TANZIA Grivas Mwangoka afariki dunia kwa ajali ya Gari

Mungu akutie nguvu mkuu katika kipindi hiki kigumu
 
Historia ya utajiri wake tu ndio inaniachaga hoi.
Nina shida ya hela, ila ujasiri wake - zaidi ya ule wa Ntarahamwe - siuwezi.
[emoji849][emoji23][emoji23]
 
South zinatengenezwa under licence.
 
Comfort ya kutosha, siyo comfortability ya kutosha. Hakuna neno comfortability mahali popote duniani kwenye kiingereza. Tafuta katika dictionary yoyote au google, hutapata neno hi

Comfort ya kutosha, siyo comfortability ya kutosha. Hakuna neno comfortability mahali popote duniani kwenye kiingereza. Tafuta katika dictionary yoyote au google, hutapata neno hilo!
Kwani yeye kakuambia Hilo neno ni la kiengereza?
 
Toyota, discovery,land rover na ford ranger zipo zinazounganishwa south Africa Kwa under licence...
Mimi naongelea origin ya ford ranger ni England hata kama south Africa wanatengeneza Ila technology yake imetoka England
Mkuu, unawezaje kuandika uongo kwa kujiamini hivi? Origin ya Ford sio England, Origin ya kampuni ya Ford ni Michigan, USA.
 
Mungu wangu!! So [emoji24][emoji24][emoji24]
RIP mpendwa.
 
Halafu unakuta mtu anajidai na kuwadharau binaadamu wenzake wasio na uwezo au wasio na elimu au wasio na vyeo.
usijione bora kwa sababu eti wewe ni tajiri.
banaadamu wote ni sawa, sote tutakufa na kuacha kila kitu, hivyo tupendane na tuheshimiane.
 
Ford Ranger zinawachomoa watu kwelikweli. Hizi mashine sijawahi kuendesha najiuliza ni Ile speed yake au zinakosa balance zikiwa kwa speed fulani?
Hizi ni hatari kwa speed ndani ya dakika ushamaliza kisahani na inadai sasa ikikutana na dereva ambae hana control lazima avute

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…