TANZIA Grivas Mwangoka afariki dunia kwa ajali ya Gari

TANZIA Grivas Mwangoka afariki dunia kwa ajali ya Gari

Jile79

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2009
Posts
17,668
Reaction score
13,263
Ni Mjasiriamali maarufu Mlowo Mbozi mkoani Songwe ambaye pamoja na mambo mengine alikuwa anamiliki kiwanda cha kukoboa kahawa ktk mji wa Mlowo kafariki kwa ajali usiku wa kuamkia leo Morogoro.

Alikua pia maarufu kwa jina la FULL DOZE na GDM

Bwana ametoa bwana ametwaa. Jina lake libarikiwe

IMG-20210713-WA0016.jpg


IMG-20210713-WA0017.jpg
 
Back
Top Bottom