Green Zone imeshambuliwa kwa maroketi karibu na ubalozi wa Marekani Baghdad Iraq

Green Zone imeshambuliwa kwa maroketi karibu na ubalozi wa Marekani Baghdad Iraq

Unajifanya Tomaso hahahaaa! USA kahisi harufu mbaya ya kuweza kuharibu hali yake ya hewa vibaya sana kaamua kuufyata tangu lini USA akawa na hekima? Iraq mbona hakutanguliza hekima ? Libya mbona hakukuwa na hekima? Afghanistan mbona hakukuwa na hekima?

Hekima imekuja baada ya kuona anafuatwa moja kwa moja. Kuweni wapole ogopa sana kupigana na ambaye ameuchoka uonevu wako

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unafaidika vipi kutokana na huu mgogoro?
 
Huwezi kueleweka
Mi nachoshukuru ni amerika kutumia hekima na kupoa maana akiwa Kama mkubwa kaamua kujiepusha na lawama,aliekuwa anamtaka amuondoshe ameshamuondosha na kinachotokea hivi sasa ni matokeo ambapo marekani haijaamua kuyajibu bado.
Sasa kwa wale wanaoshabikia na waendelee maana hawajui umuhimu wa maamuzi waliyofanya marekani,semeni tu marekani kaogopa endeleeni kujipa moyo.. ila binafsi naona wamefanya maamuzi sahihi na kumbukeni na pimeni Kama aliweza kumuuwa mkuu wa majeshi Irani itakuwaje kwa waliobaki..?
Iran hawezi pambana na marekani Hilo li wazi ila marekani inampasa kutulia ili kuepusha madhara yanayoweza jitokeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie sio mchambuzi wa mambo ya kisiasa wala kuelezea nchi gani inauwezo wa kijeshi zaidi na mikakati bora ya kupambana na kushambulia kijeshi. Hivyo sitaingia kwenye mkumbo wa kushabikia machafuko na vita, njia yeyote itakayosaidia kupunguza au kumaliza mgogoro huu itakua bora zaidi.

Jambo moja nna uhakika nalo, hii vita ikiendelea ikakua hata sie huju tutaathirika kwa namna moja ama nyingine, hilo nna uhakika nalo hata bila kuwa na uelewa wa mambo ya kisiasa au nguvu za kijeshi.
 
Mbona wkt Trump anasema ole wake Iran ilipue Asset zozote zile za Amerika lazima pachimbike mlifurahia sana.

Leo hizo assets zimepigwa na Iran ndio mmekuja na ngonjera za ooh asante sana Trump kwa kutumia busara hahahah

Kunguru mwoga hukimbiza unyoya wake-nae ni US.
Tatizo liko wapi?! Kama Irani NI shababi na sio mwoga arushe vitu kuipiga Washington DC! Kisha Aitawale kwa Sharia za kiayatola!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nina uwezo wa kukutukana maana unanilisha maneno ya group ambapo mi sikusema hivyo!! Kuwa makini.. hakuna haja ya marekani kuanzisha vita itaathiri Mambo mengi kwani vita hiyo inaweza kwenda hata kidini!! Na kuna waafrika huku hatujielewagi bendera fata upepo nasi tutaanza twangana Kuna maswala ya uchumi n.k yote yataenda kombo unafikiri ni kipi Bora..?
Hata hao Americans itaathiri lkn si kwamba hawawezi kuamini hivyo itakuwa ni undezi na Mambo huwa yana chini ya pazia tusichoshane bure
Siku akijibu lazima mshangilie leo kashikwa pabaya mnaanza ngonjera....
 
Endelea kuota, sasa zile kelele za tramp kusema Iran ikishambulia base zetu tutashambulia harder thn ever ilikua ni porojo? SEMA UKWELI KUWA KAONA MZIKI MNENE SANA KAINGIA MITINI, ALIFKIRI IRAN NI LIBYA AU IRAQ, KAPIGWA KACHAKAZWA KAINGIA MITINI, NA ANGEJIPENDEKEZA TU YALE MAMELI YAKE YANGEPIGWA PIGO MOJA TU NA HIZO BASE ZAKE ZOTE APO MIDDLE EAST NA ULAYA ZINGECAHAKAZWA, HAO IRAN NI WASTAARABU ILA ANGEFANYA UCHIZI WAKE HUYO WIGI ANGECHAKAZWA VIBAYA NA HAO WAAJEMI DAAADEKI, MNAONA AIBU ETI SUPER POWER KUPIGWA BITI KAZI MNAJIFARIJI TU HUMU, SIKU HIZI ZAMA ZIMEBADIKIKA AKIFANYA MZAHA ATANYOOSHWA MPAKA ANYOOKE
Mi nachoshukuru ni amerika kutumia hekima na kupoa maana akiwa Kama mkubwa kaamua kujiepusha na lawama,aliekuwa anamtaka amuondoshe ameshamuondosha na kinachotokea hivi sasa ni matokeo ambapo marekani haijaamua kuyajibu bado.
Sasa kwa wale wanaoshabikia na waendelee maana hawajui umuhimu wa maamuzi waliyofanya marekani,semeni tu marekani kaogopa endeleeni kujipa moyo.. ila binafsi naona wamefanya maamuzi sahihi na kumbukeni na pimeni Kama aliweza kumuuwa mkuu wa majeshi Irani itakuwaje kwa waliobaki..?
Iran hawezi pambana na marekani Hilo li wazi ila marekani inampasa kutulia ili kuepusha madhara yanayoweza jitokeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wakapiga bit ya kuwa akifyatua ata risasi basi wataripua kambi zaidi ya 100 mashariki ya kati na Ulaya
Bwana mdogo hebu fuatilia kauli alizotoa Trump baada ya kuuwawa kwa Qasem harafu fuatilia wachangiaji walisema nini juu ya kauli za dharau za Trump akijua kuwa Iran watakaa kimya sasa wamemjibu kisawasawa saa zilezile ambazo Qasem ameuwawa.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom