Brother wangu ni Advocate mkubwa tu hapa Tanzania ni class mate zake kina Lissu,Ngeleja, Feleshi huyu AG na wengine wengi!
Baada ya Chuo,nilijikomba sana kwake,Osha sana gari zake akiwa kazipaki pale kwake,peleka sana watoto wake shule,ukienda nae town, anakutambulisha huyu flani,yupo sehemu flani,huyu flani yupo sehemu flani! Kuna siku nimepiga interview PPF, enzi zile DG alikua William Erio,nikamwambia brother afanye mchakato huyu jamaa si hua tunakutana nae pale Leger Plaza Bahari Beach?? Jamaa akasema poa,nikaja kutana na Erio,nikamuuliza akasema hapana kaka yako hakuniambia lolote,Erio akavuta sharubu kwa brother,dogo anasema ulikua na ujumbe wangu,ni upi huo, brother akasema,nilipitiwa,nitakutafuta tuongee!
Niliporudi home,niliwashiwa moto hatari,namzaririsha kwa marafiki zake,naomba omba utadhani yeye hajui kama sina ajira,basi nikatulia zangu,nikawa naomba kudra za mwenyezi Mungu tu, jamaa mkienda bar mnakunywa beer hata za laki 3,na demu anakutafutia,anamlipa hata 50,000 ukachakate mbususu,lakini eti akupe pesa thubutu!
Pia nina brother wangu mwingine aliwahi kua DED enzi za Mkapa,Kikwete hadi kwa Magu mwanzoni ndiyo akasitaafu,nae alikuaga magumashi tu,sasa hivi ukimwona hata huwezi amini kama huyu ni Ex DED choka mbaya hama mbele wala nyuma,pesa zimeisha,karudi kijijini kwetu,ana stress ile mbaya,watoto wake wote hawana kazi,walisha jiunga na Mama yao,so dingi hana thamani tena!
Nilikuja saidiwa na mwana Jumuiya wenzangu, ndiyo alinipa connection,nikapata kazi,namshukuru sana yule Mzee,alishafariki lakini,Mungu amuweke mahala pema, Mwanga wa milele umwangazie, apumuzike kwa Amani!
Wanawake pia wanapata shida sana,anajikomba Weee,mwisho wa siku anachakatwa mbususu na kazi hapati,mwisho wa siku anakua na stress hadi unamuonea huruma!