GSM inawadharau models wa Kitanzania? Why Zari?

Nenda jukwaa la lugha wewe.
 
Team ushuzi, simpendi Magufuli ndio sembuse huyu changu dowa?

Ni wapi katiba ya Tanzania inalazimisha mtu kumpenda Zari? Baki na ujinga wako.

Boycott Danube.
wapi katiba ya Tanzania inawalazimisha GSM kuwaweka kina Gigy.
 
Baba paroko umeshalewa divai asubuhi asubuhi, yani duka lifunguliwe Mlimani City kutarget wateja wa Uganda? Are u serious?
Hotel inajengwa Tanzania target market sio watanzania uko wapi wewe. Biashara si hivyo unavyoichukulia!
 
Tunajua wewe ni team hamisa ila unajifanya sijui mzalendo Mara nani sijui bhana eeeh we kama hutaki kwenda kununua bidhaa zao piga kimya tuliza mshono Kwanzaa hela yenyewe huna [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Hahaaaaaaa 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Ulikuwa unataka tukujazie uzi wako. Haya tutajirekebisha kuna duka tunafungua mwakani tutamchukua Rihanna maana waafrika mnanongwa
 
Hotel inajengwa Tanzania target ya wateja sio watanzania uko wapi wewe. Biashara si hivyo unavyoichukulia!
Hotel na duka ni industry tofauti acha kujitowa akili.

Hotel ni demand ya kila msafiri na siyo duka la nguo.
 
Hotel na duka ni industry tofauti acha kujitowa akili.

Hotel ni demand ya kila msafiri na siyo duka la nguo.
Mimi Niko Tanzania nanunua nguo China inasafirishwa Safi Kabisa bila shida , tatizo Wabongo wa shamba na wewe ni kielelezo Tosha.
 
Me cdhan kama kuna shida bt kwa vile wat tunatofautiana bac hayo ni maoni yako tu
 
Diamond na Zari wote wana mkataba na Danube pamoja na watoto wao. Shida Uko wapi MTU akirnda kutimiza kile anachostahili kufanya kama Balozi?
 
UNGEKUWA HUMJUI ZARI HATA THREAD USINGEIANDIKA
 
Tunajua wewe ni team hamisa ila unajifanya sijui mzalendo Mara nani sijui bhana eeeh we kama hutaki kwenda kununua bidhaa zao piga kimya tuliza mshono Kwanzaa hela yenyewe huna [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Uwiii kumbe mna mateam yenu kabisa?

Na wewe ni team gani sasa?
 
Mimi Niko Tanzania nanunua nguo China inasafirishwa Safi Kabisa bila shida , tatizo Wabongo wa shamba na wewe ni kielelezo Tosha.
Mshamba ni wewe usiyejuwa hakuna mchina anayeweza kuagiza nguo bongo, labda pembe za ndovu. Wewe jamaa uko chini ya kiwango sana napoteza muda kudabate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…