KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Zilongwa mbali....zitendwa mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wakifunguka wasake goli shida nyingine, hapa wakaze tu waende 0 0 waingie penatiKwa yanga hii hata mtu ambae hana senti 1 anaweza kuahidi kila goli atatoa million 500 maana ni uhakika hawawezi kupata goli lolote, yani timu ipo nyumbani inapigiwa possession 76 kwa 24
Inawezekana.Wanaweza kufunga magoli?
Kwani bakwata wanainguza Nini mkuu?Hzo pesa awape bakwata wajenge hospitali kubwa
Milion 100 zipo kwel au wanacheza na akili za vijana wetu?Umeshakimbia kule?😒
yani kuna siku inabidi mashabiki tufanye kitu cha upendo hata kumuombea dua ya pamoja uwanja wa taifa paleMungu ampe maisha GSM, hata kabla ya hiyo ahadi aliyotutendea Yanga ni makubwa.
Tunashukuru.
Zipo kweli na tutazichukuaMilion 100 zipo kwel au wanacheza na akili za vijana wetu?
Umenikumbusha mwalimu wangu wa Biology nikiwa High school pale Tosamaganga. Alikua anaitwa MputaYanga ushindi ni lazima afe Kipa afe Beki Sundowns lazima afe msako wa porikwapori mputamputa mpaka watu wakatike misuli ya mapaja
Dah!... Tajiri kaongea....Akiwa na uhakika wa Yanga kukunja 2.3b kwa kuingia robo fainali tu,tajiri asiye na choyo wala kashfa amemwaga noti zaidi
Ametoa ahadi hiyo kwa kikosi kikali cha wananchi
Mwenye nacho ataongezewa
Nimeongea na kapteni wa timu ya Yanga na amenihakikishia kuwa magoli ya kutosha yapo hiyo kesho na ya kutosha
Na amesema kuwa watakula zaidi ya 300M ya tajiri na 15M ya goli la Mama
Yanga hatunaga dogo
Tunaenda kumtwanga mtu kwake kwa wakeze na watoto zake
GGyangaView attachment 2953576
Tunza hii koloAnajua dhahiri yanga hawezi kufunga goli hata moja kwa Madiba ndio maana anatia 100M.
APO GSM anajitekenya mwenyewe na kucheka.
NInaona kama hii yaweza kuwa destruction kwa vijana, wakawa na uncontrollable morale wakaishia kupotezea vibaya.. nambie!.Zipo kweli na tutazichukua
Nina swali nataka kuuliza nimekutafuta kule bila mafanikio mwenzako..