kissambivi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 218
- 119
Rest In Peace
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Speed kubwa ajali kubwa, speed ndogo ajali taafifu, ni formula.Hii speed ilikuwa zaidi ya 100
Carl Peters tena!Sio ya Mjepo hii gari mkuu.
Imetoka kwa akina Carl Peters hii
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nimeuliza tu,nna maana yangu mkuu!!Kwa nn mkuu
Dah mpaka discover ikawa hivi .basi shughuli ilikuwa pevu.. Ila haya madude nayo yana mzuka mwingi.. Usipo control pedal..unaiacha familia hivi hiviMwingine huyu hapo hapo morogoro siku 6 zilizopita, discovery ikaharibika kwelikweli, tuwapo barabarani tujitahidi kuudhibiti mwendo kasi.
View attachment 1851551View attachment 1851552View attachment 1851553
Hayasemeki..Mwingine huyu hapo hapo morogoro siku 6 zilizopita, discovery ikaharibika kwelikweli, tuwapo barabarani tujitahidi kuudhibiti mwendo kasi.
View attachment 1851551View attachment 1851552View attachment 1851553
Haya nae huyu ni mjapan?Mwingine huyu hapo hapo morogoro siku 6 zilizopita, discovery ikaharibika kwelikweli, tuwapo barabarani tujitahidi kuudhibiti mwendo kasi.
View attachment 1851551View attachment 1851552View attachment 1851553
Na Msauz naye ni under leseni. Founder wake ni US.Ford Ranger sio mjerumani Bob, msauzi huyo.
Ford ni mmarekani sio mjapengaHaya magari ya Japan likipata dhoruba inakua kama a smashed coke cola can. Poleni wafiwa.
Usiku ni hatari sanaKuendesha gari usiku si salama sana. Endesha tu kama hakuna jinsi na kama unasinzia egesha mahali na pumzika. Na ukiendesha usiku speed isiwe zaidi ya 80km/kwa saa na pia hakikisha taa zako ziko vizuri. Nilikuwa nnaendesha gari usiku nikakuta watu wenye gari ndogo wameingia uvunguni mwa basi iliyoharibikia barabarni na wote wakafa. Hawa watu wangekuwa salama kama kungelikuwa mchana au speed waliyokuwa nayo ingekuwa ya wastani.
Hata mimi ilishawahi nitokea hii. Mimi nilijikuta nishatoka nje ya barabara nakata pori, kelele za mtoto ndo zilizoniamsha.Hii ni kweli kabisa..... Kuna siku nilikua naendesha gari usiku wa manane kumbe nimesinzia nikajikuta niko upande wa pili wa barabara niliogopa sn nikapaki gari nikalala (HIKI NI KISA CHANGU CHA KWELI KABISA=
Haumaanishi uchawi wa punje kweli!Nimeuliza tu,nna maana yangu mkuu!!
Namba mbona kama ni za nchi za watu?Mwingine huyu hapo hapo morogoro siku 6 zilizopita, discovery ikaharibika kwelikweli, tuwapo barabarani tujitahidi kuudhibiti mwendo kasi.
View attachment 1851551View attachment 1851552View attachment 1851553
Aiseeeee !!Ni Mjasiriamali maafuru Mlowo Mbozi mkoani Songwe ambaye pamoja na mambo mengine alikua anamiliki kiwanda cha kukoboa kahawa ktk mji wa Mlowo kafariki kwa ajali usiku wa kuamkia leo Morogoro.
Alikua pia maarufu kwa jina la FULL DOZE na GDM
Bwana ametoa bwana ametwaa. Jina lake libarikiwe
View attachment 1851508
View attachment 1851509
Ilikuwa IT hiyo ndio inapelekwa kwa mhusika[emoji24][emoji24][emoji24]Namba mbona kama ni za nchi za watu?
May be... Lkn yy kagongana na bus inawezekana pia bus ndo lilikua speed zqodi