Yaani kuna watu wamezaliwa NYC bado ni Homeless na msosi ni shida na lugha yao anaijua kwa 100%. Mimi na ze zez eee zee zis is naenda kutafuta nini huko? bora nitesekee kwetu Chanika.Wapenda kitonga wataishia kupelekewa moto tuuuu
kwanini?Ataenda kuteseka sana
pengine ana chukuwa nafasi ya Hamza au wanafanya usahihi mpyaHata sijaelewa,Ina maana kapata kdi ya kundi la kigaidi au...
Kama hawajabadilisha, unapewa 6 months ya kwenda US (LAZIMA)!! Sasa kama ni miezi 6, manake unaweza kufanya booking ya ticket miezi 6 kabla ili kubana matumizi ya fare. Ukifanya booking mapema zaidi, unaweza kupata tickets za chini ya $1000! Ukifika US, unaenda zako sehemu kama Texas ambako jimbo ni tajiri, michongo mingi, lakini apartments ni cheap ukilinganisha na majimbo kama New York. Huko unapata hata kwa $500. Kwahiyo, Kibaharia Sh 10M inatosha kabisa kwenda kuanza mapambano! Usisahau, watu kibao tu wanaingia US wakiwa hata $100 hawana, na hawaajiriki kwa sababu hata kama umeenda kihalali, lazima uwe na work permit, na hilo ndilo linalowakwamisha wengi! Wewe tayari unayo GC, kwahiyo siku ya pili tu, unaweza kuingia mtaani with confidence. Kwa kuanzia sio lazima upate kazi ya ofisini. As long as unayo GC, kupata vibarua itakuwa rahisi kwa sababu sio radioactive material!Ila hii kitu inatakiwa hata kwenye bank account yako uwe na hata Milioni 30 ... maana gharama za kusafiri hadi states na kujua utalala wapi utakula wapi ni juu yako. So hapo unatakiwa uwe na balance ambayo itakutosha walau miezi mitatu kule US wakati unaendelea kutafuta kazi.
But kwa US kwa watu walisoma kidogo vikazi vipo aisee sio kama huku Bongo.
Sasa kama uko na family basi inabidi uwe na kama dollar 10,000 kwa ajili ya kuku sortKama hawajabadilisha, unapewa 6 months ya kwenda US (LAZIMA)!! Sasa kama ni miezi 6, manake unaweza kufanya booking ya ticket miezi 6 kabla ili kubana matumizi ya fare. Ukifanya booking mapema zaidi, unaweza kupata tickets za chini ya $1000! Ukifika US, unaenda zako sehemu kama Texas ambako jimbo ni tajiri, michongo mingi, lakini apartments ni cheap ukilinganisha na majimbo kama New York. Huko unapata hata kwa $500. Kwahiyo, Kibaharia Sh 10M inatosha kabisa kwenda kuanza mapambano! Usisahau, watu kibao tu wanaingia US wakiwa hata $100 hawana, na hawaajiriki kwa sababu hata kama umeenda kihalali, lazima uwe na work permit, na hilo ndilo linalowakwamisha wengi! Wewe tayari unayo GC, kwahiyo siku ya pili tu, unaweza kuingia mtaani with confidence. Kwa kuanzia sio lazima upate kazi ya ofisini. As long as unayo GC, kupata vibarua itakuwa rahisi kwa sababu sio radioactive material!
Figo, Moyo, etc viungo etc.kwanini?
Anakwenda kwa makafiriKundi la kigaidi tena!? Hii nadhan ni special visa ya kuzama USA
Ukisha ingia what next? ni upumbavu tu wanaoufanya Wazangu ili muone kwao ni maana kiliko kwenu na huo ni utahira.Green card lottery hiyo mazee bahati nasibu ya kuingia kwa Joe Biden.
Huwezi kufanya uo upumbavu maana inatakiwa uwe na hati ya kusafiri zaidi ya moja. Picha za passport zaidi ya moja. Nchi unayotoka iwe ni zaidi ya moja. Elimu yako iwe tofauti Mara diploma, Mara degree, Mara form six na majina yawe tofauti tofauti kwenye vyeti. ..ukifaulu hapo wewe ni zaidi ya mchawiMkuu hivi hakuna uwezo wa mtu kuomba mara nyingi kwa wakati mmoja kwa kubadilisha badilisha majina kweli.
Wewe ukipewa visa ya marekani hutaenda?Ukisha ingia what next? ni upumbavu tu wanaoufanya Wazangu ili muone kwao ni maana kiliko kwenu na huo ni utahira.
Safi sana mkuu. Umetoa details za kutosha. Nimejifunza mengi.Huwa inaanza October
Kwa kifupi kabisa, Green Card Lottery, formally DV Lottery ni bahati nasibu inayoendeshwa na serikali ya Marekani ambapo kila mwaka, inachagua applicants 50K randomly kutoka sehemu mbalimbali duniani, na hawa applicants hupewa Green Card. Ukipata Green Card unakuwa ni kama Mmarekani tu, kwa sababu unakuwa na haki karibu zote wanazopata raia wa Marekani. Linapokuja suala la ajira, unakuwa na haki ya kufanya kazi hadi serikalini EXCEPT, kwenye nafasi nyeti hususani za usalama!
Hulipii hata sent 5, lakini ukishinda, ni wajibu wako kulipia makaratasi ya hapa na pale lakini sio ghali sana! Aidha suala la utafikaje US, na utaenda kuishi wapi na vipi ni wajibu wako mwenyewe! Mwaka jana waliingiza utaratibu mpya kwamba kama unataka kuomba basi ni lazima uwe na passport. Kama tayari una passport, basi subiri October 07, kisha ingia hapa kwa ajili ya kujiandikisha! Condition nyingine (kama haitabadilik) unatakiwa kuwa na angalau diploma!
Hii nilishuhudia nilipokuwa majuu, raia wa kichina wanaandamana kupata support kupinga vitendo vya watu kutolewa viungo vyao.......nafikiri ni wale wanaokuwa wamefungwa magerezani ndo waathirika zaidi wa kugemwa viungo. Sijasikia kama kwa mabeberu hili nalo lipo....Figo, Moyo, etc viungo etc.
NI mwehu ndie ataenda na familia kwa mara ya kwanza!!! Hiyo Dar es salaam yenyewe tunaona watu wanatoka mkoa wanaingia Dar wakiwa peke yao, na mambo yakiwaendea vizuri ndipo wanafuata familia!!Sasa kama uko na family basi inabidi uwe na kama dollar 10,000 kwa ajili ya kuku sort
Unajaza vipi wakati bado?! Au unazungumzia siku za nyuma?! Anyway, Google "Tanzania Zip Codes" na utakuta document ya TCRA ambayo imetaja zip code ya kila eneo. Ukiona hiyo doc, anza kutafuta mkoa wako, kisha wilaya yako, halafu kata yako, na hatimae utaona zip code ya eneo lako!Wakuu mi najaza sehemu ya zipcode ndio sielewi.. msaada
Kama hujapata nauli na miezi sita imepita hapo inakuwa vipi....huu uraia wa green card unakoma baada ya muda gani?Kama hawajabadilisha, unapewa 6 months ya kwenda US (LAZIMA)!! Sasa kama ni miezi 6, manake unaweza kufanya booking ya ticket miezi 6 kabla ili kubana matumizi ya fare. Ukifanya booking mapema zaidi, unaweza kupata tickets za chini ya $1000! Ukifika US, unaenda zako sehemu kama Texas ambako jimbo ni tajiri, michongo mingi, lakini apartments ni cheap ukilinganisha na majimbo kama New York. Huko unapata hata kwa $500. Kwahiyo, Kibaharia Sh 10M inatosha kabisa kwenda kuanza mapambano! Usisahau, watu kibao tu wanaingia US wakiwa hata $100 hawana, na hawaajiriki kwa sababu hata kama umeenda kihalali, lazima uwe na work permit, na hilo ndilo linalowakwamisha wengi! Wewe tayari unayo GC, kwahiyo siku ya pili tu, unaweza kuingia mtaani with confidence. Kwa kuanzia sio lazima upate kazi ya ofisini. As long as unayo GC, kupata vibarua itakuwa rahisi kwa sababu sio radioactive material!
Sina uhakika kama wamebadili utaratibu lakini kwa zamani ilikuwa ukimaliza ile miezi 6, wanaku-cancel out!Kama hujapata nauli na miezi sita imepita hapo inakuwa vipi....
Hapo ndo utaona namna beberu anavyotaka kuwafanya binadamu kutoka ulimwengu wa tatu kuwa watumwa wa kifikra.....Sina uhakika kama wamebadili utaratibu lakini kwa zamani ilikuwa ukimaliza ile miezi 6, wanaku-cancel out!