Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Kwa wale ambao ni watazamaji wa mchezo wa mpira wa miguu wanajua kuna vitu vidogo sana ambavyo vinaweza kubadilisha mwelekeo wa mchezo na kubadili na matokeo moja kwa moja
Kitu ambacho kimebadili mchezo wa leo wakati Arsenal ikiongoza 2-0 ni kitendo cha mchezaji wao Granit Xhaka kutaka kupigana na mchezaji wa Liverpool na wachezaji wenzake ikabidi waje kutenganisha na yeye kupewa kadi
Yaani tukio lile liliondoa concentration au focus ya wachezaji wa Arsenal mchezoni na kusababisha Liverpool kurudisha goli moja sekunde chache zilizofuata
Baada ya Liverpool Kurudisha goli moja , basi motivation/morali yao ikapanda maradufu na matokeo yake ndio yaliyotokea
Kitu ambacho kimebadili mchezo wa leo wakati Arsenal ikiongoza 2-0 ni kitendo cha mchezaji wao Granit Xhaka kutaka kupigana na mchezaji wa Liverpool na wachezaji wenzake ikabidi waje kutenganisha na yeye kupewa kadi
Yaani tukio lile liliondoa concentration au focus ya wachezaji wa Arsenal mchezoni na kusababisha Liverpool kurudisha goli moja sekunde chache zilizofuata
Baada ya Liverpool Kurudisha goli moja , basi motivation/morali yao ikapanda maradufu na matokeo yake ndio yaliyotokea