Kiongozi hii bahati nasibu huwa inaanza mwezi October na kuisha November mwanzoni kila mwaka na matokeo yake huwa yanatoka mwezi wa 5.Mbona naambia information entered is invalid,,,Kwan initial stage ni ipi!?
ipo sana, tena kwa wakuu wa mabeberu ndiyo noma.Hii nilishuhudia nilipokuwa majuu, raia wa kichina wanaandamana kupata support kupinga vitendo vya watu kutolewa viungo vyao.......nafikiri ni wale wanaokuwa wamefungwa magerezani ndo waathirika zaidi wa kugemwa viungo. Sijasikia kama kwa mabeberu hili nalo lipo....
Yaani kwa madaktari na wauguzi ndio penyewe. Hao hata green card hawahitaji.Sasa mkuu hapo umetaja ajira kwa kada za ufundi/mafundi, lakini mathalani kwa watu ambao ni madaktari, wauguzi, wahandisi au hata wasanii n.k...
Ukipata shavu zuri U.S, umasikini ndio kwaheri hivyo (kuna sababu kwa nini imekuwa ikijulikana kama ni the land of opportunity a.k.a american dream)
Bide alipoingia tu hicho ndio kitu cha kwanza alifanya akaturudisha.Mara ya mwisho Bashite alifanya Tanzania itolewe kwenye bahati nasibu hiyo, kwani tumeridishwa?!
Green card do uraia hiyo ni kama resident permitKupewa tu Uraia wa US inatosha sana. Wakulipie hivyo vyote wewe kama nani?
Hatari sana, huko kuna ushetani mwingi....ipo sana, tena kwa wakuu wa mabeberu ndiyo noma.
Hata hapa Bongo unajua Kiswahili kwa 100% lakini bado una njaa kali tu. Maisha popote usikariri. Ukiwa mpambanaji hakuna sehemu utashindwa kuishi katika dunia hii. Ndio maana Indians wanakuja hapa hawana kitu ila baada ya muda wanakuwa matajiri, do you know why? Ni wapambanaji!Yaani kuna watu wamezaliwa NYC bado ni Homeless na msosi ni shida na lugha yao anaijua kwa 100%. Mimi na ze zez eee zee zis is naenda kutafuta nini huko? bora nitesekee kwetu Chanika.
Una akili za kimasikini sana kwani Tz hakuna homeless,maisha ni kupambanaYaani kuna watu wamezaliwa NYC bado ni Homeless na msosi ni shida na lugha yao anaijua kwa 100%. Mimi na ze zez eee zee zis is naenda kutafuta nini huko? bora nitesekee kwetu Chanika.
Mwaka huu lazima nijaribu bahati yangu ya kwenda kwa Biden sikubali kupitwa wallah I wi try my luck oooh. Wana JF mniombee please nibahatike na mimiHuwa inaanza October
Kwa kifupi kabisa, Green Card Lottery, formally DV Lottery ni bahati nasibu inayoendeshwa na serikali ya Marekani ambapo kila mwaka, inachagua applicants 50K randomly kutoka sehemu mbalimbali duniani, na hawa applicants hupewa Green Card. Ukipata Green Card unakuwa ni kama Mmarekani tu, kwa sababu unakuwa na haki karibu zote wanazopata raia wa Marekani. Linapokuja suala la ajira, unakuwa na haki ya kufanya kazi hadi serikalini EXCEPT, kwenye nafasi nyeti hususani za usalama!
Hulipii hata sent 5, lakini ukishinda, ni wajibu wako kulipia makaratasi ya hapa na pale lakini sio ghali sana! Aidha suala la utafikaje US, na utaenda kuishi wapi na vipi ni wajibu wako mwenyewe! Mwaka jana waliingiza utaratibu mpya kwamba kama unataka kuomba basi ni lazima uwe na passport. Kama tayari una passport, basi subiri October 07, kisha ingia hapa kwa ajili ya kujiandikisha! Condition nyingine (kama haitabadilik) unatakiwa kuwa na angalau diploma!
Si uende ukapambane, sasa huku unatafuta nini???Una akili za kimasikini sana kwani Tz hakuna homeless,maisha ni kupambana
[emoji23][emoji23][emoji23] don't be negative ooohYaani kuna watu wamezaliwa NYC bado ni Homeless na msosi ni shida na lugha yao anaijua kwa 100%. Mimi na ze zez eee zee zis is naenda kutafuta nini huko? bora nitesekee kwetu Chanika.
Nyie positive hiyo NYC mmeanza kusikia ina maisha bora tokea mwaka gani? Na mbona hamuendi???[emoji23][emoji23][emoji23] don't be negative oooh
Mwakaa huu isha chezwa!?
huyo nduguyo kacheza ya mwaka gani na matokeo kayapata lini?Sikuwa naamini Kuhusu Green card ila sasa nimeamini kweli kuna jamaa yangu mwalimu kapata yupo nyarugusu uko anaondoka Na familia yake Mungu kweli humpa anayemtaka
Mimi nikipata kambi popote tu mkuuNyie positive hiyo NYC mmeanza kusikia ina maisha bora tokea mwaka gani? Na mbona hamuendi???
Tafuta pesa tu, hata Mbagala utaiona kama New York, kuna wajuba kibao wapo Tz, huko New York wanaenda kama wewe unavyokwenda mkoani na kurudi. Hakuna kitu kimewafanya wasirudi.Mimi nikipata kambi popote tu mkuu