Sasa Mimi new York ndio napataka na sio mbagala uswahilini hukoTafuta pesa tu, hata Mbagala utaiona kama New York, kuna wajuba kibao wapo Tz, huko New York wanaenda kama wewe unavyokwenda mkoani na kurudi. Hakuna kitu kimewafanya wasirudi.
hivi yule dogo aliyepigwa ban kuingia US vipi amisamehewa au ndo imitoka?Nchi yetu ni nzuri sana, wazungu huwa wanatamani sana kubaki Africa. Sema tu mambo ya Visa na work permit huwa ni kikwazo kwao. Serikali zetu zingeondoa Visa na Work permit wangejaa sana hapa Bongo. Kuna makampuni mengi huwa yanawafanyakazi wa kigeni frustration zao ni pale work permit zinapoisha na kutakiwa kuondoka nchini. Nimekutana nao wengi na ninafahamu hili.
vigezo na masharti kuzingatiwaMwaka huu lazima nijaribu bahati yangu ya kwenda kwa Biden sikubali kupitwa wallah I wi try my luck oooh. Wana JF mniombee please nibahatike na mimi
ban ya BASHITTE iko palepaleBide alipoingia tu hicho ndio kitu cha kwanza alifanya akaturudisha.
Sawa ngoja tujiandaeHuwa inaanza October
Kwa kifupi kabisa, Green Card Lottery, formally DV Lottery ni bahati nasibu inayoendeshwa na serikali ya Marekani ambapo kila mwaka, inachagua applicants 50K randomly kutoka sehemu mbalimbali duniani, na hawa applicants hupewa Green Card. Ukipata Green Card unakuwa ni kama Mmarekani tu, kwa sababu unakuwa na haki karibu zote wanazopata raia wa Marekani. Linapokuja suala la ajira, unakuwa na haki ya kufanya kazi hadi serikalini EXCEPT, kwenye nafasi nyeti hususani za usalama!
Hulipii hata sent 5, lakini ukishinda, ni wajibu wako kulipia makaratasi ya hapa na pale lakini sio ghali sana! Aidha suala la utafikaje US, na utaenda kuishi wapi na vipi ni wajibu wako mwenyewe! Mwaka jana waliingiza utaratibu mpya kwamba kama unataka kuomba basi ni lazima uwe na passport. Kama tayari una passport, basi subiri October 07, kisha ingia hapa kwa ajili ya kujiandikisha! Condition nyingine (kama haitabadilik) unatakiwa kuwa na angalau diploma!
I wish you all the best, tena nitakukumbusha!! But kuanzia mwaka jana ni lazima uwe na passport! Kama unayo, well and good, kama huna, anza na issue ya passport mapema!Mwaka huu lazima nijaribu bahati yangu ya kwenda kwa Biden sikubali kupitwa wallah I wi try my luck oooh. Wana JF mniombee please nibahatike na mimi
unikumbushe pia mtaalam 🙏🏾I wish you all the best, tena nitakukumbusha!! But kuanzia mwaka jana ni lazima uwe na passport! Kama unayo, well and good, kama huna, anza na issue ya passport mapema!
Done!unikumbushe pia mtaalam 🙏🏾
unikumbushe pia mtaalam 🙏🏾
Mwaka huu lazima nijaribu bahati yangu ya kwenda kwa Biden sikubali kupitwa wallah I wi try my luck oooh. Wana JF mniombee please nibahatike na mimi
Hivi ni Leo kumbe mkuu. Ngoja tusubiri tusome yaliyomo hukoLeo ndo leo. Geti linafunguliwa rasmi saa 1 usiku kwa saa za Tanzania.
Kadi ya chama cha mbogambogaGreen kadi ya kufanya nini? Ni kadi ya benki?
Aisee tupia link na mimi nijaribu bahati mtoto wa mkulima from madongo kuinama mpaka kwa Joe bidenLeo ndo leo. Geti linafunguliwa rasmi saa 1 usiku kwa saa za Tanzania.
Mkuu hebu fanya msaada wa hiyo link tujaribu kuapplyLeo ndo leo. Geti linafunguliwa rasmi saa 1 usiku kwa saa za Tanzania.
Aisee tupia link na mimi nijaribu bahati mtoto wa mkulima from madongo kuinama mpaka kwa Joe biden
Una-apply, au?! Na akama una-apply, unatumia link ipi?
Thanks will try my luck