Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajali sio lazima kulewa, unaweza kusababishiwa ajali na Gari lingine na ukapata madhara kuliko hata huyo aliyesababisha.Alikua kalewa nini? Pole kwa wafiwa
Hivi Ford Ranger nazo ni za wa Japan, R. I. P Full Doze
Sio ya Mjepo hii gari mkuu.
Imetoka kwa akina Carl Peters hii
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hili jambo waweza kudhani ni jambo dogo lakini hapana aise...usingizi ni hatari na hauna hodi.Seems ni uchovu na mwendo mkali. Yaani kama umechoka aiseee park lala kwa muda then amsha mashine kama kawaida. Usingizi una mambo ya kipuuzi sana yaani unadhani uko ON kumbe brain ilishafunga mawasiliano muda mrefu sana. Hadi kuichakaza hio gari hivyo hio speed haikua ya dunia hii
Hyo nadharia tu,lakini product Ni ile Ile.... sababu kampuni Ni hyo hyo,teknolojia Ni hyo hyo,sema location ndo tofauti ..Sasa hv Kuna scania G series special edition for Africa,inatengenezwa south Africa,watumiaji wanasema hzo Ni nzuri kuliko za uingerezaQuality ya gari zinauzwa uku Africa zikiwa mpya huwa quality yake iko chini sana kulinganisha na na magari yanayouzwa kwenye nchi za wenzetu wanaofatilia quality za gari. Safety, security, body strength etc. Ni bora ununuwe mtumba wa gari toka Europe or America utapata quality nzuri.
Kuna ajali na kufuatwa lane yakoUkizingatia sheria za usalama, haswa ukomo wa mwendo, utaepuka ajali mbaya
HakikaHili jambo waweza kudhani ni jambo dogo lakini hapana aise...usingizi ni hatari na hauna hodi.
Na kulala si mpaka uwepo eneo rafiki?.Hii ni kweli kabisa..... Kuna siku nilikua naendesha gari usiku wa manane kumbe nimesinzia nikajikuta niko upande wa pili wa barabara niliogopa sn nikapaki gari nikalala (HIKI NI KISA CHANGU CHA KWELI KABISA=
Okay sawa, hata hivyo wakina Mwangoka wa Majengo wameonesha kutomfahamu...Sina hakika na hili mkuu ila MWANGOKA ni ukoo mkubwa sn.....
Vp boss mbona unataka sababisha taaruki ???Sisi wachunguzi wa kujitegemea tuna mahali pa kuanzia. Kwenye kioo (wind screen kuna tobo kama dalili ya risasi. Naomba wachunguzi waanzie hapo
Ni mwanangu mkuu. Nilikuwa nae kwenye gari.Huyo mtoto ulishuka ukampongeza au ulikomaa na safari na kujiona una bahati
Toyota, discovery,land rover na ford ranger zipo zinazounganishwa south Africa Kwa under licence...Punguza uongo hiyo Ranger inatengenezwa na Ford SA pty
Death comes to us all. You can't escape it. Inaweza isiwe leo au kesho au keshokutwa ila kifo kipo tu. It's part of life.... na hasa ukute walikuwa na ligi barabarani; hakuna anayetaka kushindwa; kuoneshana umwamba. Nina Ranger utanipitaje na "matako ya nyani"; ukikutana na obstacle however small it is, hayo ndio majibu yake sawia - huchomoki! Tunalaumu sana tochi ila sometimes zinasadia ku--save life; tycoon huyu angekuwa ameokoa maisha yake na wote wanaomtegemena - familia, wafanyakazi, etc.
Labda useme ni American car assembled in South Africa.Usikariri, Ford hiyo ni ya South Afrika
Huko shule ulienda somea ujinga?Labda useme ni American car assembled in South Africa.
Ajari nyingi huwa zinaepukika wakiwepo watoto. Utasikia watu wanasema hawa ni malaika hawana dhambi ndio wametuepusha.Ni mwanangu mkuu. Nilikuwa nae kwenye gari.