Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kuna kazi zingine zinakuhitaji tu, ujue kusoma na kuandikaHakuna mtu aliyepata IV ataenda kusomea taaluma ya muhimu kama udaktari ama uhandisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kazi zingine zinakuhitaji tu, ujue kusoma na kuandikaHakuna mtu aliyepata IV ataenda kusomea taaluma ya muhimu kama udaktari ama uhandisi.
You're one to talk!This is what I am talking about. Never put a full stop in any one's life. Just put a coma
wahandisi watatoka wapi kila mtu akisoma na kuandika tu?Kuna kazi zingine zinakuhitaji tu, ujue kusoma na kuandika
vyuma vina hela kinyama, watu hawa jui tu.Mdogo wangu kapata zero, nmefurahi kwani ni mda sahihi wa kuongeza wigo wa wafanyabiashara ktk familia yetu, dogo mwingine alifeli anauza vyuma chakavu, kwa mwezi anakunja si chini ya m3, kama profit msomi anaekunja kiasi hicho bongo ni mwenye levo ya Dr's
nakubaliana ma wewe, kwanza biashara si kwa kila mtu.You're one to talk!
Not everybody takes school for granted, hoping to become an entrepreneur with their street smarts.
Some people want to make meaningful impact in society, they thrive in solving problems, education gives them a chance.
Makampuni makubwa yanatoka njewahandisi watatoka wapi kila mtu akisoma na kuandika tu?
Kwa elimu hii hii ya Tanzania ya kukariri kuchora panzi?You're one to talk!
Not everybody takes school for granted, hoping to become an entrepreneur with their street smarts.
Some people want to make meaningful impact in society, they thrive in solving problems, education gives them a chance.
HakunagaHivi hapa Tanzania hizi shule zetu za kishua sijui Feza sijui IST zimewahi kutoa mshindi hata Mmoja kwenye shindano la International Olympiad in Informatics(IOI)..kweli??
Kwanza Kuna programing contest yoyote inayofanyika hapa nchini? Au wanasubirigi wafanye mitihani ya necta tu..!?
Hakuna taaluma ya maana kuliko nyingine. Kila mtu ana mchango wake kwenye jamii. Kwa mfano, wafanya usafi wengi ni form four lakini wanatufanya tufanye kazi kwenye mazingira safi. Hatuwezi wote kuwa madaktari etc. Tuheshimu mchango wa kila mtu maana zina umuhimu wake.Hakuna mtu aliyepata IV ataenda kusomea taaluma ya muhimu kama udaktari ama uhandisi.
100% FactAliepata zero amegoma kuwa programed, amekata kukariri anacholishwa. Ila anapaswa kujua uwezo alionao ili atumie kupiga hatu maana wazazi wake hawaja mgundua ukuu wake ni tabu kuzaliwa na wazazi vilaza wasiojua uwezo wa watoto wao kama mtoto anauwezo wa ufundi huko shule anafuata nini? Kama ni mtaalamu wa uvuvi na unajimu shule anafuata nini?
FactHakuna taaluma ya maana kuliko nyingine. Kila mtu ana mchango wake kwenye jamii. Kwa mfano, wafanya usafi wengi ni form four lakini wanatufanya tufanye kazi kwenye mazingira safi. Hatuwezi wote kuwa madaktari etc. Tuheshimu mchango wa kila mtu maana zina umuhimu wake.
Tuheshimu tu wafagiaji tusiheshimu wahandisi waliosota na vitabu?Hakuna taaluma ya maana kuliko nyingine. Kila mtu ana mchango wake kwenye jamii. Kwa mfano, wafanya usafi wengi ni form four lakini wanatufanya tufanye kazi kwenye mazingira safi. Hatuwezi wote kuwa madaktari etc. Tuheshimu mchango wa kila mtu maana zina umuhimu wake.
Msiwasomeshe basi. Waishi kwa hivyo vipaji.Aliepata zero amegoma kuwa programed, amekata kukariri anacholishwa. Ila anapaswa kujua uwezo alionao ili atumie kupiga hatu maana wazazi wake hawaja mgundua ukuu wake ni tabu kuzaliwa na wazazi vilaza wasiojua uwezo wa watoto wao kama mtoto anauwezo wa ufundi huko shule anafuata nini? Kama ni mtaalamu wa uvuvi na unajimu shule anafuata nini?
Watu wote waheshimiwe haijalishi kasoma au lah.Tuheshimu tu wafagiaji tusiheshimu wahandisi waliosota na vitabu?
Tunajuwa, ila ukikamatwa na chuma cha reli kesi yako ni uhujumu uchumi.vyuma vina hela kinyama, watu hawa jui tu.