Graduates wa kibongo Bana. Yani graduate mzima eti anawasikitikia watoto walio pata zero form 4

Graduates wa kibongo Bana. Yani graduate mzima eti anawasikitikia watoto walio pata zero form 4

" Masikini watoto wa Kayumba za Likud wamepata zero kibao duh ndio kwisha habari Yao"

Kuna watu kadhaa wame nitag kunikejeli Kwa hoja hii..cha ajabu ni kwamba watu hao wana jiita graduates eti🤣🤣🤣🤣

Kama wewe ni graduate, halafu unamsikitikia alie pata Zero form four Kwa kuona kwamba maisha Yake ndio mwisho wake hapo, basi Likud nakwambia kwamba, kijana kupata zero form 4 Sio mwisho wa kutimiza ndoto zake isipokuwa ni mwisho wa uwezo wako wewe kufikiria.

Yani akili yako ndio imefikia mwisho wake wa kuwaza.

Akili yako imejifunga. Ina amini kwamba kijana alie pata zero form 4 ndio amefika mwisho wa kutimiza ndoto zake.

Akili yako imekosa uwezo wa kuona uwezekano wa kijana alie pata zero kutimiza ndoto zake kwenye maisha Yake.

Wewe shuleni ulienda kukariri masomo lakini hukujaaliwa kupata maarifa yaku kupa uwezo wa kutatua changamoto zilizopo kwenye Jamii inayo kuzunguka.

Your mindset has stuck in the 90s and 80s.

You think 2025 is 1992.

Enzi hizo ndio watu walikuwa na hizo mentality yani mtu akifukuzwa Kazi eti ndio maisha Yake yanakuwa yameishia hapo atachanganyikiwa, mke atamkimbia, atafukuzwa kwenye nyumba anayo ishi blah blah blah . Wengine walikuwa hadi wanajiua eti.

Nakumbuka mwaka 99 nikiwa form one Kuna jamaa mmoja mtoto wa kota alizungusha form 4, eti akachanganyikiwaga kabisa 🤣🤣🤣 Kisa kapata zero.

Wewe graduate unae ona zero ya form 4 ya huyo kijana kama obstacle ya kutimiza ndoto zake unawaza kama alivyo kuwa anawaza baba yako mzazi miaka ya themanini na tisini.

Akili yako ina move in a backward direction.

Ndio maana kila siku nawaambiaga wacheni kujistress kulipa hela mnazopata Kwa tabu kwenye shule za EMs Kwa sababu huko watoto wenu wanafundishwa kuwa kama nyie.

Wanafundishwa Kujibu mitihani wafaulu lakini hawafundishwi kupata maarifa yatakayo wapa uwezo wa kusolve matatizo.

Matokeo Yake sasa mtoto wako unatumia hela nyingi kumsomesha anakuja kuwa daktari halafu unakuja Kufa Kwa pressure na yeye hawezi kukusaidia Kwa sababu Chuo wamefundishwa " Hakuna Dawa ya presha" kama ambavyo wewe una amini hakuna njia ya mafanikio Kwa mtu aliepiga zero form 4..

Inaitwa Generational Ignorance. You pass your ignorance to your children.

Watoto wenu wanafundishwa " Dunia inazunguka kwenye orbit yake Kwa siku 365" ukimuuliza kwanini siku 365 na sio 364 hana majibu.

Wanafundishwa mji mkuu wa Tanzania ni Dodoma ila waulize ' why Dodoma?" . Why not Singida or Arusha, hana majibu.

So wewe graduate unao wasikitikia form 4 waliopata zero Kwa kuona kwamba hapo ndio umefika mwisho wa kutimiza ndoto zao, jua ya kwamba akili yako ndio imefika mwisho wa kufikiria na Sio vinginevyo.

Unazidiwa maarifa mpaka na waganga wa kienyeji. Wakati watu wote wanakuona wewe mzima, mganga anakuona una majini.

Hivyo ndivyo ma injinia wanavyo waza. Wakati vilaza mnaona Bahari yeye Mwenzenu anaona daraja.

Natamani nikufungue akili uone usicho kiona lakini Wacha ubaki na ujinga wako..
Kula nondo hizi kutoka kwa KAYUMBA ALUMNI
 
Hakuna taaluma ya maana kuliko nyingine. Kila mtu ana mchango wake kwenye jamii. Kwa mfano, wafanya usafi wengi ni form four lakini wanatufanya tufanye kazi kwenye mazingira safi. Hatuwezi wote kuwa madaktari etc. Tuheshimu mchango wa kila mtu maana zina umuhimu wake.
Home sasa hivi sina house girl, huo mziki wake siyo wa kitoto.

Sasa hivi wife ndio anaona thamani ya dada wa kazi anayeamka asubuhi sana daily kuweka mazingira ya nyumba sawa, sasa hivi tunafanya wenyewe.

Umuhimu wa kitu utaujuwa usipokuwa nacho.
 
Hivi hapa Tanzania hizi shule zetu za kishua sijui Feza sijui IST zimewahi kutoa mshindi hata Mmoja kwenye shindano la International Olympiad in Informatics(IOI)..kweli??

Kwanza Kuna programing contest yoyote inayofanyika hapa nchini? Au wanasubirigi wafanye mitihani ya necta tu..!?
IST na NECTA wapi na wapi mkuu?
 
Duh aiseee
1737144087731.jpg
 
Home sasa hivi sina house girl, huo mziki wake siyo wa kitoto.

Sasa hivi wife ndio anaona thamani ya dada wa kazi anayeamka asubuhi sana daily kuweka mazingira ya nyumba sawa, sasa hivi tunafanya wenyewe.

Umuhimu wa kitu utaujuwa usipokuwa nacho.
Fact
 
Ni lazima tusikitike vijana wakifeli, yaani hatuwezi kufurahia watoto wetu wakifeli hata kidogo. Tunajua there's always a way, akishindwa hapa ataweza pale ila hilo haliondoi ukweli kwamba wakifeli f iv, f vi hatutafurahi.

Hata hivyo tunawaasa mjitahidi kufanya mazingira bora ya elimu kwa watoto wetu, shule za msingi walau ziwe na mazingira mazuri, waalimu wa kutosha na vitendea kazi bora. Hakikisheni mnawalipa walimu wenu vizuri ili wafanye kazi kwa ufanisi..

Tunataka mazingira kama haya...
Screenshot_20250124_104823_Chrome.jpg
Screenshot_20250124_104948_Chrome.jpg

Kamwe hatuwezi kukubali shule ziwe na mazingira mabovu namna hii.
Screenshot_20250122_151621_Chrome.jpg



Note: shule za sekondari za seeikali zimeanza kuboresha mazingira yake, tatizo ni walimu na vitendea kazi. Mlifanyie kazi msilalamike matokeo kuwa mabaya wakati hakuna input mnafanya.
 
Home sasa hivi sina house girl, huo mziki wake siyo wa kitoto.

Sasa hivi wife ndio anaona thamani ya dada wa kazi anayeamka asubuhi sana daily kuweka mazingira ya nyumba sawa, sasa hivi tunafanya wenyewe.

Umuhimu wa kitu utaujuwa usipokuwa nacho.
Tuliosoma functional theory tunatambua umuhimu wa kila mtu/ kitu kwenye jamii.
 
Hivi hapa Tanzania hizi shule zetu za kishua sijui Feza sijui IST zimewahi kutoa mshindi hata Mmoja kwenye shindano la International Olympiad in Informatics(IOI)..kweli??

Kwanza Kuna programing contest yoyote inayofanyika hapa nchini? Au wanasubirigi wafanye mitihani ya necta tu..!?
Hakuna mtz aliyeshinda olympiadšŸ˜‚ zile hata wamarekani wanaziogopa, wachina ndo wanazibeba sana

Lakini kuna hackathon nyingi tu huku africa

Daudi Nkanda wa Marian Boys alishinda East African Virtual Machine Learning Hackathon 2021
 
Tunajuwa, ila ukikamatwa na chuma cha reli kesi yako ni uhujumu uchumi.
naelewa, Kuna kipindi nili kuwa osterbay nyumba nilio panga vili kuwemo.

Jamaa mmoja akaja akawa na interested navyo, ali ahidi 35m. Ila nili waambia mki shikwa tuna nyea debe wote humu ndani
 
Kama wewe ni graduate, halafu unamsikitikia alie pata Zero form four Kwa kuona kwamba maisha Yake ndio mwisho wake hapo, basi Likud nakwambia kwamba, kijana kupata zero form 4 Sio mwisho wa kutimiza ndoto zake isipokuwa ni mwisho wa uwezo wako wewe kufikiria. Yani akili yako ndio imefikia mwisho wake wa kuwaza. Akili yako imejifunga. Ina amini kwamba kijana alie pata zero form 4 ndio amefika mwisho wa kutimiza ndoto zake. Akili yako imekosa uwezo wa kuona uwezekano wa kijana alie pata zero kutimiza ndoto zake kwenye maisha Yake. Wewe shuleni ulienda kukariri masomo lakini hukujaaliwa kupata maarifa yaku kupa uwezo wa kutatua changamoto zilizopo kwenye Jamii inayo kuzunguka.
Na sisi hao graduates ni zao la shule za Kayumba, ndio maana hatuwezi kufikiria mbali
 
Kwa hiyo hakuna national computing contest yoyote ya kuibua vipaji kwenye sector ya technology hasa computer science, na wakati Kenya tu hapo wanayo? Hayo mainternational schools wanafunzi wao wanajipima vipi uwezo wao?
 
Hakuna mtz aliyeshinda olympiadšŸ˜‚ zile hata wamarekani wanaziogopa, wachina ndo wanazibeba sana

Lakini kuna hackathon nyingi tu huku africa

Daudi Nkanda wa Marian Boys alishinda East African Virtual Machine Learning Hackathon 2021
Wamarekani hawaziogopi kabisa Olympiads na wanashinda sana tu, Tena wanazitilia maanani sana, maana kupitia IOI wameibua vipaji vingi sana Kwenye teknolojia mfano kama Mike Krieger muanzilishi mwenza wa Instagram na Austin Russell mmiliki wa Lunar Technologies company, Tena kama huyu Huwa anaishukuru IOI mpaka kesho maana ndio ilifanya wawekezaji wamuone na kuja kuwekeza kwenye idea zake, leo hii na yeye ni Moja ya mabilionea vijana Zaid duniani.

Ni kweli unavyosema hizo tuzo za IOI zinachukuliwa Zaid na wachina na warusi, lakini wamarekani hawako nyuma... Kwanza wao tu wana shindano lao la ndani la kuhusu computer programming linaitwa USACO(USA-computing programming).

Nadhani hata hapa kwetu tunaweza kuanzisha hizi contests hili kukuza industry yetu ya teknolojia.

Kuhusu Hackathon ni nyepesi sana tofauti na Olympiads, Olympiads unafanya mwenyewe Kusolve algorithmic tasks ambazo ziko complicated Kwa muda WA siku mbili, wakati huo Hackathon mnafanya mkiwa wengi Tena ni masaa kadhaa tu. Ndio maana hazina uzito sana.
 
naelewa, Kuna kipindi nili kuwa osterbay nyumba nilio panga vili kuwemo.

Jamaa mmoja akaja akawa na interested navyo, ali ahidi 35m. Ila nili waambia mki shikwa tuna nyea debe wote humu ndani
Nimekukamata red handed hivi jobless anaweza ishi obey? šŸ˜…
Wewe unatushika Shika masikio Wewe mshua
 
Mdogo wangu kapata zero, nmefurahi kwani ni mda sahihi wa kuongeza wigo wa wafanyabiashara ktk familia yetu, dogo mwingine alifeli anauza vyuma chakavu, kwa mwezi anakunja si chini ya m3, kama profit msomi anaekunja kiasi hicho bongo ni mwenye levo ya Dr's
Aisee Bongo shida sana kwa hiyo mmeaminishwa Wafanyabiashara hawatakiwi kuwa na Elimu?
 
Ila mkuu kuna namna unapenda mambo ya hovyo yasisemwe, kama sijakuelewa vibaya.

Mtoto akifeli shule sio mwisho wa kutimiza ndoto zake, pia sio mwisho wa kuogelea katika bahari nyingine za elimu.

Lakini ni lazima tuwakumbushe kuhusu elimu na kufaulu mkuu.

Ukumbuke pia taifa hili ni changa na elimu yake kwa idadi ya waliopata kwa mfano elimu ya juu nadhani kama itawekwa kwa ratio bado tuko chini.

Ni nchi ambayo ina rushwa na nepotism.

Kwa watu ambao wanatoka familia za chini kwa kipato kuna umuhimu wa kujitahidi ku pata ufaulu, sio kwa ajili ya kuja kupata kazi tu, ila kuweza hata kujiendesha katika mambo mbalimbali.

Haipaswi kuwakatisha tamaa lakini ni vyema wakakumbushwa kutumia nafasi vizuri.

My PoV: Wajinga wamewazidi idadi werevu.

ā€œNever underestimate the power of stupid people in large groups.ā€
― George Carlin​

Tukifuga haya mambo, tayari tumeshayafuga na tunaona matokeo, kama hata hayo ya watu kupotezwa kwa kuwa wamekosoa tu na kuwa na mtzamo tofauti.
"CCM Oyee"
 
Back
Top Bottom