Green Card kumbe ni kweli aisee tucheze hii kitu

Green Card kumbe ni kweli aisee tucheze hii kitu

Ila hii kitu inatakiwa hata kwenye bank account yako uwe na hata Milioni 30 ... maana gharama za kusafiri hadi states na kujua utalala wapi utakula wapi ni juu yako. So hapo unatakiwa uwe na balance ambayo itakutosha walau miezi mitatu kule US wakati unaendelea kutafuta kazi.

But kwa US kwa watu walisoma kidogo vikazi vipo aisee sio kama huku Bongo.
Kama hawajabadilisha, unapewa 6 months ya kwenda US (LAZIMA)!! Sasa kama ni miezi 6, manake unaweza kufanya booking ya ticket miezi 6 kabla ili kubana matumizi ya fare. Ukifanya booking mapema zaidi, unaweza kupata tickets za chini ya $1000! Ukifika US, unaenda zako sehemu kama Texas ambako jimbo ni tajiri, michongo mingi, lakini apartments ni cheap ukilinganisha na majimbo kama New York. Huko unapata hata kwa $500. Kwahiyo, Kibaharia Sh 10M inatosha kabisa kwenda kuanza mapambano! Usisahau, watu kibao tu wanaingia US wakiwa hata $100 hawana, na hawaajiriki kwa sababu hata kama umeenda kihalali, lazima uwe na work permit, na hilo ndilo linalowakwamisha wengi! Wewe tayari unayo GC, kwahiyo siku ya pili tu, unaweza kuingia mtaani with confidence. Kwa kuanzia sio lazima upate kazi ya ofisini. As long as unayo GC, kupata vibarua itakuwa rahisi kwa sababu sio radioactive material!
 
Kama hawajabadilisha, unapewa 6 months ya kwenda US (LAZIMA)!! Sasa kama ni miezi 6, manake unaweza kufanya booking ya ticket miezi 6 kabla ili kubana matumizi ya fare. Ukifanya booking mapema zaidi, unaweza kupata tickets za chini ya $1000! Ukifika US, unaenda zako sehemu kama Texas ambako jimbo ni tajiri, michongo mingi, lakini apartments ni cheap ukilinganisha na majimbo kama New York. Huko unapata hata kwa $500. Kwahiyo, Kibaharia Sh 10M inatosha kabisa kwenda kuanza mapambano! Usisahau, watu kibao tu wanaingia US wakiwa hata $100 hawana, na hawaajiriki kwa sababu hata kama umeenda kihalali, lazima uwe na work permit, na hilo ndilo linalowakwamisha wengi! Wewe tayari unayo GC, kwahiyo siku ya pili tu, unaweza kuingia mtaani with confidence. Kwa kuanzia sio lazima upate kazi ya ofisini. As long as unayo GC, kupata vibarua itakuwa rahisi kwa sababu sio radioactive material!
Sasa kama uko na family basi inabidi uwe na kama dollar 10,000 kwa ajili ya kuku sort
 
Mkuu hivi hakuna uwezo wa mtu kuomba mara nyingi kwa wakati mmoja kwa kubadilisha badilisha majina kweli.
Huwezi kufanya uo upumbavu maana inatakiwa uwe na hati ya kusafiri zaidi ya moja. Picha za passport zaidi ya moja. Nchi unayotoka iwe ni zaidi ya moja. Elimu yako iwe tofauti Mara diploma, Mara degree, Mara form six na majina yawe tofauti tofauti kwenye vyeti. ..ukifaulu hapo wewe ni zaidi ya mchawi
 
Huwa inaanza October



Kwa kifupi kabisa, Green Card Lottery, formally DV Lottery ni bahati nasibu inayoendeshwa na serikali ya Marekani ambapo kila mwaka, inachagua applicants 50K randomly kutoka sehemu mbalimbali duniani, na hawa applicants hupewa Green Card. Ukipata Green Card unakuwa ni kama Mmarekani tu, kwa sababu unakuwa na haki karibu zote wanazopata raia wa Marekani. Linapokuja suala la ajira, unakuwa na haki ya kufanya kazi hadi serikalini EXCEPT, kwenye nafasi nyeti hususani za usalama!

Hulipii hata sent 5, lakini ukishinda, ni wajibu wako kulipia makaratasi ya hapa na pale lakini sio ghali sana! Aidha suala la utafikaje US, na utaenda kuishi wapi na vipi ni wajibu wako mwenyewe! Mwaka jana waliingiza utaratibu mpya kwamba kama unataka kuomba basi ni lazima uwe na passport. Kama tayari una passport, basi subiri October 07, kisha ingia hapa kwa ajili ya kujiandikisha! Condition nyingine (kama haitabadilik) unatakiwa kuwa na angalau diploma!
Safi sana mkuu. Umetoa details za kutosha. Nimejifunza mengi.

Ila hata baadhi ya nafasi za usalama wanachukua hasa za jeshi. Kigezo uwe na green card au uraia na uwe chini ya miaka 35. Kama umri umezidi 35 na si zaidi ya 37 ni hadi uombewe kibali maalum. Wao jeshi linaajiri kila siku.
 
Figo, Moyo, etc viungo etc.
Hii nilishuhudia nilipokuwa majuu, raia wa kichina wanaandamana kupata support kupinga vitendo vya watu kutolewa viungo vyao.......nafikiri ni wale wanaokuwa wamefungwa magerezani ndo waathirika zaidi wa kugemwa viungo. Sijasikia kama kwa mabeberu hili nalo lipo....
 
Wakuu mi najaza sehemu ya zipcode ndio sielewi.. msaada
Unajaza vipi wakati bado?! Au unazungumzia siku za nyuma?! Anyway, Google "Tanzania Zip Codes" na utakuta document ya TCRA ambayo imetaja zip code ya kila eneo. Ukiona hiyo doc, anza kutafuta mkoa wako, kisha wilaya yako, halafu kata yako, na hatimae utaona zip code ya eneo lako!
 
Kama hawajabadilisha, unapewa 6 months ya kwenda US (LAZIMA)!! Sasa kama ni miezi 6, manake unaweza kufanya booking ya ticket miezi 6 kabla ili kubana matumizi ya fare. Ukifanya booking mapema zaidi, unaweza kupata tickets za chini ya $1000! Ukifika US, unaenda zako sehemu kama Texas ambako jimbo ni tajiri, michongo mingi, lakini apartments ni cheap ukilinganisha na majimbo kama New York. Huko unapata hata kwa $500. Kwahiyo, Kibaharia Sh 10M inatosha kabisa kwenda kuanza mapambano! Usisahau, watu kibao tu wanaingia US wakiwa hata $100 hawana, na hawaajiriki kwa sababu hata kama umeenda kihalali, lazima uwe na work permit, na hilo ndilo linalowakwamisha wengi! Wewe tayari unayo GC, kwahiyo siku ya pili tu, unaweza kuingia mtaani with confidence. Kwa kuanzia sio lazima upate kazi ya ofisini. As long as unayo GC, kupata vibarua itakuwa rahisi kwa sababu sio radioactive material!
Kama hujapata nauli na miezi sita imepita hapo inakuwa vipi....huu uraia wa green card unakoma baada ya muda gani?
 
Back
Top Bottom