Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wenyewe wameshindwa?Hzo pesa awape bakwata wajenge hospitali kubwa
Haa GSM Mjanja Mjanja TuHzo pesa awape bakwata wajenge hospitali kubwa
Aziz Ki na yeye kaahidi kutoa milioni 1 kwa kila goli litakalofungwa na mchezaji wa YangaAkiwa na uhakika wa Yanga kukunja 2.3b kwa kuingia robo fainali tu,tajiri asiye na choyo wala kashfa amemwaga noti zaidi
Ametoa ahadi hiyo kwa kikosi kikali cha wananchi
Mwenye nacho ataongezewa
Nimeongea na kapteni wa timu ya Yanga na amenihakikishia kuwa magoli ya kutosha yapo hiyo kesho na ya kutosha
Na amesema kuwa watakula zaidi ya 300M ya tajiri na 15M ya goli la Mama
Yanga hatunaga dogo
Tunaenda kumtwanga mtu kwake kwa wakeze na watoto zake
GGyangaView attachment 2953576
hujataka kuuza unagawa bure..... soko lipo ukihitaji kumbuka inategemea mbegu!Mabao yangekua yananunuliwa hivi wanaume wangekua matajiri kufuru....!
Ata akiweka 2.3b zitaozea mfukoni mwake tu.Akiwa na uhakika wa Yanga kukunja 2.3b kwa kuingia robo fainali tu,tajiri asiye na choyo wala kashfa amemwaga noti zaidi
Ametoa ahadi hiyo kwa kikosi kikali cha wananchi
Mwenye nacho ataongezewa
Nimeongea na kapteni wa timu ya Yanga na amenihakikishia kuwa magoli ya kutosha yapo hiyo kesho na ya kutosha
Na amesema kuwa watakula zaidi ya 300M ya tajiri na 15M ya goli la Mama
Yanga hatunaga dogo
Tunaenda kumtwanga mtu kwake kwa wakeze na watoto zake
GGyangaView attachment 2953576
kila goli tu? au ni magoli ya ushindi?Akiwa na uhakika wa Yanga kukunja 2.3b kwa kuingia robo fainali tu,tajiri asiye na choyo wala kashfa amemwaga noti zaidi
Ametoa ahadi hiyo kwa kikosi kikali cha wananchi
Mwenye nacho ataongezewa
Nimeongea na kapteni wa timu ya Yanga na amenihakikishia kuwa magoli ya kutosha yapo hiyo kesho na ya kutosha
Na amesema kuwa watakula zaidi ya 300M ya tajiri na 15M ya goli la Mama
Yanga hatunaga dogo
Tunaenda kumtwanga mtu kwake kwa wakeze na watoto zake
GGyangaView attachment 2953576