GSM na Yanga SC huu Uhuni ipo Siku utawagharimu na mtalaanika vibaya sana

Tate Mkuu wewe ni mgeni humu masjala?!!
Huyo mvulana/binti wakuitwa GENTAMYCINE ni mwezi mchanga wengi tunamtambua usiwe unapoteza time nae
Mpaka umeweza hadi Kunitaja hivi inaonyesha kuwa huwa Unanifuatilia sana hapa Jamiiforums. Kuhusu Mwezi Mchanga nadhani Wazazi wako Waliokuzaa ndiyo wana hilo ( hili ) tatizo na siyo Mimi sawa?
 
Wakimaliza kucheza na Yanga huyo coach ataondoka?
 
Sasa kama kocha wenu simba amekaa na hutujawahi lalamika leo amewekwa wa yanga kuna ubaya? Alafu ihefu kweli sisi GSM wakampige fitna kwa lipi? Hizo fitna kwann tusipeleke hata polis au mbeya city ambao mara zote match huwa ngumu?

Acheni kutumia makalio kufikiri

Mpaka sasa yanga ni match ya 43 haifungwa. Inamana ilihonga kote huko? Bas tuna hela kumbe
 
Unavyo zungumzia ukubwa yanga kwa nini umuweke simba,Yanga ndo timu ilichokuwa kombe la ligi mara nyingi,yanga ndo timu iliyo mfunga simba mara nyingi,yanga ndo timu ambayo msimu ulopita kashinda mara nyingi.

Lete takwimu za matokea ya simba na yanga,kwani nyie si ndio mlisusia kuingia uwanjani mara mbili hadi kupelekea yanga kupewa alama 3 na magoli mawili.

Ngoja nikumbie sasa

Timu ya kwanza kucheza michuano iliyo andaliwa na CAF 1969

Timu ya kwanza kumpeleka mchezaji wao akacheze ulaya SUNDAY MANARA

Timu ya kwanza Tanzania kucheza robo fainali ya clab bingwa africa (CAF CHAMPIONS LEAGUE) 1998.

Nawasilisha.
 
PrinceAz pitia hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…