π€£π€£π€£Kumbe hii pisi ilikuwa ni ya huyo bwana mdogo ?? Aisee kule kwenye Uzi wa Picha za warembo Jamaa alisemaga kwamba ameungua sasa sielewi hapo...... Mambo yao nawaachia wenyewe.
Mkuu hii ina leta shida kwa sababu huyu Ke alishawahi kuwa na njemba humu na walikuwa wana michezo hii baadae walivyozinguana ilikuwa ni aibu tu na bado hajifunzi aiseeKama sio utoto basi nafikiri hawakupata muda wa kutathmini madhara yake. Faragha ni jambo muhimu sana, unaona hata mshikaji hayupo huru kutoa maoni anaishia tu kusema "waachie wenyewe".
πππOstadh na umbea wapi na wapi πππππ
asante nawe piaπππ
Aisee haya goodnight Ms.
Hahaha.............ila najua msemo huu unatumika zaidi Pwani, huku Bara ni kama wanatumia hilo neno lingine zaidi πhebu tuache na kutita yetu bwan π
Kama wewe ulivyojiunga JF ili uwe Mwasibu mwenye gundu kama Ahmed Ally alivyo semaji lenye gundu.Kuna mdau humu alikuuliza hivi ulijiunga JF kwa ajili ya kusema haya?
Kama wewe ulivyojiunga JF ili uwe Mwasibu mwenye gundu kama Ahmed Ally alivyo semaji lenye gundu.Kuna mdau humu alikuuliza hivi ulijiunga JF kwa ajili ya kusema haya?
Kusini kwetu huku bwan ndo usiseme πHahaha.............ila najua msemo huu unatumika zaidi Pwani, huku Bara ni kama wanatumia hilo neno lingine zaidi π
Nami Kwa mara ya kwanza nilisikia hilo neno nikiwa huko Kusini piaKusini kwetu huku bwan ndo usiseme π
Hapana sio,π€£π€£kusini kubwa bwan,, kamweneNami Kwa mara ya kwanza nilisikia hilo neno nikiwa huko Kusini pia
Usiniambie upo wanapokula Chamaki Nchangaππππ
Kumbe upo hiyo mitaa wanaokula Walinzi wetu sio π πHapana sio,π€£π€£kusini kubwa bwan,, kamwene
π€£π€£π€£π€£ Lakini mimi sili kabisaKumbe upo hiyo mitaa wanaokula Walinzi wetu sio π π
Nitapita Siku Moja uniandalie supu ya moto moto ninywe π
Naona umeamua kunirusha roho Babu yako ninayeshabikia upande wa pili πYanga bingwa ππππππ
Basi utaniandalia halafu utaonja mchozi tu ππ€£π€£π€£π€£ Lakini mimi sili kabisa
Kumbe uko na shida nyingi kiasi hikiπππNaona umeamua kunirusha roho Babu yako ninayeshabikia upande wa pili π
Kuwa na imani na Wazee π€Kumbe uko na shida nyingi kiasi hikiπππ
Aaah wewe basi tenaπ€£π€£
Hata kushika tu siwezi naogopa,,we babu vipi bwanBasi utaniandalia halafu utaonja mchozi tu π
Leo imesema ukweli CPA uchwara SUNZU BOBAN.Kuna mdau humu alikuuliza hivi ulijiunga JF kwa ajili ya kusema haya?