Mkulima,maswali yako hayaeleweki,lakini ngoja nijitahidi kukujibu kadiri ya uwezo wangu,kuhusu neno Washngton dc,hili neno wanapolitumia hawa watu wanajua wanavyoliandika hivyo sio kama unavyojua wewe!Pia wana namna yao wanapotumia majina ili kutengeneza nguvu,hivyo usikazimishe kama unavyofikiri wewe.Umehoji pia kuhusu kugawa 77 na 7 na kwanini isiwe namba nyingine,ndugu,hawa watu wanatumia namba,3,5,6,7,9,11 na 13,na ukizizidisha zenyewe kwa zenyewe!Namba hizo zina maana maalum sana kwa hawa watu,hivi unajua kuwa vita ya kwanza ya dunia ilisha saa 11 mwezi wa 11?Hivi unajua kuwa pentagon ilianza kujengwa sept 11,1941?Hivi unajua kua sept 11,1972 Raisi Richard Nixon aliunda jopo la watu ili kuandaa mkakati wa kuilinda Marekani na ugaidi halafu hiyo hiyo sept 11 magaidi wakaishambulia Marekani?Hivi unajua kuwa kampuni ya STARTESEC inayoongozwa na Marvin Bush ndugu wa George W Bush ilipewa tenda ya kulinda WTC sept 11,1997?Ndugu mkulima hayo hayamanishi chochote kwako?Umeuliza kwanini nilipojumlisha na kupata 33,kwanini sikumlisha ndege ya pili,ndege ya pili imesimama kwa niaba ya 13 na haihusiani na 11!Kuhusu Dar,kwani Dar ilihusika sept 11?Pia umeeleza namna jamii mbalimbali zinavyozitafsiri namba,faham hapa ninazungumzia maana ya namba kwa waabudu shetani na sio watu wengine,narudia tena soma ufunuo 9:11 na mwanzo 14:4!
Kuna watu hawaamini uwepo wa vyama vya siri!Na ndo wenye jiwe hilo kama hawaamini maseme niwaoneshe matukio ya kustaajabisha ya hawa watu!
Sept 11 ni siku ya 254 ya mwaka,2+5+4=11,na zinakua zimesalia siku 111 mwaka uishe!New York City nayo ina herufi 11 na ni taifa la 11 kujiunga na USA!911 ni namba ya dharula ya Marekani!Majengo ya WTC yakiwa yamesimama yanatemgea namba 11 jumlisha na namba ya ndege ya kwanza kugonga WTC ambayo ni flight 11 kisha tarehe ya siku ya tukio yaani tarehe 11 unapata 33,hii ni idadi ya digree ya Freemason!Wakati ndege ya kwanza ingonga WTC ilikuwa umbali wa futi 159 na inchi 2 kutoka ardhini,1+5+9-2=13!Hekalu la freemason wa digree ya 33 liko umbali wa 13 blocks kutoka white house!Ukitaka kujua maana ya namba hizo angalia post zangu zilizotangulia pia kuhusu sept 11 au maarufu kama 911 soma ufunuo 9:11,pia kwa namba 13 soma mwanzo 14:4,ila kwa maelezo angalia post zangu zilizotangulia ujue maana ya namba hizo kwa mujibu wa waabudu shetani hawa!Je hayo nayo ni imani yangu?Je osama alipanga hayo?Au ilikua ni ibada ya kishetani?
Mkulima,maswali yako hayaeleweki,lakini ngoja nijitahidi kukujibu kadiri ya uwezo wangu,kuhusu neno Washngton dc,hili neno wanapolitumia hawa watu wanajua wanavyoliandika hivyo sio kama unavyojua wewe!Pia wana namna yao wanapotumia majina ili kutengeneza nguvu,hivyo usikazimishe kama unavyofikiri wewe
inawezekana kabisa unachosema ni sahihi tena zaidi kwako kama wewe ni miongoni mwa wanao amini. Bado hujaniambia kwanini umeamua kugawa kwa 7 Badala ya moja wapo ya hizo ulizo zitaja mfano 3,5,6,9,11 namba 7 inasimama badala ya nini?Umehoji pia kuhusu kugawa 77 na 7 na kwanini isiwe namba nyingine,ndugu,hawa watu wanatumia namba,3,5,6,7,9,11 na 13,na ukizizidisha zenyewe kwa zenyewe!Namba hizo zina maana maalum sana kwa hawa watu,
hivi unajua kuwa vita ya kwanza ya dunia ilisha saa 11 mwezi wa 11?
Hivi unajua kua sept 11,1972 Raisi Richard Nixon aliunda jopo la watu ili kuandaa mkakati wa kuilinda Marekani na ugaidi halafu hiyo hiyo sept 11 magaidi wakaishambulia Marekani?Hivi unajua kuwa kampuni ya STARTESEC inayoongozwa na Marvin Bush ndugu wa George W Bush ilipewa tenda ya kulinda WTC sept 11,1997?Ndugu mkulima hayo hayamanishi chochote kwako?
Umeuliza kwanini nilipojumlisha na kupata 33,kwanini sikumlisha ndege ya pili,ndege ya pili imesimama kwa niaba ya 13 na haihusiani na 11!Kuhusu Dar,kwani Dar ilihusika sept 11?Pia umeeleza namna jamii mbalimbali zinavyozitafsiri namba,faham hapa ninazungumzia maana ya namba kwa waabudu shetani na sio watu wengine,
narudia tena soma ufunuo 9:11 na mwanzo 14:4!
@@Hivi unajua kuwa pentagon ilianza kujengwa sept 11,1941?[/QUOTE] kwangu mimi haishangazi kwani mi haishangazi kama ilipangwa kujengwa lazima ingekuwa na tarehe na mwezi kwako wewe ingekuwa kawaida wangeanza kujenga lini? Shida yangu si tarehe kufanana mimi nilizaliwa sept 11 sasa sijajua kama na mimi ni muabudu shetani kwako wewe 9/11 ina represent satanisms ukiangalia umechagua event chache sana kwa kipindi cha miaka mingi mfano toka 1941 mpaka 1999 us ina matukio mengi kitu ambacho kwangu mimi ni kawaida kwa baadhi ya event kufanana tarehe mfano tz sokoine alifariki tarehe ambayo ni birthday ya nyerere je kunaweza kukawa conspiracy yoyote hapa? Kwangu ni no coincidence tuok. Kama wanastaili yao wewe chanzo chako umepata wapi kuwa wanaondoa i! Pili mara ya kwanza ulisema likiandikwa kwa usahihi mda huu tena unasema wakitaka kupata nguvu bado sijajua hasa umesimamia lipi??
inawezekana kabisa unachosema ni sahihi tena zaidi kwako kama wewe ni miongoni mwa wanao amini. Bado hujaniambia kwanini umeamua kugawa kwa 7 Badala ya moja wapo ya hizo ulizo zitaja mfano 3,5,6,9,11 namba 7 inasimama badala ya nini?
weka vizuri hapa iliisha au ilitangazwa kuwa imeisha mda huo! Ok! Kama wewe unashaka na mda huo kikawaida ilitakiwa iishe lini na na saa ngapi ili
Mkulima,maswali yako hayaeleweki,lakini ngoja nijitahidi kukujibu kadiri ya uwezo wangu,kuhusu neno Washngton dc,hili neno wanapolitumia hawa watu wanajua wanavyoliandika hivyo sio kama unavyojua wewe!Pia wana namna yao wanapotumia majina ili kutengeneza nguvu,hivyo usikazimishe kama unavyofikiri wewe.Umehoji pia kuhusu kugawa 77 na 7 na kwanini isiwe namba nyingine,ndugu,hawa watu wanatumia namba,3,5,6,7,9,11 na 13,na ukizizidisha zenyewe kwa zenyewe!Namba hizo zina maana maalum sana kwa hawa watu,hivi unajua kuwa vita ya kwanza ya dunia ilisha saa 11 mwezi wa 11?Hivi unajua kuwa pentagon ilianza kujengwa sept 11,1941?Hivi unajua kua sept 11,1972 Raisi Richard Nixon aliunda jopo la watu ili kuandaa mkakati wa kuilinda Marekani na ugaidi halafu hiyo hiyo sept 11 magaidi wakaishambulia Marekani?Hivi unajua kuwa kampuni ya STARTESEC inayoongozwa na Marvin Bush ndugu wa George W Bush ilipewa tenda ya kulinda WTC sept 11,1997?Ndugu mkulima hayo hayamanishi chochote kwako?Umeuliza kwanini nilipojumlisha na kupata 33,kwanini sikumlisha ndege ya pili,ndege ya pili imesimama kwa niaba ya 13 na haihusiani na 11!Kuhusu Dar,kwani Dar ilihusika sept 11?Pia umeeleza namna jamii mbalimbali zinavyozitafsiri namba,faham hapa ninazungumzia maana ya namba kwa waabudu shetani na sio watu wengine,narudia tena soma ufunuo 9:11 na mwanzo 14:4!
Haya ni mambo ya namba ilikuwa ni kazi ya sheikh yahaya ambayo ni gizani, lengo lake ni kudumaza akili ya binadamu asifikili positively. Unataka kusema leo nikiamua kubadili jina langu na kujiita LIKICHUGUUU kutumia herufi 11 itakuwa ni jambo la ajabu litakalokushangaza kwa nini jina langu limekuwa na herufi 11? Mbona mjapani ataliandika jina hilo hilo kwa herufi 6 tu: 0M0d0O0F0F0,
Acheni hofu za kipuuzi kama hizi,..unajumlisha mara unagawa namba bila sababu ya msingi.....number is number_full stop.
IGWE,ngoja nikupe hili dogo kwanza.Hebu niambid nani amefanya haya,Kule Marekani maraisi wote waliochaguliwa mwaka unaoanza na O walikufa wakiwa madarakani kasoro George W Bush,kwa nini?William Henry Harrison alichaguliwa 1880,alikufa akiwa madarakani April 4,1881,Abraham Lincoln alichaguliwa 1860,aliuwawa april 15,1865,William McKenley alichaguliwa 1900 aliuwawa sept 19,1901,Waren G Harding alichaguliwa 1920 aliuwawa agost 2,1923,Franklin D Roosevelt alichaguliwa 1940 aliuwawa april 12,1945 na John F Kennedy alichaguliwa 1960 aliuwawa nov 22 1963,Ronald Regan aliechaguliwa 1980,alipigwa risasi na baada kupona madaktari walisema amepona kiajabu sana,sasa niambie nani alifanya haya?Au ni "magaidi?"changanya akili kijana!
Kuna watu hawaamini uwepo wa vyama vya siri!Na ndo wenye jiwe hilo kama hawaamini maseme niwaoneshe matukio ya kustaajabisha ya hawa watu!
IGWE,ngoja nikupe hili dogo kwanza.Hebu niambid nani amefanya haya,Kule Marekani maraisi wote waliochaguliwa mwaka unaoanza na O walikufa wakiwa madarakani kasoro George W Bush,kwa nini?William Henry Harrison alichaguliwa 1880,alikufa akiwa madarakani April 4,1881,Abraham Lincoln alichaguliwa 1860,aliuwawa april 15,1865,William McKenley alichaguliwa 1900 aliuwawa sept 19,1901,Waren G Harding alichaguliwa 1920 aliuwawa agost 2,1923,Franklin D Roosevelt alichaguliwa 1940 aliuwawa april 12,1945 na John F Kennedy alichaguliwa 1960 aliuwawa nov 22 1963,Ronald Regan aliechaguliwa 1980,alipigwa risasi na baada kupona madaktari walisema amepona kiajabu sana,sasa niambie nani alifanya haya?Au ni "magaidi?"changanya akili kijana!
sema tu, sie masikio wazi tunakusikiliza...