GSM: Kila bao atakalolifunga Yanga dhidi ya Mamelodi Sundowns nitalinunia kwa Tsh. 100M

GSM: Kila bao atakalolifunga Yanga dhidi ya Mamelodi Sundowns nitalinunia kwa Tsh. 100M

Kwa yanga hii hata mtu ambae hana senti 1 anaweza kuahidi kila goli atatoa million 500 maana ni uhakika hawawezi kupata goli lolote, yani timu ilikua nyumbani ikapigiwa possession 76 kwa 24 je huko ugenini?
 
Yanga ushindi ni lazima afe Kipa afe Beki Sundowns lazima afe msako wa porikwapori mputamputa mpaka watu wakatike misuli ya mapaja
Umenikumbusha mwalimu wangu wa Biology nikiwa High school pale Tosamaganga. Alikua anaitwa Mputa
Na juz nachek uzinduzi wa mbio za mwenge namuona class mate tuliekua nae pale uboizini ndio kiongoz wa mbio za mwenge kitaifa
 
Akiwa na uhakika wa Yanga kukunja 2.3b kwa kuingia robo fainali tu,tajiri asiye na choyo wala kashfa amemwaga noti zaidi

Ametoa ahadi hiyo kwa kikosi kikali cha wananchi

Mwenye nacho ataongezewa

Nimeongea na kapteni wa timu ya Yanga na amenihakikishia kuwa magoli ya kutosha yapo hiyo kesho na ya kutosha

Na amesema kuwa watakula zaidi ya 300M ya tajiri na 15M ya goli la Mama

Yanga hatunaga dogo

Tunaenda kumtwanga mtu kwake kwa wakeze na watoto zake

GGyangaView attachment 2953576
Dah!... Tajiri kaongea....
 
Back
Top Bottom