Legrema2050
JF-Expert Member
- Jun 5, 2021
- 606
- 708
Yeye amegongana na bus, hajaangukakuangusha Ford Ranger ni uzembe, pale unapokanyaga kibati mpaka mwisho hata kwenye kona kali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye amegongana na bus, hajaangukakuangusha Ford Ranger ni uzembe, pale unapokanyaga kibati mpaka mwisho hata kwenye kona kali.
Tanzania uendeshaji ni mbovu sana. Inawezekana hata ni basi lilimfuata kwenye site yake. Nilikuwa nasafiri siku moja na gari ndogo na basi lililokuwa linakuja upande wa pili lika-overtake bila kujali kuwa sisi tulikuwa tunakuja na kungevaana uso kwa uso. Kilichotusaidia ni kuwa tulikuwa kwenye speed ndogo hivyo tukasimama.May be... Lkn yy kagongana na bus inawezekana pia bus ndo lilikua speed zqodi
Huyo mtoto ulishuka ukampongeza au ulikomaa na safari na kujiona una bahatiHata mimi ilishawahi nitokea hii. Mimi nilijikuta nishatoka nje ya barabara nakata pori, kelele za mtoto ndo zilizoniamsha.
Hapa hakuomba majiMwingine huyu hapo hapo morogoro siku 6 zilizopita, discovery ikaharibika kwelikweli, tuwapo barabarani tujitahidi kuudhibiti mwendo kasi.
View attachment 1851551View attachment 1851552View attachment 1851553
Ajali tu, lakini Ford Ranger ni gari nzuri na ikiwa speed inatulia barabarani.Ford Ranger zinawachomoa watu kwelikweli. Hizi mashine sijawahi kuendesha najiuliza ni Ile speed yake au zinakosa balance zikiwa kwa speed fulani?
Mjasiriamali anamiliki ndinga kali hivi?
Kwani huko mbinguni mnaweza kujibu comments za jamiiforums?Thanks sn mkuu
Mara Ford ranger gar ya mjapani, mwingine, Mgerman, Mara Us mwingine South, Mara Uk Sasa alieko sahihi ni nani?
Labda aliishia piga brekiHapa hakuomba maji
Kuna mmoja kamvimbia mwenzakeYeye amegongana na bus, hajaanguka
Sio RaptorRaptor hiyoo inasepa kama ndege
Punguza uongo hiyo Ranger inatengenezwa na Ford SA ptyFord ranger hiyo ni gari ya mwingereza... speed 240 alafu manual transmission
Sio maindi yaliyoliwa yamefikia mwishoSeems ni uchovu na mwendo mkali. Yaani kama umechoka aiseee park lala kwa muda then amsha mashine kama kawaida. Usingizi una mambo ya kipuuzi sana yaani unadhani uko ON kumbe brain ilishafunga mawasiliano muda mrefu sana. Hadi kuichakaza hio gari hivyo hio speed haikua ya dunia hii
Wanasema same model ya dunia ya kwanza, kuikunja kunja hivyo kwa ajali, ujue hakuna kitakachosalia eneo hilo, hapo unaweza kuta alikuwa na 60kph tu.Haya magari ya Japan likipata dhoruba inakua kama a smashed coke cola can. Poleni wafiwa.