Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena vema sn mkuuDunia ya sasa imejaa watu wavuvu sana hata simple research in case haijui jambo. Yani Kuna majamaa wanakuambia hiyo Ford Ranger ya UK, mwingine anasema ya Marekani as if Ranger ya Marekani inafanana na hizi makaratasi, mwingine anasema Japan 😃😃😃😃 full ujuaji ingali hawajataka hata kujisumbua kidogo japo kutafuta facts kwenye Google yao iliyowarahisishia mambo.
Kizazi hiki aisee. Anyway RIP mjasiriamali, naonea huruma waliobaki, familia, ndugu, majirani, marafiki, wafanyakazi and business partners.
Mmh yatakua ma UVCCM yamehusika Mana hyu kaka alioa mjukuu wa Anton dialo nasikiaSisi wachunguzi wa kujitegemea tuna mahali pa kuanzia. Kwenye kioo (wind screen kuna tobo kama dalili ya risasi. Naomba wachunguzi waanzie hapo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duh kwahiyo tusinunue magari..tutulie tu tuendelee kuperuzi jf
Hahaha analia timing michango... mbona unapokea salamu za pole? Ni ndugu yake marehemu?
Babes najua umeifananisha na ile Hilux yetu ya kubebea lishe ya kitimoto... hiyo sio mjapani mama... hebu njoo chumbani huku nukueleweshe vizuri....Haya magari ya Japan likipata dhoruba inakua kama a smashed coke cola can. Poleni wafiwa.
Kukariri ni Jambo la hatari sana.Ford hio madame boss ingekua mjapenga hapo ingebaki chassis tu maana hio speed inaonekana hakua ya kipimbi
Sasa umejuaje kuwa hakuanza na Mungu?[emoji849]Ndiyo maana tunasema kila uamkapo anza na MUNGU, na ulalapo mwambie MUNGU, kesho yetu itabaki kua fumbo.
Hahah uongo wa hatari Sana huu,daah.kuangusha Ford Ranger ni uzembe, pale unapokanyaga kibati mpaka mwisho hata kwenye kona kali.
Sasa huyu ndo naniMwingine huyu hapo hapo morogoro siku 6 zilizopita, discovery ikaharibika kwelikweli, tuwapo barabarani tujitahidi kuudhibiti mwendo kasi.
View attachment 1851551View attachment 1851552View attachment 1851553
La kiingereza hilo FordHaya magari ya Japan likipata dhoruba inakua kama a smashed coke cola can. Poleni wafiwa.
Hili jina ndio nahisi limemponzaAlikua pia maarufu kwa jina la FULL DOZE
Ndio Isaack mdau mmoja kamzungumzia hapo, jamaa alikua mafinga anafanya biashara ya mbao mafinga akaacha akawa anasambaza vyakula mashuleni ni mzaliwa wa arushaSasa huyu ndo nani