GSM umekuja kuwaliza Yanga na sio kuwainua. Time will tell

Status
Not open for further replies.
Hiyo sio sheria mkuu ila ni kanuni, na kanuni huwa zinabadilika muda wowote
 
GSM kajitolea kuwezesha timu za ligi kuu uwezo wa kipesa hasa kwenye kipengele cha mishahara na usafiri ila anatokea mpumbavu mmoja tajiri mbinafsi hataki huo udhamini kwasababu ya uwezo wake na anasahau kwamba kuna timu zina struggle ktk kujiendesha
Shida sio udhamini je taratibu zimefuatwa..? Mbona jambo lipo clear kabsa. HauweI kuleta mkataba ambao hauja shirikisha vilabu na ukataze watu kuujadili. Never. Hahahha ya Morrison km haya jawapa uelewa utopwinyo mtakuja kustuka mpo pabaya hakuna mkataba wa namna hiyo. Uwe mdhamini na kiongozi wa timu moja wapo kwenye ligi afu uje ukatae kuwa hiyo sio vurumai. Utopwinyo watu sio wasengerema wana mzoom to boss wenu siku tukimminya mtasikia yallah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
GSM kajitolea kuwezesha timu za ligi kuu uwezo wa kipesa hasa kwenye kipengele cha mishahara na usafiri ila anatokea mpumbavu mmoja tajiri mbinafsi hataki huo udhamini kwasababu ya uwezo wake na anasahau kwamba kuna timu zina struggle ktk kujiendesha
Msaada uzingatie sheria
Kabla ya GSM Ligi haikua na wadhamini?

Acha upuuzi wako wa kitopolo
 
Kichwa cha habari chapaswa kuwa hivi : "TFF NA GSM WAMEDHAMIRIA KUIPOTEZA SIMBQ LAKINI HAWAYOWEZA" .
Tuwaambie wa edit nini😁😁😁
 
Msaada uzingatie sheria
Kabla ya GSM Ligi haikua na wadhamini?

Acha upuuzi wako wa kitopolo
Wawache tu wakija stuka FIFA kashaamua kuwapeleka kuleeee walipo maji maji fc na wengine
 
Utaratibu upi unazungumzia,
Weka hapa utaratibu wa upatikanaji wa udhamini wa ligi kuu
 
UnAjua hawa wanadhan MO DEWJ hawezi amua kudhamini ligi yote iitwe dewj premier league tatzo anajua sheria na taratibu za FIFA na fear competition zitamnasa na ata haribia simba zaidi. Sasa gsm mzee wa kuforce hahah
 
Msaada uzingatie sheria
Kabla ya GSM Ligi haikua na wadhamini?

Acha upuuzi wako wa kitopolo
Udhamini haupo kwenye sheria ww mbumbumbu ila upo kwenye Kanuni na zinaweza kubadilika muda wowote
 
Utaratibu upi unazungumzia,
Weka hapa utaratibu wa upatikanaji wa udhamini wa ligi kuu
Kachambue sheria huko mkuu. Hapa kuanza kukutafunia kila kitu itakua tunapotezeana muda zipo kanuni na taratibu za kuongoza ligi nchini na zilizotolewa na FIFA. Kuna timu kenya iloshusha daraja na FIFA harufu ni hz hz
 
Tunarudi pale pale je jezi za vilabu vingine wanavaa nembo ya Azam?

Shule za kata ndio matokeo yake haya.
Yaan hata content ya mada hujui Ina lenga Nini unaharisha tu.Rudi shule kenge mmoja wewe.
 
UnAjua hawa wanadhan MO DEWJ hawezi amua kudhamini ligi yote iitwe dewj premier league tatzo anajua sheria na taratibu za FIFA na fear competition zitamnasa na ata haribia simba zaidi. Sasa gsm mzee wa kuforce hahah
GSM au HSC ni Mafia mkwepa kodi mwandamizi na alifanya maovu mengi enzi za Mzee wa kukenua kenua,sasa kwa vile Mzee wa Saigon karudi kivingine ndiyo maana GSM anajiona yuko juu ya sheria anataka kufanya kama atakavyo yeye.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kule FIFA hakuna hao wanao mpa kiburi ni mwendo wa nyundo tu kule hawa mtambui kabsa mkenuaji kwanza wakimsikia ndio.balaa linazidi maana wale hawataki mpira ukichanganywa na siasa
 
Sasa km simba hawatavaa, kipi kinachokuwasha paka unakimbilia kuanzisha uzi hapa?
Wewe naona una jitia wazimu tu. Hapa watu wanatoa madukuduku yao wewe km vipi pita kulia kuleee ukadondokee kule mtaroni aka utopoloni
 
We bata jike tulia kwanza, aliposhika GSM hata MO afurukute vipi hana cha kufanya. Jiandaeni kuvaa jezi zenye nembo ya GSM.

Nyani katika ubora wako...
Utopolo wote akili zipo m@tkon
 
We bata jike tulia kwanza, aliposhika GSM hata MO afurukute vipi hana cha kufanya. Jiandaeni kuvaa jezi zenye nembo ya GSM.
GSM mtoto mdgo shughuli za kina dewj hatii mguu tumemnyoosha tu kidgo kwa Morrison na bado upo..? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ gsm. Akabishane na kina vunjabei huko sio dewj sawa. Mpe heshima yake dewj. Usimfananishe na hao janja janja wakwepa kodi maarufu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…