TANZIA Grivas Mwangoka afariki dunia kwa ajali ya Gari

TANZIA Grivas Mwangoka afariki dunia kwa ajali ya Gari

Hii ni kweli kabisa..... Kuna siku nilikua naendesha gari usiku wa manane kumbe nimesinzia nikajikuta niko upande wa pili wa barabara niliogopa sn nikapaki gari nikalala (HIKI NI KISA CHANGU CHA KWELI KABISA=
Hahahahhaa Mimi namshukuru MUNGU nimeshasaidia kuepusha ajali karibia nne au tano na ya mwisho ilikua mwezi uliopita, tumetoka Kahama na Coster, tumefika maeneo ya Bwawani kwa mbele kumbe dereva amesinzia aisee, hio ni saa kumi usiku. Nikamstua akarudi kwenye line. Akapata yale maeneji drinki tukasimama Chalinze kidogo
 
Seems ni uchovu na mwendo mkali. Yaani kama umechoka aiseee park lala kwa muda then amsha mashine kama kawaida. Usingizi una mambo ya kipuuzi sana yaani unadhani uko ON kumbe brain ilishafunga mawasiliano muda mrefu sana. Hadi kuichakaza hio gari hivyo hio speed haikua ya dunia hii
Ni kweli kuna jamaa Mwanza ijumaa iliopita amekula mzinga mkubwa sana chanzo inasemekana alisinzia na alihisi akafungua vioo nakuegemeza mkono kuelekea njee, ule mkono ulichofanywa acha tu.
 
Dah hatari na nusu
Ni Mjasiriamali maafuru Mlowo Mbozi mkoani Songwe ambaye pamoja na mambo mengine alikua anamiliki kiwanda cha kukoboa kahawa ktk mji wa Mlowo kafariki kwa ajali usiku wa kuamkia leo Morogoro.

Alikua pia maarufu kwa jina la FULL DOZE na GDM

Bwana ametoa bwana ametwaa. Jina lake libarikiwe

View attachment 1851508

View attachment 1851509
 
Ni Mjasiriamali maafuru Mlowo Mbozi mkoani Songwe ambaye pamoja na mambo mengine alikua anamiliki kiwanda cha kukoboa kahawa ktk mji wa Mlowo kafariki kwa ajali usiku wa kuamkia leo Morogoro.

Alikua pia maarufu kwa jina la FULL DOZE na GDM

Bwana ametoa bwana ametwaa. Jina lake libarikiwe

View attachment 1851508

View attachment 1851509
Quality ya gari zinauzwa uku Africa zikiwa mpya huwa quality yake iko chini sana kulinganisha na na magari yanayouzwa kwenye nchi za wenzetu wanaofatilia quality za gari. Safety, security, body strength etc. Ni bora ununuwe mtumba wa gari toka Europe or America utapata quality nzuri.
 
Hiyo
Haya magari ya Japan likipata dhoruba inakua kama a smashed coke cola can. Poleni wafiwa.
Sio gari ya Japan, however hiyo gari Ina speed sana na comfortability ya kutosha , unaweza kujikuta upo 220 bila kutarajia endapo unaenda safari ndefu maana linateleza tu na husikii engine ikilalamika.

Sasa ukiwa kwenye speed zaidi ya 140 kiukweli ni ngumu sana kuokoka kwenye ajali, na hiyo hapo lazima alikuwa zaidi ya 160 hapo hata kama unaendeshwa Bentley utaipata tu.

Akina Ginimbi wamekufa kwenye Bentley itakuwa hii gari ya 120 million?
 
Sina kumbukumbu sn kuhusu hizi machine zkuapata ajali.... Nilidhani ni gari stable sn hata kwenye kona ukiwa mwendo kasi
Boss mie Nina watu sasa kama nane zimewachomoa wawili walikuwa TBL kila mmoja na ajali yake Tena mmoja alikuwaga Mbeya huko. Tumepiga nae mtungi Iringa alikuwa na event makambako akaamua kutukimbia usiku ili aamkie kwenye kazi. Ikawa history pale Tanangozi
 
Hii ni kweli kabisa..... Kuna siku nilikua naendesha gari usiku wa manane kumbe nimesinzia nikajikuta niko upande wa pili wa barabara niliogopa sn nikapaki gari nikalala (HIKI NI KISA CHANGU CHA KWELI KABISA=
Kuna siku niko pale Ubungo Kijazi kipindi inajengwa. Wakati navuka barabara nikashuhudia jamaa kasingizia akiwa kashika usukani wenzake wote wanaenda yeye kasimama. Nilisimama nikamwambia paki gari ulale akasema anakaribia kufika
 
Back
Top Bottom