Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Morogoro kuna nn maana na Allys Star nae jana kaingia mtaroni 88Mwingine huyu hapo hapo morogoro siku 6 zilizopita, discovery ikaharibika kwelikweli, tuwapo barabarani tujitahidi kuudhibiti mwendo kasi.
View attachment 1851551View attachment 1851552View attachment 1851553
Speed is either ways either ugongwe na kitu chenye spid kubwa au ugonge ukiwa na spid kubwa au mgongane mkiwa ndukiTunajuaje kua yy ndo alikua speed?
Hakuna tofauti kubwa sana zaidi ya kwamba Ford Ranger ya Us inatumia petrol na ni LHD, Southb Afrika ama UK ni za dieselFord ranger ni Ford America, hizo Ford ranger ni franchise ya Ford uko South Africa. Quality yake siyo sawa na Ford ranger ya USA
Daaa... Yamekua hayo tena mkuu... Hata mm siyapendi maccm lkn..Mmh yatakua ma UVCCM yamehusika Mana hyu kaka alioa mjukuu wa Anton dialo nasikia
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
R.I.PNi Mjasiriamali maafuru Mlowo Mbozi mkoani Songwe ambaye pamoja na mambo mengine alikua anamiliki kiwanda cha kukoboa kahawa ktk mji wa Mlowo kafariki kwa ajali usiku wa kuamkia leo Morogoro.
Alikua pia maarufu kwa jina la FULL DOZE na GDM
Bwana ametoa bwana ametwaa. Jina lake libarikiwe
View attachment 1851508
View attachment 1851509
Sio msouth under licence ?Sio ya Mjepo hii gari mkuu.
Imetoka kwa akina Carl Peters hii
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ford ranger hiyo ni gari ya mwingereza... speed 240 alafu manual transmissionHaya magari ya Japan likipata dhoruba inakua kama a smashed coke cola can. Poleni wafiwa.
Kugongana pia kunachangiwa na speed kali wazee... Ukiwa speed ndogo ni rahisi kuepuka ajali like unaweza kukwepa chochote au madhara yasiwe makubwaYaani kuna watu wanalazimisha kuwa ilikua speed kali ........
Kwa kifupi tuseme gari ziko VERY ROMANTIC sio...hizi gari ndio shida yake.. ziko very comfortable..na uombe isiwe automatic na uwe mtu wa masafa na kazi nyingi aka mjasiriamali..hii gari ikutulia barabarani na kale ka ac na ile virangi rangi kwenye dashboard + uchovu basi lazima ulale na ukishtuka unajikuta umedrive past 1 minute usingizini.. bahati mbaya huja ukishtuka alaf umeshtushwa na honi au taa ya lori kubwa..unachanganyikiwa ukijua uko wrong side hapo ndipo unafanya foolish mistake.. #speaking from a long distance driving experience with a latest comfortable car
kingine lazima tujifunze sio kwamba ukipata leseni kwamba tayar wewe ni proffesional driver. kuendesha gari ndani ya mkoa vs safari za masafa ni vitu viwilo tofauti
kweli kabisa yan,sijui wanatengenezea mabatiHaya magari ya Japan likipata dhoruba inakua kama a smashed coke cola can. Poleni wafiwa.
Unamaanisha ukianza na Mungu hutokufa,??Ndiyo maana tunasema kila uamkapo anza na MUNGU, na ulalapo mwambie MUNGU, kesho yetu itabaki kua fumbo.
Uendeshaji ulikuwa wa namna gani? Unaweza usilewe lakini mwenda ukawa mkali. Tatizo la mwendo mkali ni kuwa ukipata ajali kwa uzembe wako au bahati mbaya au kwa uzembe wa mtu mwingine, madhara yake ynakuwa makubwa sana. Ndiyo maana tunashauriwa siku zote tuendeshe mwendo wa wastani. Poleni wafiwa.Kwa taarifa yako alikua sio mtu wa kilevi kabisa..... Yeye ni kazikazi aisee