Acha kupangia wanaume matumizi ya pesa zao.... Zako peleka huko unakotaka.Hzo pesa awape bakwata wajenge hospitali kubwa
Huyo anayetoa hiyo hela umwambie kuna watu 100 kule wanakaribia kukata roho kwa kukosa fedha Za kulipia matibabu hawezi kukuelewaKuna maisha ya watu yanategemea hilo goli la Yanga pia!
Mkipata goli moja unicheki ni kutumie hela ya kulaπ‘Tupate hata goli Moja kesho
Mnawaza ngono tupu..Mabao yangekua yananunuliwa hivi wanaume wangekua matajiri kufuru....!