Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mkinga huyu?!Ni Mjasiriamali maafuru Mlowo Mbozi mkoani Songwe ambaye pamoja na mambo mengine alikua anamiliki kiwanda cha kukoboa kahawa ktk mji wa Mlowo kafariki kwa ajali usiku wa kuamkia leo Morogoro.
Alikua pia maarufu kwa jina la FULL DOZE na GDM
Bwana ametoa bwana ametwaa. Jina lake libarikiwe
View attachment 1851508
View attachment 1851509
Seems ni uchovu na mwendo mkali. Yaani kama umechoka aiseee park lala kwa muda then amsha mashine kama kawaida. Usingizi una mambo ya kipuuzi sana yaani unadhani uko ON kumbe brain ilishafunga mawasiliano muda mrefu sana. Hadi kuichakaza hio gari hivyo hio speed haikua ya dunia hiiKwa taarifa yako alikua sio mtu wa kilevi kabisa..... Yeye ni kazikazi aisee
Hata yeye inawezekana alikuwa speed sana, barabarani kuna phycology yake,kuna watu fulani wenye aina fulani za magari huwa wanaamini sana magari yao mkuu kisa sio za kijapani,hawa ukikutana nao wanakuwa "Kiatu" sio cha nchi hii.(Speed)May be... Lkn yy kagongana na bus inawezekana pia bus ndo lilikua speed zqodi
Usikariri, Ford hiyo ni ya South AfrikaHaya magari ya Japan likipata dhoruba inakua kama a smashed coke cola can. Poleni wafiwa.
Too bad..hizi gari za kisasa ni karatasiMay be... Lkn yy kagongana na bus inawezekana pia bus ndo lilikua speed zqodi
... mbona unapokea salamu za pole? Ni ndugu yake marehemu?Thanks sn mkuu
... what's your point?Sio mkinga huyu?!
Ameshaacha jina..familia haitakufa njaaMaisha mafupi sana
Ford hio madame boss ingekua mjapenga hapo ingebaki chassis tu maana hio speed inaonekana hakua ya kipimbiHaya magari ya Japan likipata dhoruba inakua kama a smashed coke cola can. Poleni wafiwa.