Kati ya kitu amabacho huwa sikubaliani nacho kirahisi ni huo mchezo wa namba lakini huwa natoa benefit of doubt. Hebu mkuu
Eiyer nipe maelezo mazuri hapa neno
WASHNGTON DC AU WASHINGTON DC ukiondoa
i kweli zinafanya herufi zibaki 11 lakini
i kwanini iondolewe kweli ni imaterial ki hivo! historia inasema !
Washington, D.C., formally the
District of Columbia and commonly referred to as
Washington, "
the District", or simply
D.C., is the
capital of the
United States. A new capital city named after
George Washington was founded in 1791 to the east of the preexisting port of
Georgetown. Congress consolidated the City of Washington, Georgetown, and the remaining
unincorporated area within the District under a single
municipal government in 1871. The city shares its name with the U.S. state of
Washington, located on the country's Pacific coast. (kutoka Wikipedia) tupe usahihi jina la
WASHGTON DC KAMA UNAVYOSEMA NI SAHIHI NA SIYO WASHINGTON DC TUPE MAELEZO YALIYO KAA UZURI MKUU VINGINEVYO UMELAZIMISHA!!
Kingine ambacho sijaelewa ni kwanini umehesabu herufi za majina
George W Bush na Ramzi Yousef wakati bush ukitumia initial ya katikati Ramzi umiacha herufi ya kati. Kama kigezo ulichotumia ku rule out ni jinsi alivyozoeleka kuitwa basi THE PENTAGON hiyo the iondolewe
Ndege iliyogonga Pentagon ni flight 77,ukigawa kwa 7 unapata 11. kwa sababu tunahusianisha namba na tukio
KWANINI UGAWE KWA 7 BADALA YA 11 AU 9. Kwanini umeamua kuichagua namba saba kugawanyia kwa sababu jibu unalo tayari au ingekuwa busara ukagawa kwa 9 au 11 kwani ndizo namba zako za msingi any way
kwa nini ugawe kwa saba na siyo namba nyingine!!!
abiria 92,9+2=11 umejumlisha na wafanyakazi na rubani au!! Vipi kwani kwa kawaida flight 77 inabeba watu wangapi ili tuone utofauti wa kawaida naile inaitwa siyo kawaida!!!
Sept 11 ni siku ya 254 ya mwaka
,2+5+4=11,na zinakua zimesalia siku 111 mwaka. Mbona hujajumlisha 1+1+1=?
Kwani msingi wa kujumlisha kutoka mwanzo ni nini? si tufike kwenye double digit ambayo inatupa 11 au 13 hapa imegoma umeishia njiani sijaelewa vinginevyo umelinganisha vitu visivyo fanana!!
Majengo ya WTC yakiwa yamesimama yanatemgea namba 11 jumlisha na namba ya ndege ya kwanza kugonga WTC ambayo ni flight 11 kisha tarehe ya siku ya tukio yaani tarehe 11 unapata 33. Hapa napo pana shida kwanini ndege ya pili haikujumuishwa kwanini!!!
Wakati ndege ya kwanza ingonga WTC ilikuwa umbali wa futi 159 na inchi 2 kutoka ardhini,1+5+9-2=13. Duh haya bana!!
PIA umetaja afghanistan kuwa ina herufi 11 mbona hata DAR-ES-SALAAM ni herufi 11 nayo unaisemuaje mkuu!!
umbali wa 13 blocks kutoka white house! Mbona block siyo
SI UNIT YA UMBALI NI IPI? Kwanini imetumika block badala ya vipimo vya umbali!!
Kuhusu namba hii ni imani za mataifa(watu mbalimbali)
Jews and Sikhs consider 13 a lucky number because it is
associated with the worship of God. However, to many
it is unlucky. Christians feel it is linked to Judas, who
was the 13th apostle at the Last Supper and betrayed
Jesus. When the 13th of the month falls on a Friday it
is especially feared. Some believe Jesus was crucified on
Friday the 13th. The ancient Romans felt the number 13
was a sign of destruction.
9
In Thai, the word fornine is the same as the word "progress."In neighboring Japan,though, the number sounds like the word for"pain" or "torture" and so
is dreadfully unlucky.
4,233
4,233 44,233
This was an unlucky number in ancient
Egyptian culture. The hieroglyphs (pictures)
that represented 4,233 can also look like they
are showing a young pharaoh being murdered
kuhusu september 11 kuna huyu jamaa kafanya research yake naye kaja na conspirancy zake hebu pitia uone atakavyokuchanganya