Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu sio kutowasomesha, jambo la msingi ni kuwa na mfumo thabiti ambao utawa-acomodate watu wenye vipaji na uwezo waziada ambao kwa sasa haipo hivyo, maana ni mfumo wa wakoloni (montessori).Msiwasomeshe basi. Waishi kwa hivyo vipaji.
Huu nao ni ufinyu wa fikra.Hakuna mtu aliyepata IV ataenda kusomea taaluma ya muhimu kama udaktari ama uhandisi.
Ushahid nlionao unatosha sana kuishi nachokiona, kwa mfumo wa elim ya bongo ambao darasa la saba ndo mtunga sheria bungeni, Acha madogo waishi matokeo ya elim ya mtaa.Aisee Bongo shida sana kwa hiyo mmeaminishwa Wafanyabiashara hawatakiwi kuwa na Elimu?
Elimu sio lazima waajiriwe wanakua na exposure kubwa na uwezo wa kuwa na mipango mikubwa ya maendeleo Elimu ni muhimu sana sio ya kuibeza kabisa..Ushahid nlionao unatosha sana kuishi nachokiona, kwa mfumo wa elim ya bongo ambao darasa la saba ndo mtunga sheria bungeni, Acha madogo waishi matokeo ya elim ya mtaa.
Taifa linaongozwa na wasomi au wasio wasomi? Unadhani kwa tz wasomi wanayo maajabu hata waweze kujivunia kwa jamii?Elimu sio lazima waajiriwe wanakua na exposure kubwa na uwezo wa kuwa na mipango mikubwa ya maendeleo Elimu ni muhimu sana sio ya kuibeza kabisa..
Kuna ma profesa bongo, lakin siioni impact yao kwa raslimali na maendeleo ya Tanzania kiasi cha kuweza kujivunia uwepo waoElimu sio lazima waajiriwe wanakua na exposure kubwa na uwezo wa kuwa na mipango mikubwa ya maendeleo Elimu ni muhimu sana sio ya kuibeza kabisa..
Nilichosema wasome kama wana nafasi Elimu itawasaidia huko mbele sio lazima waajiriwe swala la maendeleo hilo ni la mtu na mtu na sio swala la lazima akisoma atakua na mafanikio kama yeye mwenyewe hajipangi kuwa na hayo mafanikio..Kuna ma profesa bongo, lakin siioni impact yao kwa raslimali na maendeleo ya Tanzania kiasi cha kuweza kujivunia uwepo wao
Wewe kijanaHakuna mtu aliyepata IV ataenda kusomea taaluma ya muhimu kama udaktari ama uhandisi.