Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
π π π π π π ongeza sikuππππ Masaburi Mbususu ila JF bhana nimecheka sana wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π π π ongeza sikuππππ Masaburi Mbususu ila JF bhana nimecheka sana wakuu
Ha ha ha u are right.I bet ushabiki wako kwa Magu na kauhidi kulinda legacy ulianzia hapa.[emoji23][emoji23]
unatafuta hata buku utakosa, marafiki kukutenga yaan ovyo ovyoIle unatoka zako chuo unarudi nyumbani mwezi wa kwanza unapita kuna vitu vinaanza kutokea.
1. Usb yako inakufa
2. Sendo zinakatika
3. Jeans yako pendwa inachanika
4. Cadet zinapauka
5. Unaachwa na mpenzi wako.
Tuongeze vingine vingine
Ila watu hahahaha darBaada ya wiki lile bando linaisha,
unaamua ku hide last seen ya whatsapp,
Nywele ulizokuwa ukizitunza kwa garama unanyoa.
Unafikiria kazi ya kufanya unagundua hauna mtaji na uzoefu, unachoka
Unauza simu, unafuga kuku na wanakufa wote[emoji23][emoji23]
Unakosa dira, unaamua kuwa rough.
Unabadilika rangi ya ngozi na unakufa[emoji23][emoji23]
Kwa mange Kuna nn sijaingia Instagram mda sana.Atakojoa mkojo mbayaaa[emoji23][emoji23] ila mange hapana
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Haha kweli kitambo aisee.! ilibid awe na kiwanda kidogo Cha Kaya.Mzee wa kuvaa vikaptula...anavuta sana bangi...na ni pusha wa kitambo sana...kaanza kubana kete toka mwaka 1998
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kbs nipigie... achaga ufaraaa..Kwa mange Kuna nn sijaingia Instagram mda sana.
Faraa ni wewe[emoji23] nakpgia nkfika town natoka kiteto nw.
Pumbafu kabisa. Mimi mzungu wa roho kima wewe.... ole wakoooo[emoji23][emoji23] ama nimpigieFaraa ni wewe[emoji23] nakpgia nkfika town natoka kiteto nw.
MpigiePumbafu kabisa. Mimi mzungu wa roho kima wewe.... ole wakoooo[emoji23][emoji23] ama nimpigie
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kwa hyo mm Ni mwafrikaPumbafu kabisa. Mimi mzungu wa roho kima wewe.... ole wakoooo[emoji23][emoji23] ama nimpigie
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ewaaaa... kwanza hili jinaaa[emoji23][emoji23][emoji23] maovu yako unataka utuangushie amaKwa hyo mm Ni mwafrika
Mimi Babu yako ujueEwaaaa... kwanza hili jinaaa[emoji23][emoji23][emoji23] maovu yako unataka utuangushie ama
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wa wapi.. nitakuvunja we kibabuMimi Babu yako ujue