Hiyo sio sheria mkuu ila ni kanuni, na kanuni huwa zinabadilika muda wowoteUdhamini unatolewa kwa kufuata taratibu wewe wawapi..? Sio kwamba mambo yakiwekwa hadharani kuwa watu watakataa kinachosemwa umekielewa au ndio.ile kudandia gari usilojua linaenda wapi.? Mkataba umesainiwa na tff badala ya bodi ya ligi. Sheria haijasema mdhamini mwenza akae kwenye jezi za timu. Inakaa logo ya mzamini mkuu au unakichwa cha panzi
Shida sio udhamini je taratibu zimefuatwa..? Mbona jambo lipo clear kabsa. HauweI kuleta mkataba ambao hauja shirikisha vilabu na ukataze watu kuujadili. Never. Hahahha ya Morrison km haya jawapa uelewa utopwinyo mtakuja kustuka mpo pabaya hakuna mkataba wa namna hiyo. Uwe mdhamini na kiongozi wa timu moja wapo kwenye ligi afu uje ukatae kuwa hiyo sio vurumai. Utopwinyo watu sio wasengerema wana mzoom to boss wenu siku tukimminya mtasikia yallah ππππGSM kajitolea kuwezesha timu za ligi kuu uwezo wa kipesa hasa kwenye kipengele cha mishahara na usafiri ila anatokea mpumbavu mmoja tajiri mbinafsi hataki huo udhamini kwasababu ya uwezo wake na anasahau kwamba kuna timu zina struggle ktk kujiendesha
Msaada uzingatie sheriaGSM kajitolea kuwezesha timu za ligi kuu uwezo wa kipesa hasa kwenye kipengele cha mishahara na usafiri ila anatokea mpumbavu mmoja tajiri mbinafsi hataki huo udhamini kwasababu ya uwezo wake na anasahau kwamba kuna timu zina struggle ktk kujiendesha
Angalau wewe unaakili mkuu kuliko huyo kolo anaekimbilia kupost vitu asivyovijuaKichwa cha habari chapaswa kuwa hivi : "TFF NA GSM WAMEDHAMIRIA KUIPOTEZA SIMBQ LAKINI HAWAYOWEZA" .
Utaratibu upi unazungumzia,Shida sio udhamini je taratibu zimefuatwa..? Mbona jambo lipo clear kabsa. HauweI kuleta mkataba ambao hauja shirikisha vilabu na ukataze watu kuujadili. Never. Hahahha ya Morrison km haya jawapa uelewa utopwinyo mtakuja kustuka mpo pabaya hakuna mkataba wa namna hiyo. Uwe mdhamini na kiongozi wa timu moja wapo kwenye ligi afu uje ukatae kuwa hiyo sio vurumai. Utopwinyo watu sio wasengerema wana mzoom to boss wenu siku tukimminya mtasikia yallah ππππ
Yanga na GSM wasipomdhibiti huyo zeruzeru mdomo kunuka atawaharibia sana. Kauli ya kejeli aliyoitoa Haji baada ya GSM kuingia mkataba wa udhamini na TFF kuwa kuanzia sasa Simba imeshakuwa mikononi mwa Yanga kupitia udhamini wa GSM ndiyo imeibua hii sintofahamu yote.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Udhamini haupo kwenye sheria ww mbumbumbu ila upo kwenye Kanuni na zinaweza kubadilika muda wowoteMsaada uzingatie sheria
Kabla ya GSM Ligi haikua na wadhamini?
Acha upuuzi wako wa kitopolo
Kachambue sheria huko mkuu. Hapa kuanza kukutafunia kila kitu itakua tunapotezeana muda zipo kanuni na taratibu za kuongoza ligi nchini na zilizotolewa na FIFA. Kuna timu kenya iloshusha daraja na FIFA harufu ni hz hzUtaratibu upi unazungumzia,
Weka hapa utaratibu wa upatikanaji wa udhamini wa ligi kuu
Tunarudi pale pale je jezi za vilabu vingine wanavaa nembo ya Azam?Mtu anazuka tu hata kuchangia 500 kwenye soka hawezi halafu anadharau udhamini wa bilioni 2? GSM ni wadhamini wa Yanga na siyo wamiliki wa Yanga, Azam ni Wadhamini wa Azam na wamiliki wa Azam Fc lakini hamkuwahi kulalamika. Si Simba wala Yanga wote mnafaidi haki za Matangazo ya TV bila kelele. Kwa hiyo kwa Sababu ya Usimba na Yanga mnataka Mbeya City asipate ufadhili kwa kuwafuata nyie?? Walipeni Geita Gold, Police Tanzania na Biashara Mara mgao ambao wangeupata toka GSM basi!!!
GSM au HSC ni Mafia mkwepa kodi mwandamizi na alifanya maovu mengi enzi za Mzee wa kukenua kenua,sasa kwa vile Mzee wa Saigon karudi kivingine ndiyo maana GSM anajiona yuko juu ya sheria anataka kufanya kama atakavyo yeye.UnAjua hawa wanadhan MO DEWJ hawezi amua kudhamini ligi yote iitwe dewj premier league tatzo anajua sheria na taratibu za FIFA na fear competition zitamnasa na ata haribia simba zaidi. Sasa gsm mzee wa kuforce hahah
Kule FIFA hakuna hao wanao mpa kiburi ni mwendo wa nyundo tu kule hawa mtambui kabsa mkenuaji kwanza wakimsikia ndio.balaa linazidi maana wale hawataki mpira ukichanganywa na siasaGSM au HSC ni Mafia mkwepa kodi mwandamizi na alifanya maovu mengi enzi za Mzee wa kukenua kenua,sasa kwa vile Mzee wa Saigon karudi kivingine ndiyo maana GSM anajiona yuko juu ya sheria anataka kufanya kama atakavyo yeye.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
We bata jike tulia kwanza, aliposhika GSM hata MO afurukute vipi hana cha kufanya. Jiandaeni kuvaa jezi zenye nembo ya GSM.
GSM mtoto mdgo shughuli za kina dewj hatii mguu tumemnyoosha tu kidgo kwa Morrison na bado upo..? ππππ gsm. Akabishane na kina vunjabei huko sio dewj sawa. Mpe heshima yake dewj. Usimfananishe na hao janja janja wakwepa kodi maarufuWe bata jike tulia kwanza, aliposhika GSM hata MO afurukute vipi hana cha kufanya. Jiandaeni kuvaa jezi zenye nembo ya GSM.