikamuuliza akasema hapana kaka yako hakuniambia lolote,Erio akavuta sharubu kwa brother,dogo anasema ulikua na ujumbe wangu,ni upi huo, brother akasema,nilipitiwa,nitakutafuta tuongee!
Niliporudi home,niliwashiwa moto hatari,namzaririsha kwa marafiki zake,naomba omba utadhani yeye hajui kama sina ajira,basi nikatulia zangu,nikawa naomba kudra za mwenyezi Mungu tu, jamaa mkienda bar mnakunywa beer hata za laki 3,na demu anakutafutia,anamlipa hata 50,000 ukachakate mbususu,lakini eti akupe pesa thubutu!
Pia nina brother wangu mwingine aliwahi kua DED enzi za Mkapa,Kikwete hadi kwa Magu mwanzoni ndiyo akasitaafu,nae alikuaga magumashi tu,sasa hivi ukimwona hata huwezi amini kama huyu ni Ex DED choka mbaya hama mbele wala nyuma,pesa zimeisha,karudi kijijini kwetu,ana stress ile mbaya,watoto wake wote hawana kazi,walisha jiunga na Mama yao,so dingi hana thamani tena!
Nilikuja saidiwa na mwana Jumuiya wenzangu, ndiyo alinipa connection,nikapata kazi,namshukuru sana yule Mzee,alishafariki lakini,Mungu amuweke mahala pema, Mwanga wa milele umwangazie, apumuzike kwa Amani!
Wanawake pia wanapata shida sana,anajikomba Weee,mwisho wa siku anachakatwa mbususu na kazi hapati,mwisho wa siku anakua na stress hadi unamuonea huruma!
Maliza kwanza chuoVijana waliopo chuo now second and third year ushauri wenu wadau wafanyaje hili kitaa wa ki mudu
Mkuu ushauri muhimu
Mkuu ushauri muhimu
Nilivyokuwa chuo nilikuwa nawaza mambo ya kitaa , mambo ya kujakupata kazi baadae .but kwa wakati huo haikusaidia zaidi ya kujiongezea mzigo wa stressMkuu ushauri muhimu
sawa mkuu kweli bahati tumetofautiana kikubwa ni dua tuNilivyokuwa chuo nilikuwa nawaza mambo ya kitaa , mambo ya kujakupata kazi baadae .but kwa wakati huo haikusaidia zaidi ya kujiongezea mzigo wa stress
Ila kuna jamaa aliniambia kitu maliza chuo kwanza .kila mtu na njia yake aliondikiwa kupata ridhiki so hivyo viwaze ukimaliza .so we waza shule kwanza maliza then waza kinachofuata . unataka kuruka stage au [emoji2]
Halafu usiogope kuhangaika huko kupo tu we ninani kwenye dunia hii usihangaike mathalani umeumbwa wa kiume msoto upo
Jibu langu ni lile lile maliza chuo kwanza
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Pole mkuuMe baada ya kugraduate nilipata kazi kwenye NGO flani, miezi miwili badae kazi ikaisha. Nikasugua bench hadi akiba ikaisha. Nikawa beach boy, daily bahari beach kuogelea. Nikapata marafiki wavuvi, nikajifunza uongo maana hakuna watu waongo kama wavuvi.
Anakudanganya wazi eti aliwahi kuona jini limesimama juu ya maji
Nilichakaa vibaya sana. Nikabaki na pens moja, suruali moja na tshirt mbili. Nguo nyingine ziliisha.
Hamna ushauri utapata kwenye uzi huu, huu ni uzi wa msoto.Tutafute nyuzi nyingine za kuchomoka zipo nyingiMnawajambisha sana waachane maana nasikia sasa namba ya wanafunzi wanaoacha chuo ni kubwa sana
Halaf kidume unazidi kuchakaa tu 🤣Unakosa hata jero ya vocha, unapoteza mpaka confidence halafu mademu ndio wanazidi kuwa wakali mamaaaee.
Ha ha haKikubwa upate utelezi hii stage macho hayaoni vizuri kila mwanamke ni mzuri
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app